Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,527
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
 
Kwanza kabla ya kuongea na wafadhili ilitakiwa uongee na sirikali kwanza
Hayo maji huko tambani yapo yakutosha mpaka ufadhili wa visima usiwe na tija
Pia hio miskiti kwa pamoja inafikia bei ama gharama ya kiwanda kimoja yaani kimoja tu?
Pia watu wanaojitolea ama wafadhili wameamua kutoa wanachoona wanakiweza ama kina faida kwao iwe mskiti ama kanisa
Mwisho wakazi watambani sio waislam watupu
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Wanataka watu wengi wajue utamu wa mabikra 72 ile wawe tayari kwenda kwenye mikusanyiko na kupayuka ALLA AKBARU na kujilipua
 
Akili za watanzania wanajua kiwanda unajenga tu ... Operating costs , soko , utaalamu ...Kiwanda sio rahisi misikiti ni simple tu unajenga....Kiwanda narudia sio rahisi pia location za kimazingira angalia Mbagala ....Kama viwanda vya pwani huyo Nyerere aliviuwa kule Tanga mkae kwa kutulia .

Huko kwenu mbona hakuna viwanda zaidi ni mkoa wa pwani ndio una viwanda vingi....Kama shule zipo kibao maana shule moja inachukua wanafunzi wengi huwez kujenga kila kona shule.
 
Hakuna sehemu waaarabu wanaibiwa na waswahili matapeli waislamu kama kwenye ujenzi wa misikiti

Mwarabu tajiri yeyote ukisema unaomba Hela ya ujenzi wa msikiti au madrasa anakuona wewe ndie mwislamu Bora mno anatoa Pesa chapchap

Waswahili wanshawapiga kwenye kuanzia gharama za ununuzi wa kiwanja Hadi ujenzi.Msikiti utajengwa ila hizo gharama zake utakaa Chini.Na Kwa kuwa waarabu Wana Pesa nyingi wanachojali madrasa au msikiti umejengwa basi
 
Waarabu hawawezi kufadhili kitu cha maana.

Enzi tu za ukoloni hawakujenga shule hata moja.

Waarabu huwa wanajenga misikiti tu na kutoa tende na nyama ya ngamia.

Wanapenda waislamu wawe wengi duniani ili iwe rahisi kwao kutawala dunia kwa kupitia dini yao.

Pia waislamu wakiwa wengi waarabu wanapata maokoto. Maana wanajua kuna kipengele cha kwenda kuhiji makka kwenye dini yao kinawaletea mahela mengi.

Ndio maana wanajenga sana misikiti na madrassa.

pia waarabu kwa kupenda kutawala watu Ndio maana wafalme wa nchi zao wamejipa umuhimu zaidi kwa kujifanya wanatokea ukoo wa Mtume muhammad.
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Dini ni kifubaza fikra
 
Hakuna sehemu waaarabu wanaibiwa na waswahili matapeli waislamu kama kwenye ujenzi wa misikiti

Mwarabu tajiri yeyote ukisema unaomba Hela ya ujenzi wa msikiti au madrasa anakuona wewe ndie mwislamu Bora mno anatoa Pesa chapchap

Waswahili wanswapiga kwenye kuanzia gharama za ununuzi wa kiwanja Hadi ujenzi.Msikiti utajengwa ila hizo gharama zake utakaa Chini.Na Kwa kuwa waarabu Wana Pesa nyingi wanachojali madrasa au msikiti umejengwa basi
Sasa hapa utajua kwamba hakuna mtu anachangishwa wanatoa wao ...Kujenga msikitini kwa kujitolea ni jihad ... Waislamu hawawezi kukusanya pesa kutoka kwa maskini wajenge bali kuna ufadhili...Hao wanaojenga msikitini ni kama nyumba yaani hamna utaalamu zaidi ya waumini kwenda kufanya ibada.

Ndoto ya viwanda sio rahisi kama mtoa mada anavyodai ni mawazo ya kushindwa ...Kama viwanda tungeanza kuwalaumu wasomi wale wa elimu ya mzungu wameganda huko serikalin hawana cha maana...

Kujenga kiwanda sio rahisi ,Dangote kajenga kiwanda sio rahisi kama wanavyodhani kama Nyerere aliua viwanda kwa ujinga wake wa elimu ya mchongo .
 
Waarabu hawawezi kufadhili kitu cha maana.

Enzi tu za ukoloni hawakujenga shule hata moja.

Waarabu huwa wanajenga misikiti tu na kutoa tende na nyama ya ngamia.

Wanapenda waislamu wawe wengi duniani ili iwe rahisi kwao kutawala dunia kwa kupitia dini yao.

Pia waislamu wakiwa wengi waarabu wanapata maokoto. Maana wanajua kuna kipengele cha kwenda kuhiji makka kwenye dini yao kinawaletea mahela mengi.

Ndio maana wanajenga sana misikiti na madrassa.

pia waarabu kwa kupenda kutawala watu Ndio maana wafalme wa nchi zao wamejipa umuhimu zaidi kwa kujifanya wanatokea ukoo wa Mtume muhammad.
Pesa ni zako 😆😆😆? Jenga wewe mweny elimu ...Elimu ya mkoloni mpaka leo watu ni maprofessor hawajui hata kubuni viwanda wamebaki siasa tu.

Kuchangisha watu kujeng shule ambazo faida wanakula wao..kununua magari ya bei mbaya huku watoa sadaka wanatoa pesa kupata huduma ...

Serikali haina dini itajenga hii sio nchi ya kiislamu.
 
Hiyo ni jamii ya kiislamu. Hitaji lao ni ahera (kama ipo anyway). Elimu dunia is not a priority to them. Pwani yote priority ni madrasa n misikiti. Tuwaache wapiganie ahera ambayo hawana uhakika usiokuwa na mashaka kama ipo! (mnisamehe najua mtanirukia.....
Kiufupi hicho ni kizazi kinachosubiri kufa, hasara kwa taifa
 
Back
Top Bottom