sio Tz tu..kote kugumu..ila ukiwa umeelimika kutusua ni easyInaboa lakini.. mpk unaweza tamani rudisha siku nyuma, uchukue ada yako ukaifanyie mavitu.
siyo maisha haya mkuu leo nilikuwa navuka lami nikatamani hata gari linipitieUlizaliwa ili uishi mkuu, usikufuru
Ofisini kweni nije unipe ajira...Nikuelekeze nini nawe
Depal ,Tunahitaji kusoma kwa bidii ili kuelimika, ukielimika unaweza kupambana mazingira na fursa zilizopo..
Kwanza elimu, pili kujua ufahamu ulionao unautumiaje kupambana na changamoto..
Usikufuru kuna watu hayo maisha yako wanayatamani, usikate tamaa kisa kukosa kazi.siyo maisha haya mkuu leo nilikuwa navuka lami nikatamani hata gari linipitie
😂😂 Hela watu hawakosi ndio maana 24/7 wako hewani. Wametoa pesa kununua bandoTatizo mnajifanya mna hela, ningewapa madili ya hela😃😃
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Unanimention dada ili niusome huo msuto 😂😂😂
usikufuru ....pole sanasiyo maisha haya mkuu leo nilikuwa navuka lami nikatamani hata gari linipitie
Sawasawa.. imeisha hiyo 👊👊😂😂 Hela watu hawakosi ndio maana 24/7 wako hewani. Wametoa pesa kununua bando
Tuanze na mtoa mada
Mtoa mada hajajifanya
Mpe deal.. ukimalizana nae
Nipe na mie nisiishiwe hela za kununua data 😂😂😂
Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
kama ana maokoto ya kutosha haijalishi😂unaona sifa kusema ulikimbia shule..
Umenena vyema kiongozi 😊🤝Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
Wakati wako bado Mkuu. Usiwaze negatively sana ndio maisha yalivyo, Sometimes You have to be content the way you are.
Hakuna mtu ambae yuko perfect 100 asilimia. Na kumbuka kwamba hata Mti wa Machungwa au Maembe matunda yake huwa hayaIvi yote kwa wakati mmoja kila tunda huiva kwa wakati wake.
Au sio Misss Leejay49 😅
Naitunza comment hivoo👏Sawasawa.. imeisha hiyo 👊👊
ah wapi..kama ana maokoto ya kutosha haijalishi😂
Sijui kwanini naona umejibu kidharau au kwa vile wewe unakula good time hapo kwenye kiyoyozi?Umewahi kuitwa kwenye interview? Na kama huwa unaanguka kwwenye interview unafeli jua hiyo GPA ulikuwa unakariri tu darasani
wekea na lamination kabisa 😃Naitunza comment hivoo👏
Nataka deal nipate hela ya vacay
Nipumzishe fuvu ili lipate new setting za kusaka madeal
😂😂😂
watu hawafanani mkuuSijui kwanini naona umejibu kidharau au kwa vile wewe unakula good time hapo kwenye kiyoyozi?