debbug
JF-Expert Member
- Jun 9, 2018
- 565
- 850
mabibi na mabwana, nawaletea kwenu Master mwenyewe mshindi na mtaalamu wa mafriji.
Asante sana chiefu kwa kulitambua hilomabibi na mabwana, nawaletea kwenu Master mwenyewe mshindi na mtaalamu wa mafriji.
unastahili medali chiefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera jestina friji limependezaNimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike
Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo muhimu. Unakuta mboga imebaki kidogo tu dada kwa uvivu anatia hotpot lote kwenye friji au hata sufuria.
Vitu vingine vinasahaulika humo hadi havifai tena.
Kinachonikera kuliko vyote ni kuweka mavituvitu bila kufunika. Friji linanukia ovyo ovyo.
Haya mimi naweka langu; sasa hivi ni high season flani so limenona kidogo(teh teh).
Naruhusu michango na marekebisho nitayafanyia kazi.
Naomba utuoneshe friji lako au hata utuambie lina nini hivi sasa?
View attachment 820368View attachment 820369
Hii kuweka matango ili macho yawe meupe au?
Hii kuweka matango ili macho yawe meupe au?
Mkuu friji zetu za bongo hua hazipo hivi unless unaishi peke yako
Wewe unatakajeMkuu friji zetu za bongo hua hazipo hivi unless unaishi peke yako
Yani na vijiko vinawekwa hivyo hivyo
we jamaa umenichekesha sana kwamba ukizinywa ndo roho inatulia unalala vizuriase Wakuu mnawezaje kutunza had vinywaji ?
yan mimi nikiweka hata soda mbili tu usiku sipati usingizi nabaki kulizunguka friji
Roho inanambia "my bro stop cheating your self kunywa izo soda ulale""
Saiv friji limebaki la kuwekea makabichi tu
Mkuu.Here we go, as promised!
Looks like it’s time to replenish....
View attachment 820782View attachment 820783View attachment 820784
Mbona hamna ndovuNimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike
Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo muhimu. Unakuta mboga imebaki kidogo tu dada kwa uvivu anatia hotpot lote kwenye friji au hata sufuria.
Vitu vingine vinasahaulika humo hadi havifai tena.
Kinachonikera kuliko vyote ni kuweka mavituvitu bila kufunika. Friji linanukia ovyo ovyo.
Haya mimi naweka langu; sasa hivi ni high season flani so limenona kidogo(teh teh).
Naruhusu michango na marekebisho nitayafanyia kazi.
Naomba utuoneshe friji lako au hata utuambie lina nini hivi sasa?
View attachment 820368View attachment 820369
from kanda ya ziwa. Don't ask why..
Yani na vijiko vinawekwa hivyo hivyo