Huwezi ona pande yoyote inaweka nguvu kubwa kupata suluhisho la haya mambo zaidi ya porojo za ku hadaa watu.
1. Ukweli wa umiliki kiwanja na nyumba kati ya GSM na Makonda .
2. Ukweli kuhusu kupotea Ben saanane na kushambuliwa Tundu lissu , si CCM wala CHADEMA ambae anatumia nguvu kubwa kujisafisha au kupata ukweli .
3. Wabunge COVID-19
Ukweli wa haya mambo matatu tu ukiwekwa wazi vijana wengi sana wataacha fuatilia Siasa .
1. Ukweli wa umiliki kiwanja na nyumba kati ya GSM na Makonda .
2. Ukweli kuhusu kupotea Ben saanane na kushambuliwa Tundu lissu , si CCM wala CHADEMA ambae anatumia nguvu kubwa kujisafisha au kupata ukweli .
3. Wabunge COVID-19
Ukweli wa haya mambo matatu tu ukiwekwa wazi vijana wengi sana wataacha fuatilia Siasa .