HE saved me,HE gave me the second chance!

HE saved me,HE gave me the second chance!

Amina jina lake ni kubwa sana lapita majina yote
 
hongera sana mdada. MUNGU ndie pekee wa kutukuzwa
 
Mkuu Jaguar mpe Mungu sifa. Huu ni muujiza mkubwa ingawa unapookolewa namna hii baadae inakua kitu cha kawaida lkn ukweli ni kwamba Mungu kakutendea makuu amekutoa kwenye kaburi na kukuweka juu mtukuze yeye siku zote utakazoishi na ukiweza fanya ct scan ya mwili mzima ili kujiridhisha. Endelea kuyashuhudia matendo makuu ya Mungu kwa wengine.

Nasisitiza fanya ct scan ili kama kuna mahali kuna shida basi kipimo kitaonyesha na itakusaidia kufanya matibabu mapema .usinielewe vibaya pengine sina imani la hasha ninayo imani kubwa sana kwa Mungu na naamini anatenda miujiza kila iitwapo leo. Nasema haya kwasababu nina rafiki yangu nimempoteza alipata ajali na akatoka salama kumbe kulikua na shida kidogo kichwani basi baada ya miezi kadhaa shida ile iliibuka which was too late kwa matibabu.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana kaka na utukufunwa Mungu umwendee yeye kwa muujiza huo mkuu!
Bwana bado anamakusudi na wewe.
 
kuna vitu Mungu huwa anaviachilia makusudi ili umrudie yy, ukumbuke kuwa yupo Mungu anaeishi.

kingine ni kuwa Mungu bado ana mpango na ww, kuna kitu ambacho hujakikamilisha ndipo uondoke duniani mpaka utakapokamilisha.
kwasbb kila mtu ameletwa duniani kw kusudi maalum

pole na ni bora umetambua hilo rudi kwake
 
Maisha yetu ni kwa neema tu! Mpendwa unasali kanisa gani? Karibu kwetu fgbf pale mwenge na Mungu atakubariki!
 
Lazima ufunge na kuomba ili Mungu akufunulie sababi za kukuponya ili usimame kwenye kusudi lake
 
pole sana mkuu. Omba Roho Mtakatifu akuongoze katika maisha yako! All the best!
 
uwiiii aisee!! Mungu akuponye mydear..na mshukuru na umwombe akufundishe ili uweze simama katika kusudi lake! Hongera sana kwa second chance mrudie Mungu kwa upya
 
Maisha yetu ni kwa neema tu! Mpendwa unasali kanisa gani? Karibu kwetu fgbf pale mwenge na Mungu atakubariki!

Samahani nahisi Sijaelewa...unaposema aje kanisani kwenu Mungu atambariki ina maana kwenye haya makanisa Mengine Mungu abariki..?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom