HE saved me,HE gave me the second chance!

HE saved me,HE gave me the second chance!

Hiyo ni hiace au noah.?? Mhanga amesema ni noah

Heri wewe umeweza kutambua hilo ni aina gani ya gari!

Mimi sikujua hadi niliposoma huko Global Publishers kuwa ni Noah. Naona mlangu wa Boot uko wazi nadhani na mkuu Jaguar ndo alipotokea hapo!!!
 
Last edited by a moderator:
DSCN9978.JPG


:frusty::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::shocked::faint2::tape:

To GOD be the GLORY!

Kweli Mungu anakusudi na we we. Ajari kama hii MTU unatoka mzima?
 
rafiki hapo kwenye blue ebu elezea kiundani zaidi maana nimevutiwa napo: ila njia za MUNGU hazichunguziki na hazielezeki
Nimeguswa!.
Mkuu Jaguar, you have the powers ndani yako. Huyo Mungu unayemtaja amekuoakoa yuko ndani yako!. Ametokea kukuokoa tuu bila ya wewe kumtuma, sasa baada ya kumjua kuwa yuko ndani yako, mtume chochote, au muombe chochote utapata!.

Kilichokutokea ni kuwa your sub-concious mind iliiona ajali kabla, astarar body ikaicontrol physical body, ikaufungua mlango, ikakutoa nje kabla kidogo ya ajali, then within a split of a second, ajali ikatokea, ikakulaza chini, na kukupotezea fahamu ili usijue nini kilitokea!.

Baada ya kuyajua haya, sasa shikamana na Mungu, uyafanye makubwa na sio tena ukiwa usingizini bali ukiwa macho huku unajitambua!. Kila anayepewa a second chance, anapewa for a purpose!, pata muda utulie, muulize Mungu kusudio lake kwako ni lipi!, utaisikia sauti itakuambia upasayo kutenda!, go for it!.
Pasco
 
Eh maisha haya jamn,tht day is my birthday,..pole sana Jaguar
 
Mungu ni Mwema

Ahadi zake ni za milele mno,cha msingi
mrejee Mungu nenda kanisani kwako kashukuru kwa hili alilokutendea maana
kwa macho ya nyama ukitazama hiyo
Noah huwezipata picha kuwa kuna walionusurika kamwe.

Halelleya Mshukuruni Mungu kwenye kusanyiko la kweli x 2
Na Malaika waungana nasi takatifu jina la Bwana x 2
 
Shukrani kwenu nyote wapendwa,mimi nipo mzima,sijakatika hata unywele wala sina kovu lolote,ila kuna Damu ilivujia kwa ubongo nadhani huenda niligongana na mtu au nilijigonga sehemu.Nilienda pale regency dar kupiga CT scan na nikapewa matibabu mazuri sasa nipo okay!
 
To god be the glory - hili ni tendo kubwa sana kwako ni jambo la kutoa zaka ya kushukuru

Amen
 
In god we trust, he saves u!!! Tunamshukuru mungu kwa hilo.
 
Mungu mkubwa na hakuna linalokuwa ila kwa mapenzi yake.
Pole.
 
DSCN9982.JPG Hii ndo ilikuwa siti yangu hapo kushoto kama inavyoonekana pichani,nilitokaje?mimi sijui bali nilihadithiwa na mashuhuda waliokuwa noah ya nyuma!
 
Pole na Hongera, jitie nguvu kwa bwana,hii ni nafasi ya pekee kwa wewe kujihoji na kubadilika.
 
Mmmh!!!!! kweli God is good all the time, tengeneza njia zako na Mungu naamini ana makusudi na wewe.
 
asee ni jambo la ajabu sana ila huwezi jua mungu ana mpango gani na wewe mshukuru sana asee
 
sina lkusema Jaguar ila namshukuru Mungu kwa ajili yako.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom