Haya maisha bhana!!

Haya maisha bhana!!

Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.

Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.

Wakati wako bado Mkuu. Usiwaze negatively sana ndio maisha yalivyo, Sometimes You have to be content the way you are.
Hakuna mtu ambae yuko perfect 100 asilimia. Na kumbuka kwamba hata Mti wa Machungwa au Maembe matunda yake huwa hayaIvi yote kwa wakati mmoja kila tunda huiva kwa wakati wake.
Au sio Misss Leejay49 😅
 
Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.

Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa

Alyways ni rahisi sana kumtofautisha mwanaume na mvulana, kukosa tu kazi ndo unakufuru mpaka unahoji sababu ya kuzaliwa?
 
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.

Wakati wako bado Mkuu. Usiwaze negatively sana ndio maisha yalivyo, Sometimes You have to be content the way you are.
Hakuna mtu ambae yuko perfect 100 asilimia. Na kumbuka kwamba hata Mti wa Machungwa au Maembe matunda yake huwa hayaIvi yote kwa wakati mmoja kila tunda huiva kwa wakati wake.
Au sio Misss Leejay49 😅
Umenena vyema kiongozi 😊🤝
 
Back
Top Bottom