ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,554
- 3,749
Huu ukulima wa Jembe la mkono ni vigumu kututoa kiuchumi. Una Lima mazao Tanga tu hapo lakini huna uhakika wa soko.
Hizi changamoto sio kubwa kivile. Uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo sana.
Sasa tuna, udongo mchanga, eneo, wazazi, tunaweza kuanza kujenga nyumba kwa kila mwanakijiji kutumia material, nguvu kazi, zinazopatikana hapo.
Shule, hospitali, barabara hivi vyote unaweza kujenga ndani ya mwaka mmoja.