Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Pamoja na kwamba jiwe ni muongo wa kutupwa, ila hiyo namba 3 ya mleta mada sidhani kama amesema hivyo. Pamoja uongo wake jiwe, kwa hilo namtetea.
Kuna mtu anamzidi mkuu wa mkoa wa Tabora kwa uongo mkuu?
 
hii haina tofauti na ombaomba Matonya kutamba kuwa wa kwanza kununua vitz miongoni mwa ombaomba wote nchini!

MADNESS!!
kama kitambulisho nambamoja cha machinga ni cha mkuu unafikiria anaweza kuwa na mawazo gani?
 
La kujiuliza ni kwanini nchi zingine za Africa hazijanunua hiyo ndege.

Yawezekana wamefanya home work ya Cost-Benefit analysis wakaona haina haja ya kununua ndege hiyo.
Ndege bado ni mpya kabisa huku orders nyingi zikitoka ndani ya ulaya na marekani. Hii ndege haina hata miaka mitatu sokoni.. bado mpya.
Mbali na tanzania nchi nyingine ya africa walioweka order ni misri
 
Boss nikusahihishe. misri walipeleka order ya ndege 14 , lakin mpaka sasa hawaja receive jata moja. Bado airbus wako kwenye mchakato wa ku deliver ndege hizo.

Tanzania waliwah kupeleka order mapema ndio maana wamepata ndege mapema kabla ya misri.
Misri kampuni yao ya EgyptAir wamenunua hizo 24 mwaka jana. Yaani Ndege ishirini na nne.
 
Mkuu mbona unaongolea 380, hapa ndio najua kuwa unashabikia kitu usicho jua.

Ndege tanzania imenunua ni a200-300 ambazo miezi michache iliyopita zilikua Inaitwa c series (cs300)

Hivo inapozungumzia 380 , lini Tanzania imenunua 380?
Nafikri umejichanganya mahali. Kwa upande wa dunia ndege hizi zimeanz akutumika mwaka 2016 na shirika la ndege la airbaltic. Ndio la kwanza kabisa kupokea hizi ndege.

Tanzania ni ya kwanza kwa upande wa afrika. Mpaka sasa ni nchi mbili tu africa ambazo zina miliki hii ndege .. tanzania na egypt.. egypt bado hazija wasili bado wanatengenezewa.



Kuhusu ukubwa. Sidhani kama kuna mahali mtu kasema kuwa hii ndege ni kubwa kuliko zote. Labda mtu asie na ufaham na hizi ndege.
Lakin pia boeing 787 sio ndege kubwa zaid.. kuna airbus 380 kwa upande wa abiria ndio kubwa zaidi.
 
Misri walipeleka order lakin mpaka saaa airbus hawajafanya delivery ya hizo ndege.
Means bado hawajaletewa hizo ndege mpaka sasa.
 
Una akili sana

nisawasawa na kujisifu kuwa una passo moja na jirani yako ana landcruiser tisa

TANZANIA
CS300/A200-300 -medium-range jet airliner with Capacity of 108 to 133-seat passengers
Unit cost US$ 89.5 million
Idadi ya ndege moja (1)



ETHIOPIA

Airbus A350 - long-range, twin-engine wide-body jet airliners with capacity of seat 280 to 366 passengers
Unit cost US$317.4 million
Idadi ya ndege tisa (9)
 
La kujiuliza ni kwanini nchi zingine za Africa hazijanunua hiyo ndege.

Yawezekana wamefanya home work ya Cost-Benefit analysis wakaona haina haja ya kununua ndege hiyo.
Swali la kijinga, Tanzania inasemwa kuwa ya kwanza ni sawa na kuwa wa kwanza kuongia chumba cha mtihani lakini linapo kuja swala la kuwa wa kwanza kwenye mtihani ji jambo jingine kabisa. Sio kwamba ni gharama, ethiopia ina dreamlinner 29, dreamliner moja ni a200-300 mbili na ushehe.
 
Nafikiri ww ndio hauja niaelewa. Nimejarib kukanusha baadhi ya kauli ambazo ww unadai kuwa zilitamkwa.
Sina ushabiki lakin nataka kuweka fact wazi..
Sijakataa kuwa tanzania imenunua airbus A220-300 hapo awali ikijulikana kama Cs300..

Hakuna mahali nimendika kuwa tanzania tunamiliki A380, bali nilichondika ni kuwa kwa upande wa ndege za aibiria A380 ndio kubwa. Na tanzania hatuna uwezo wa kuimiliki .
Mkuu mbona unaongolea 380, hapa ndio najua kuwa unashabikia kitu usicho jua.

Ndege tanzania imenunua ni a200-300 ambazo miezi michache iliyopita zilikua Inaitwa c series (cs300)

Hivo inapozungumzia 380 , lini Tanzania imenunua 380?
 
Namba 1 ni uongo, haijasemwa kwamba hiyo ni ndege kubwa kuliko zote barani Afrika.

2. Ni kampuni yenyewe imetangaza kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza barani Afrika kutumia ndege hiyo ya Airbus A 220.

Pili, ni aina ya injini inayotumika kwamba ni ya kwanza kuja Afrika, injini hiyo yaitwa GTF inatengenezwa na kampuni ya Pratt & Whitney na haijawahi kuuza injini kwa ndege za kwenda Afrika.

Na kwa kukuelimisha zaidi Tanzania na Air Tanzania inakuwa nchi ya tano duniani kumiliki ndege ya aina hiyo nyuma ya Swissair, Korean Air, Air Baltic na Delta Air Lines.

3. Tuseme ni uamuzi, je ni nchi ipi ingine ya Afrika imeamua kununua ndege kama hiyo ya Airbus A220?

Usipende kuandika tu mambo ambayo pengine unahitaji wigo mpana wa kuyaelewa.
Sijataja africa mkuu, engineer sima vizuri....
 
Dah, kiongozi mbona sioni palipokosewa. Mtu akisema wa kwanza kumiliki haimaanishi wengine hawana ndege za airbus! Kenya Airways wana 318 Airbus ila tu ndugu yetu JPM alimaanisha kwa Model ya a220-300 hakuna ambaye anayo kwa sasa sisi ndio tumeanza kuimiliki ila haimaanishi wengine hawawezi miliki. Wabongo tupunguzege kudiss jamani,vingine tuwe na shukurani maana tunakuwa kama mwanamke malaya haturidhiki na kila kinachofanyika ni kulalamika tu na kuponda.
 
umetumwa na mabeberu wewe
beberu.jpg
 
Kama ni ya uongo wewe ina kuathiri nini tafuta kazi ya kufanya bro.
 
Nafikiri ww ndio hauja niaelewa. Nimejarib kukanusha baadhi ya kauli ambazo ww unadai kuwa zilitamkwa.
Sina ushabiki lakin nataka kuweka fact wazi..
Sijakataa kuwa tanzania imenunua airbus A220-300 hapo awali ikijulikana kama Cs300..

Hakuna mahali nimendika kuwa tanzania tunamiliki A380, bali nilichondika ni kuwa kwa upande wa ndege za aibiria A380 ndio kubwa. Na tanzania hatuna uwezo wa kuimiliki .
Sorry sikukuelewa mkuu
 
Tabutupu, namba 2 umechemka. Kwa Africa Tanzania ndio ya kwanza kupokea ndege hiyo. Sijui wengine wote waliopiga order Africa mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom