Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Umesahau kundi moja ambalo huwa mnalifumbia macho. Lile kundi la wanaomkosoa kwa nia njema.. wanakosoa ili kujaribu kumfumbua rais macho. Na hawa idadi yao inaongezeka zaidi.

Sasa ww umecomment kisiasa sana, si kila anae kosoa ni mpinzan, ni team lowassa sijui membe.. sijui ana maslahi gani... wengine vyama hatuna wala hatuma interest.. lakin hatuachi kumkosoa ili atoke usingizini.
nimefanya kautafiti kadogo wanaompinga JPM wapo katika makundi kadhaa
Kwanza kuna wale walikuwa kwenye team Membe na team lowassa ndani ya CCM hawampendi JPM
Pili ni kundi la wafanyabiashara ambao kutokana na utawala kuwa dhaifu Tanzania waliitumia kama mtaji.........(Yaani unaweza ukaja Tanzania ukafanya lolote lile kwenye biashara)
Tatu ni kundi wa watumishi waliotumbuliwa na waliokatiwa mirija ya upigaji serikalini (Mfano kuondoa pesa za miradi ya serikali kwenye mabenki, kuhakikisha mapato yote ya serikali yanakusanywa kwa kutumia EFD machines, kufanyia kazi baadhi ya mapendekezo ya reports za CAG; kuzuia wana siasa kukopa kwenye benki kuu nakadharika
Pia Magufuli anachukiwa na watu kutoka nje pia nao wanatokana na sababu zifuatazo
kwanza kwa kuzuia tuu usafirishaji wa mchanga wa makinikia share za ACACIA zimeshuka kwenye london stock exchange.......unadhani watampigia makofi kumpongeza
Pili kwa kuweka ukuta mererani na kudhibiti utoroshwaji wa Tanzanite kuna viwanda India vimefungwa maana havina malighafi ya Tanzanite
Tatu kwa kuwabomoa walanguzi wa korosho/ kuzuia fedha za export levy ambazo zilikuwa zinaishia kwa wanasiasa wachache/ kubana kangomba na kuzuia raw materials ya korosho kwenda nje kuna watu wengi walikuwa wakifaidia na sasa mirija imekatwa

Mkuu haya ni baadhi tuu.....ila kwa wenye akili nadhani 2020 ni Magufuli tuu.........Maana walizoea kula vya bure
 
Mkuu hivi kwanini Magufuli anapingwa kinyama sana na wananchi wake ?
Hawa si kwamba wanapinga bali wanapiga story kijiweni tuu baada ya shughuli zao za uzalishaji. Unajua watu wanapenda vitu vya blabla kama Nyegezi ilivyopata umaarufu. Vitu serious watu wameshafanya sasa Jf nipahala pa gahawa baada ya saa za kazi. First of all people are not genuine imagine kakolo.
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
Instagram%20media%20-%20BrzN4BWAKuJ.jpeg
 
Uliyoandika ni kweli mkuu.Watanzania tuna shida kubwa sana katika mambo mengi kwa ujumla.We have wrong mindsets,we are hypocrites and also lack logic.Nadhanu niseme tu kwamba siwaelewi WaTz.Kwani ukidanganya kuhusu hizo ndege unapata faida gani hasa?
 
Ww mwenyewe link yako inakupinga mkuu . Walicho andika hapa ni hiki.

"Speaking to al Ahram newspaper, Musallam said the first CS300 was due to arrive from Bombardier (BBA, Montréal Trudeau) between November 2018 and January 2019 while the first B787-9 is due from Boeing (BOE, Chicago O'Hare) in June 2019.

Egyptair has twelve firm and twelve optioned CS300s on order from Bombardier. The firm CSeries jets will deliver through 2020 while the optioned aircraft, if exercised, would be for delivery between 2020 and 2026. Collectively, they will replace EgyptAir Express's fleet of twelve E170s which are due to be phased out over the course of 2018 and 2019

. The firm CSeries jets will deliver through 2020 while the optioned aircraft, if exercised, would be for delivery between 2020 and 2026. Collectively, they will replace EgyptAir Express's fleet of twelve E170s which are due to be phased out over the course of 2018 and 2019"

Ukisoma kwa makini ninkwamba bado hazijawa delivered, walitarajia nov 2018 to jan 2019 lakin ratiba ikabadilika . ila wana tarajia delivery kufanyika between 2020 and 2026 instead of 2018 .. mwaka wa kudeliver umesogezwa mbele.

Unampokosa mwenzio kuhusu source yake.. na ww uje na ya kwako yenye uhakika. Source yako na wikipedia hazipingani, ningekushauri utembelee web page ya airbus upate taatifa kamili.
Egypt air bado hawaja receive Cs300 /A220-300. Bado order yao iko processed.

Source ya ni ya uhakika hata kama ni academic paper unaweza kuquote lakini sio wikipedia.

Ila mkuu nilijua unajua kinge vizuri kumbe bado. Hebu soma tena usiabishe shule za kata. HAYA SOMA KWA UMAKINI lakini nitakutafunia kidogo najua mambo ya kinge TZ aibu.

Wamesema zitakuwa delivered through 2020 and the optioned from 2020 to 2026. Kumbuka order ni 12 na 12 ni optioned. Hapo ugumu wa kuelewa uko wapi mkuu? Au form 4 ulizingua mkuu?
 
Thanks kwa kunikumbusha but my point is.. wao wamechelewa kupata ndege sababu ya wingi wa orders.. wkt sisi tulikuwa na orders ya ndege mbili tu

Kwani neno kumiliki maanake ni nini? Hata ukifika mahakamani?

Siku unalipia kitu na mnunuzi anakubali au siku unachukua au siku unapewa?

Thanks
 
Naunga mkono kufufua shirika letu la ndege lakini haya hapa chini ni uongo.

1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.

Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kwa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii.

Ni uongo pia kwa sababu , bei yake i ya kawaiada sana. Dreamliner 787 moja ni sawa na a 200'-300 kama 3 hivi. Ethiopia wana dreamliner 787 kama 29 hivi.

Hivyo kusema hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua hizi ndege ni kujidanganya. Kujiona ni simba wakati kila mtu anakuona ni paka.

Tanzania kuwa ya kwanza africa ni sawa na kuwa wa kwanza kuingia chumba cha mtihani. Baada ya miezi michache kuna nchi Africa zitanunua ndege nyingi aina hii kupita tz. ( nyongeza), egypt imeweka order ya ndege 14.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.


You are very right comrade; kilicho kipya kwenye ndege hiyo ni jina tu, kwa sababu hizo ndege ni Bombardier Q 300 na sasa zinaitwa Airbus 220 - 300. Ni ndege za zamani zina zaidi ya miaka miwili kwenye soko.
Sielewi kwa nini viongozi wetu wanapenda uongo kama watoto watukutu!
 
Mbona unatumia nguvu nyingi mno kukanusha, na kama tumedanganywa what is the point?
Hoja ni kwamba, sasa unadanganya ili iweje wakati hilo unalojaribu kuficha sio siri. This is a sheer stupidity.
 
Uongo ni pepo, iko siku watakuja kutwambia kuwa Tanzania ndio nchi ya kwanza kujenga SGR na bwawa kubwa ktk Afrika.

Wanasahau kuwa Tanzania pamoja na kuwa na mbuga adhimu kama Serengeti, Ngorongoro nk na pamoja na kuwa mzalishaji wa pekee wa Tanzanite duniani lkn vyote havijaisadia chochote nchi hii bado nchi imepambwa na umasikini usio na kifani.
 
Nikurekebishe. Mwanzon hii ndege iliitwa Cs300 na si Q300.
And yes kilichobadilika ni jina tu.. airbus walifanya hiv baada ya bombedier kuuza hisa zao.
Sion kama kuna jambo baya hapo?
You are very right comrade; kilicho kipya kwenye ndege hiyo ni jina tu, kwa sababu hizo ndege ni Bombardier Q 300 na sasa zinaitwa Airbus 220 - 300. Ni ndege za zamani zina zaidi ya miaka miwili kwenye soko.
Sielewi kwa nini viongozi wetu wanapenda uongo kama watoto watukutu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Elisikia.. mm na ww tunaweza agiza magari japan. Assume magari hayo ni toleo jipya kabisa...
La kwangu likifika mapema, basi mm ndio wa kwanza kuwa nalo, unless labda yafike sawa.
The same to this issue.. tanzania imekabidhiwa mzigo wa kwanza kabla ya misri. Means tz ndio ya kwanza kuwa nayo kwa upande wa afrika.
Kwani neno kumiliki maanake ni nini? Hata ukifika mahakamani?

Siku unalipia kitu na mnunuzi anakubali au siku unachukua au siku unapewa?

Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono kufufua shirika letu la ndege lakini haya hapa chini ni uongo.

1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.

Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kwa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii.

Ni uongo pia kwa sababu , bei yake i ya kawaiada sana. Dreamliner 787 moja ni sawa na a200'-300 kama 3 hivi. Ethiopia wana dreamliner 787 kama 29 hivi.

Hivyo kusema hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua hizi ndege ni kujidanganya. Kujiona ni simba wakati kila mtu anakuona ni paka.

Tanzania kuwa ya kwanza africa ni sawa na kuwa wa kwanza kuingia chumba cha mtihani. Baada ya miezi michache kuna nchi Africa zitanunua ndege nyingi aina hii kupita tz. ( nyongeza), egypt imeweka order ya ndege 14.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.

Na.3 inaweza kuwa kweli kwa sababu hata Boeing wenyewe wameizindua majuzi tu hapo mwanzo zilikuwa zinatengenezwa kwa jina la Bombardier
 
Elisikia.. mm na ww tunaweza agiza magari japan. Assume magari hayo ni toleo jipya kabisa...
La kwangu likifika mapema, basi mm ndio wa kwanza kuwa nalo, unless labda yafike sawa.
The same to this issue.. tanzania imekabidhiwa mzigo wa kwanza kabla ya misri. Means tz ndio ya kwanza kuwa nayo kwa upande wa afrika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuwa wa kwanza kupata lakini sio kumiliki. Kumiliki mko wawili.

Asante
 
Back
Top Bottom