Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,762
- 40,987

Shimo kubwa ambalo lililopo katika barabara ya Morogoro karibu na NSSF jijini Dar es Salaam. (Picha na Hamisi Athumani)
My Take:
Kwa aliye kwenye Benz ameendelea sana; kwa anayetembea kwa miguu anaona maendeleo ya mwenye Benz na kuyatamani. Kwa mhandisi wa barabara, na yeye anatamani kuwa na Benz na viongozi wa Halmashauri wanajiuliza ni jinsi gani wataweza kuagiza Benz kwa watendaji wake.