Hebu tuone kwenye friji lako kuna nini!

ka kigeto geto ako ila safi
IMG_20180828_202219.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike

Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo muhimu. Unakuta mboga imebaki kidogo tu dada kwa uvivu anatia hotpot lote kwenye friji au hata sufuria.

Vitu vingine vinasahaulika humo hadi havifai tena.

Kinachonikera kuliko vyote ni kuweka mavituvitu bila kufunika. Friji linanukia ovyo ovyo.

Haya mimi naweka langu; sasa hivi ni high season flani so limenona kidogo(teh teh).

Naruhusu michango na marekebisho nitayafanyia kazi.

Naomba utuoneshe friji lako au hata utuambie lina nini hivi sasa?



View attachment 820368View attachment 820369
Hongera jestina friji limependeza
 
ase Wakuu mnawezaje kutunza had vinywaji ?
yan mimi nikiweka hata soda mbili tu usiku sipati usingizi nabaki kulizunguka friji
Roho inanambia "my bro stop cheating your self kunywa izo soda ulale""

Saiv friji limebaki la kuwekea makabichi tu
we jamaa umenichekesha sana kwamba ukizinywa ndo roho inatulia unalala vizuri
 
Nimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike

Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo muhimu. Unakuta mboga imebaki kidogo tu dada kwa uvivu anatia hotpot lote kwenye friji au hata sufuria.

Vitu vingine vinasahaulika humo hadi havifai tena.

Kinachonikera kuliko vyote ni kuweka mavituvitu bila kufunika. Friji linanukia ovyo ovyo.

Haya mimi naweka langu; sasa hivi ni high season flani so limenona kidogo(teh teh).

Naruhusu michango na marekebisho nitayafanyia kazi.

Naomba utuoneshe friji lako au hata utuambie lina nini hivi sasa?



View attachment 820368View attachment 820369
Mbona hamna ndovu
 
Back
Top Bottom