Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
FM
huko inakoelekea hiyo mark2 ukiangaza macho unaiona bahari kwa mbele. Sasa hapo sijui hawakuweka mitaro wakapiga hesabu kuwa maji yatatiririka kufuata slope na kuingia baharini au sijui ni vipi.
Hivi kweli ndiyo kusema hatuna city planners??au ndiyo wako usingizini mpaka waamshwe na majanga.
huko inakoelekea hiyo mark2 ukiangaza macho unaiona bahari kwa mbele. Sasa hapo sijui hawakuweka mitaro wakapiga hesabu kuwa maji yatatiririka kufuata slope na kuingia baharini au sijui ni vipi.
Hivi kweli ndiyo kusema hatuna city planners??au ndiyo wako usingizini mpaka waamshwe na majanga.