Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.

Pumbavu sana wewe...umetuletea porojo bila ushahidi wowote?....Bora shule zifunguliwe tuepukane na huu upupu....
 
1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia kwa sababu Tanzania kuwa ya kwanza africa ni sawa na kuwa wa kwanza kuingia chumba cha mtihani. Baada ya miezi michache kuna nchi Africa zitanunua ndege nyingi aina hii kupita tz. ( nyongeza)


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.

HAMNA JIPYA NYINYI....NENDA KAOLEWE NA MABEBERU WALIOKUTUMA.....MIAKA 3 KAMA 10....MTAPATA TABU SANA
 
Tabutupu, namba 2 umechemka. Kwa Africa Tanzania ndio ya kwanza kupokea ndege hiyo. Sijui wengine wote waliopiga order Africa mpaka sasa.
Soma vizuri engineer hapo namba 2 sijataja africa
 
1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia kwa sababu Tanzania kuwa ya kwanza africa ni sawa na kuwa wa kwanza kuingia chumba cha mtihani. Baada ya miezi michache kuna nchi Africa zitanunua ndege nyingi aina hii kupita tz. ( nyongeza)


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.
Huna swaga wewe, kaa pembeni nchi isonge mbele kimaendelea. Usibakie na element(s) zako za kipinzani kila kukicha.

Nchi ni yetu sote ifikie hatua tukubaliane na serikali kwa kazi nzuri inayofanya......


Kaa kushoto na uzi wako wa kufikilika!
 
Huna swaga wewe, kaa pembeni nchi isonge mbele kimaendelea. Usibakie na element(s) zako za kipinzani kila kukicha.

Nchi ni yetu sote ifikie hatua tukubaliane na serikali kwa kazi nzuri inayofanya......


Kaa kushoto na uzi wako wa kufikilika!
Wewe ndio huitaki nchi hii mema. Unadhani kwenda kwa kudanganya ndio maendeleo?
 
Wewe ndio huitaki nchi hii mema. Unadhani kwenda kwa kudanganya ndio maendeleo?
Wewe kweli TABUTUPU hauko mbali na jina lako la kufikilika. Kikubwa tuache na nchi yetu nenda unakotaka kwenda. Tutaitukuza serikal yetu mpaka mwisho.mamlaka yaliyoko dunian na mbunguni yapo.

Ishia zako mkuu.
 
Unamsifia ujinga tu. Watu wanaongelea maembe yao wewe na jamaa mnakuja na mafenesi yenu. Hoja ni Airbus 220-300 sio A350.
Mkuu ameeleza kuwa a350 ni ndege kubwa kupita a220-300 na Ethiopia tayari wamenunua 9. Hivyo tunaposema a220-300 ni ndege kubwa kuliko zote au hakuna nchi africa inyoweza kununua ni ujinga.
 
Halafu tutafika mahala tutaambiwa wote wanaopinga yaliyosemwa juu ya ndege hiyo sio wazalendo! Hivyo ndio vioja tulivyo navyo sasa hivi.
 
Wewe kweli TABUTUPU hauko mbali na jina lako la kufikilika. Kikubwa tuache na nchi yetu nenda unakotaka kwenda. Tutaitukuza serikal yetu mpaka mwisho.mamlaka yaliyoko dunian na mbunguni yapo.

Ishia zako mkuu.
Sasa mkuu unacho bisha hapo ni nini? Kipi ambacho sio sahihi?

Unataka kusema nchi zote africa zimeshindwa kununua ndege hii?
 
1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia kwa sababu , bei yake i ya kawaiada sana. Dreamliner 787 moja ni sawa na a200'-300 kama 3 hivi. Ethiopia wana dreamliner 787 kama 29 hivi.

Hivyo kuaema hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua hizi ndege ni kujidanganya. Kujiona ni simba wakati kila mtu anakuona ni paka.

Tanzania kuwa ya kwanza africa ni sawa na kuwa wa kwanza kuingia chumba cha mtihani. Baada ya miezi michache kuna nchi Africa zitanunua ndege nyingi aina hii kupita tz. ( nyongeza), egypt imeweka order ya ndege 14.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.
1) Wewe ndiyo muongo. Nani alisema hii ni ndege kubwa katika Afrika?

Hii ni ndege ya kwanza katika Afrika kwa ndege za aina ya Airbus a220-300 na ya tano katika dunia na zipo zingine 400 kwenye order ya kununuliwa mpaka December 2018.

Ushahidi wa kwanza: Air Tanzania Becomes First Airbus A220-300 Operator In Africa | Airways Magazine

Ushahidi wa pili: Air Tanzania becomes first African-based A220 operator
 
After all hizi ndege c za maguguli bali ni za wa Tz wote akiwemo magufuli so tusimbeze tumpongeze kwa kununua kwa niaba yetu
 
1) Wewe ndiyo muongo. Nani alisema hii ni ndege kubwa katika Afrika?

Hii ni ndege ya kwanza katika Afrika kwa ndege za aina ya Airbus a220-300 na ya tano katika dunia na zipo zingine 400 kwenye order ya kununuliwa mpaka December 2018.

Ushahidi wa kwanza: Air Tanzania Becomes First Airbus A220-300 Operator In Africa | Airways Magazine

Ushahidi wa pili: Air Tanzania becomes first African-based A220 operator
Haaa, wapi nimekanusha kwamba Tanzania sio nchi ya kwanza kumiliki a220-300 kwa africa? Soma vizuri kabla ya kucomment kwa mihemuko
 
Naunga mkono kufufua shirika letu la ndege lakini haya hapa chini ni uongo.

1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia kwa sababu , bei yake i ya kawaiada sana. Dreamliner 787 moja ni sawa na a200'-300 kama 3 hivi. Ethiopia wana dreamliner 787 kama 29 hivi.

Hivyo kuaema hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua hizi ndege ni kujidanganya. Kujiona ni simba wakati kila mtu anakuona ni paka.

Tanzania kuwa ya kwanza africa ni sawa na kuwa wa kwanza kuingia chumba cha mtihani. Baada ya miezi michache kuna nchi Africa zitanunua ndege nyingi aina hii kupita tz. ( nyongeza), egypt imeweka order ya ndege 14.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.
2) Hii ndiyo Airbus a220-300 ya kwanza Afrika.

Sasa hilo kama hupendi tuoneshe shirika lingine Afrika lenye Airbus a220-300 kwa jina lolote ulipendalo.

Ushahidi: Air Tanzania becomes first African-based A220 operator
 
Back
Top Bottom