Nimeguswa!.
Mkuu Jaguar, you have the powers ndani yako. Huyo Mungu unayemtaja amekuoakoa yuko ndani yako!. Ametokea kukuokoa tuu bila ya wewe kumtuma, sasa baada ya kumjua kuwa yuko ndani yako, mtume chochote, au muombe chochote utapata!.
Kilichokutokea ni kuwa your sub-concious mind iliiona ajali kabla, astarar body ikaicontrol physical body, ikaufungua mlango, ikakutoa nje kabla kidogo ya ajali, then within a split of a second, ajali ikatokea, ikakulaza chini, na kukupotezea fahamu ili usijue nini kilitokea!.
Baada ya kuyajua haya, sasa shikamana na Mungu, uyafanye makubwa na sio tena ukiwa usingizini bali ukiwa macho huku unajitambua!. Kila anayepewa a second chance, anapewa for a purpose!, pata muda utulie, muulize Mungu kusudio lake kwako ni lipi!, utaisikia sauti itakuambia upasayo kutenda!, go for it!.
Pasco