Adrian2716
Member
- Oct 23, 2023
- 98
- 293
- Thread starter
- #21
usiseme hivyo hamna kitu kibaya kama usome kwa bidii alafu hata 3000 unakosashame... shame..
usiseme hivyo hamna kitu kibaya kama usome kwa bidii alafu hata 3000 unakosashame... shame..
Mkuu usikate tamaa, kusoma ni kuelimika..ukielimika unajua cha kufanya.Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Muelekeze ofsini kwenu alete CVUsikate tamaa, wakati wako bado. Endelea kumwomba Mungu ukiwa unapambana sana, one day utakuja ufanikiwe
elimu ni muhimu sana sana mkuuusiseme hivyo hamna kitu kibaya kama usome kwa bidii alafu hata 3000 unakosa
Kusoma ni kuelimika....Halafu kuna mtu kasoma hiyo hiyo accounting and finance.
Ana GPA ya 2.9 anainjoi maisha somewhere na wala hajutii kusoma.
hata pakuanzia sipaoni mkuuMkuu usikate tamaa, kusoma ni kuelimika..ukielimika unajua cha kufanya.
Usikariri lazima uajiriwe.. .
Fungua macho..........
kweli depal mimi hata nikilipwa 5000 sawa tu nipo ArushaMuelekeze ofsini kwenu alete CV
Tusaidiane kuishinda njaa kali![]()
Lewis MVincent njoo umsome mwanaume mwenzako...wewe ajabu unajifia kukimbia shule..Mkuu usikate tamaa, kusoma ni kuelimika..ukielimika unajua cha kufanya.
Usikariri lazima uajiriwe.. .
Fungua macho..........
unaona sifa kusema ulikimbia shule..Shame for what?
Nakuja. Nielekeze na mimiIla haya maisha basi tu.. Mungu atubariki
Anyways
We are open.. 😂😂😂
Nikuelekeze nini naweNakuja. Nielekeze na mimi
Dit bila shaka 😀Pole mkuu,
Mimi ni kati ya watu waliomaliza chuo wakiwa na gpa ndogo kweli. Nlisoma kozi siipendi kwa shinikizo la mzee plus nikafika chuo nikawa na mambo mengi. Sup za kutosha kila semister na course ilikuwa ngumu kweli watu kibao waka disco nashangaa hata nlitoboaje miaka 3.
Sasa kwakuwa nilijua gpa yangu ni ndogo sana nlijua siwezi compete na wenye ma gpa yao.
Niliamua kutafta njia zangu na kufanya vitu vingine. Luckily baada ya hapo nimewahi kuajiriwa sehemu 3 na kote huko sikuwahi kuulizwa cheti maana bali tu watu wananiajiri kwa experience au reference.
So, mkuu usikate tamaa maisha ni kupambana mlango huu ukizingua unacheki hata dirisha kama unaweza kupenya
Inaboa lakini.. mpk unaweza tamani rudisha siku nyuma, uchukue ada yako ukaifanyie mavitu.elimu ni muhimu sana sana mkuu
Tatizo mnajifanya mna hela, ningewapa madili ya hela😃😃Muelekeze ofsini kwenu alete CV
Tusaidiane kuishinda njaa kali 😂😂😂
kweli kabisa alafu unakuta umesoma kwa shidaaa, wakati mwingine chuoo unapiga pasi ndefuu tu, alafu home hakuna kitu daaah inaboaInaboa lakini.. mpk unaweza tamani rudisha siku nyuma, uchukue ada yako ukaifanyie mavitu.