Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Naona unazusha uongo mwenyewe halafu unakana tena mwenyewe, hii mpya kwa kkweli.
1.Sio ndegekubwa kuliko zote Africa hata dreamliner tu inaizidi hii airbus na kila mtu anafahamu hilo
2.Tanzania ni nchi ya kwanza Afrika kununua hiii ndege
3.Nchi yoyote ikiamua kuachana na rushwa inaweza kununua hii ndege
Yaani hizi siku kadhaa tu mbowe kuwa ndani Chadema mmekuwa na hoja dhaifu kiasi hiki,vipi akikaa miezi huko
 

Attachments

  • Screenshot_20181224-214151.jpg
    Screenshot_20181224-214151.jpg
    132.4 KB · Views: 70
Pia, inasemekana kuwa hakuna kiwanja inapoweza kutua hapa Africa isipokuwa JKNIA...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]binadamu bhana
Wakati inakuja ilitua ghana then ndio ikaendelea na safari ya kuja TZ,so mkuu unataka kutuambia ghana haipo afrika?tuacheni mambo ya kuzusha jamani,nchi za jirani zinatudharau sana kwa mambo kama haya
 
Nafikri umejichanganya mahali. Kwa upande wa dunia ndege hizi zimeanz akutumika mwaka 2016 na shirika la ndege la airbaltic. Ndio la kwanza kabisa kupokea hizi ndege.

Tanzania ni ya kwanza kwa upande wa afrika. Mpaka sasa ni nchi mbili tu africa ambazo zina miliki hii ndege .. tanzania na egypt.. egypt bado hazija wasili bado wanatengenezewa.



Kuhusu ukubwa. Sidhani kama kuna mahali mtu kasema kuwa hii ndege ni kubwa kuliko zote. Labda mtu asie na ufaham na hizi ndege.
Lakin pia boeing 787 sio ndege kubwa zaid.. kuna airbus 380 kwa upande wa abiria ndio kubwa zaidi.
1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.
 
Omba omba kivip mkuu ? Hii ndege ni direct competitor wa boeing 737 max.
Boeing 737 max lilikuwa pendekezo la mwanzon lakin kutokana na muda airbus ikachaguliwa.
hii haina tofauti na ombaomba Matonya kutamba kuwa wa kwanza kununua vitz miongoni mwa ombaomba wote nchini!

MADNESS!!
 
Ntatoa laki sita unitajie nchini inayomiliki CS300/A200-300 kwa Afrika ukitoa TZ ntakupa na kujitoa JF

nisawasawa na kujisifu kuwa una passo moja na jirani yako ana landcruiser tisa

TANZANIA
CS300/A200-300 -medium-range jet airliner with Capacity of 108 to 133-seat passengers
Unit cost US$ 89.5 million
Idadi ya ndege moja (1)



ETHIOPIA

Airbus A350 - long-range, twin-engine wide-body jet airliners with capacity of seat 280 to 366 passengers
Unit cost US$317.4 million
Idadi ya ndege tisa (9)
 

nisawasawa na kujisifu kuwa una passo moja na jirani yako ana landcruiser tisa

TANZANIA
CS300/A200-300 -medium-range jet airliner with Capacity of 108 to 133-seat passengers
Unit cost US$ 89.5 million
Idadi ya ndege moja (1)



ETHIOPIA

Airbus A350 - long-range, twin-engine wide-body jet airliners with capacity of seat 280 to 366 passengers
Unit cost US$317.4 million
Idadi ya ndege tisa (9)
Swali lingine jibu lingine,
Umeambiwa ukimtajia nchi nyingine barani africa inamiliki hiyo ndege A220/300 unapewa laki 6, hutaki ela mkuu.
 
hii haina tofauti na ombaomba Matonya kutamba kuwa wa kwanza kununua vitz miongoni mwa ombaomba wote nchini!
MADNESS!!

Naona awamu hii majigambo na sifa wanapenda sana; hawapotezi kila fursa inayojitokeza kujitangaza; na yanaanzia juu kabisa kwa mwenyekiti hadi kwa mtu wa chini kabisa ndani ya chama.

Sijui huko 'kuwa nchi pekee Africa' kunaongeza tija ?

Haya tumekuwa wa kwanza kuwa na ndege hiyo, itamletea maji kila mwananchi huku kijijini Mwanarumango? Mwenyekiti wa CCM anayapenda sana majigambo ya namna hii. Yeye siku zote akiwa mbele ya kamera ni kama yupo kwenye kampeni ya sifa au uchaguzi ya kudumu! akijisifu hivi.

Anikumbushe aliyemsikia Kikwete, Mkapa au Mzee Ruksa kwa kazi nzuri zilizofanyika kwenye awamu zao. Hii ni timu ya ajabu sana!
 
Umeangalia gharama ya airbus 350 xwb?
Hiyo pesa inaweza nunulia A220-300 tatu.

ATCl haiwez kushindanishwa na ethiopia airways kwa sasa sababu atcl ndio kama inaanza wkt ethiopia ilikuwa kwenye game miaka mingi na halijawahi kufilisika.

So yes kama shirika ambalo linaanza upya.. ninhatua kwa atcl.
Kamwe huwez kuanza kununua gari kali wkt hujapitia gari za chini japo si lazima.. ila utajiri huanza taratibu

nisawasawa na kujisifu kuwa una passo moja na jirani yako ana landcruiser tisa

TANZANIA
CS300/A200-300 -medium-range jet airliner with Capacity of 108 to 133-seat passengers
Unit cost US$ 89.5 million
Idadi ya ndege moja (1)



ETHIOPIA

Airbus A350 - long-range, twin-engine wide-body jet airliners with capacity of seat 280 to 366 passengers
Unit cost US$317.4 million
Idadi ya ndege tisa (9)
 
hii haina tofauti na ombaomba Matonya kutamba kuwa wa kwanza kununua vitz miongoni mwa ombaomba wote nchini!

MADNESS!!
La kujiuliza ni kwanini nchi zingine za Africa hazijanunua hiyo ndege.

Yawezekana wamefanya home work ya Cost-Benefit analysis wakaona haina haja ya kununua ndege hiyo.
 

nisawasawa na kujisifu kuwa una passo moja na jirani yako ana landcruiser tisa

TANZANIA
CS300/A200-300 -medium-range jet airliner with Capacity of 108 to 133-seat passengers
Unit cost US$ 89.5 million
Idadi ya ndege moja (1)



ETHIOPIA

Airbus A350 - long-range, twin-engine wide-body jet airliners with capacity of seat 280 to 366 passengers
Unit cost US$317.4 million
Idadi ya ndege tisa (9)
Excellent, hizo ndio comparison za kuwapa wabongo, wanakimbizwa sana na upepo wa propaganda
 
1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.
"CHA KUTUMWA" UPO, KWEMA KABISA HUKO UFIPA?
 
1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.

Namba 1 ni uongo, haijasemwa kwamba hiyo ni ndege kubwa kuliko zote barani Afrika.

2. Ni kampuni yenyewe imetangaza kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza barani Afrika kutumia ndege hiyo ya Airbus A 220.

Pili, ni aina ya injini inayotumika kwamba ni ya kwanza kuja Afrika, injini hiyo yaitwa GTF inatengenezwa na kampuni ya Pratt & Whitney na haijawahi kuuza injini kwa ndege za kwenda Afrika.

Na kwa kukuelimisha zaidi Tanzania na Air Tanzania inakuwa nchi ya tano duniani kumiliki ndege ya aina hiyo nyuma ya Swissair, Korean Air, Air Baltic na Delta Air Lines.

3. Tuseme ni uamuzi, je ni nchi ipi ingine ya Afrika imeamua kununua ndege kama hiyo ya Airbus A220?

Usipende kuandika tu mambo ambayo pengine unahitaji wigo mpana wa kuyaelewa.
 
Nafikri umejichanganya mahali. Kwa upande wa dunia ndege hizi zimeanz akutumika mwaka 2016 na shirika la ndege la airbaltic. Ndio la kwanza kabisa kupokea hizi ndege.

Tanzania ni ya kwanza kwa upande wa afrika. Mpaka sasa ni nchi mbili tu africa ambazo zina miliki hii ndege .. tanzania na egypt.. egypt bado hazija wasili bado wanatengenezewa.



Kuhusu ukubwa. Sidhani kama kuna mahali mtu kasema kuwa hii ndege ni kubwa kuliko zote. Labda mtu asie na ufaham na hizi ndege.
Lakin pia boeing 787 sio ndege kubwa zaid.. kuna airbus 380 kwa upande wa abiria ndio kubwa zaidi.
Mkubwa hata Boeing 787 sio ndege kubwa kwa Boeing, tuna 777-200 na 777-300 zinabeba watu wengi zaidi. Sifa ya boing 787 ni kwenda masafa marefu angani bila kuongeza mafuta.
 
1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.
Umemuona Cathelin yeye ametoa laki sita umthibitishie na akiisha kulipa anajitoa, mimi naomba niwe msimamizi wa hili najua sitakosa hata 1% ya hiyo laki sita mimi ni mtanzania wa kweli.
 
Nafikri umejichanganya mahali. Kwa upande wa dunia ndege hizi zimeanz akutumika mwaka 2016 na shirika la ndege la airbaltic. Ndio la kwanza kabisa kupokea hizi ndege.

Tanzania ni ya kwanza kwa upande wa afrika. Mpaka sasa ni nchi mbili tu africa ambazo zina miliki hii ndege .. tanzania na egypt.. egypt bado hazija wasili bado wanatengenezewa.



Kuhusu ukubwa. Sidhani kama kuna mahali mtu kasema kuwa hii ndege ni kubwa kuliko zote. Labda mtu asie na ufaham na hizi ndege.
Lakin pia boeing 787 sio ndege kubwa zaid.. kuna airbus 380 kwa upande wa abiria ndio kubwa zaidi.[/QUOTE

VERY TFUE A380 SIO ya kitoto aisee NI Kama ILE imetua kwa dharula those days hapa Tzs ya Emirates
 
Teheteheeee,uongo uliopindukia wa jiwe unafanya hadi watu wamchomekeee.

Nikikumbuka jiwe alivyo jitoa kifua mbereee na kudai eti nahodha wa mv nyerere ni daiwaka tuu asie na taaluma yoyote ile ya unahodha.
Pamoja na kwamba jiwe ni muongo wa kutupwa, ila hiyo namba 3 ya mleta mada sidhani kama amesema hivyo. Pamoja uongo wake jiwe, kwa hilo namtetea.
 
Back
Top Bottom