Hawa wanawake wana ndoa?

Hawa wanawake wana ndoa?

Katika list umewasahau

Faiza fox
Halima mdee
Maria sarungi
Fatuma karume
tuvuke mipaka maana list ni wale mashuhuri uwanja wa kisiasa:

- waziri mkuu mstaafu wa Uingereza
-rais wa zamani wa Liberia
-chancellor wa Ujeruman
 
Mume wa Tulia Ackson anaitwa James Andilile Mwainyekule nafikiri bado anafanya kazi wizara ya nishati kama kamishna. Pia aliwahi kuwa ag. DG TPDC tuliwahi kufanya kazi wote mahala.

Asha-Rose Mtengeti mume wake anaitwa
Cleophas Migiro alikuwa mwalimu pale mlimani kwa mingi sana. Sina hakika kama bado yupo pale.
Huyu asha-rose..nakumbuka aliwahi kubadili dini ili aolewe
ndio maana ya kuongezeka jina moja hapo kwenye asha -rose..
sasa kuniambia mumewe ni huyo kwa sasa... ..... ..mmh! au aliachika tena na kuolewa tena!
 
Vicky ni mzuri sana..ila kaangukia hapo kwa machungu ya kuachwa siku chache kabla ya ndoa na mchumba wake!
Lakini aliwashwa na mama mkwere..kumkomoa kwa kudandia..mumewe...
Heshima na raha ya gari uanze nalo mwenyewe.
Sasa gari unajua kabisa allitumia mchagga, akamuuzia msambaa, msambaa nae kamuuzia mpare, mpare kamuazima mnyamwezi, mnyamwezi kalipanda na ndugu yake msukuma. Leo unauziwa?
 
Huyu chombo Catherine Magige nipeni mawasiliano
 
Vicky ni mzuri sana..ila kaangukia hapo kwa machungu ya kuachwa siku chache kabla ya ndoa na mchumba wake!
Lakini aliwashwa na mama mkwere..kumkomoa kwa kudandia..mumewe...
Kuwashwaje mkuu?
 
Unaweza dhani mwenzio ana tatizo kumbe wewe ndo mwenye tatizo. Yeye kauliza, kama huna jibu si ukae kimya!
Hakuna jambo gumu kama kufwatilia nyendo za jinsia ya kike//kavaa chupi rangi gani/anaongea na nani/kafanyajeeee/ lini tarehe za uchavushaji/ leo kalala na nani/kaachana na nani...etc......khaaaaa../SIKU utakayokaa ufahamu mawazo/mitizamo ya pande kinzania(me/ke) naona utakuwa huruuuu
 
Curiosity didn't kill the cat,ignorance did.
THE CAT usually smells and knows the enemy before the enemy makes a move... kufwatilia nyendo za jinsia ya kike//kavaa chupi rangi gani/anaongea na nani/kafanyajeeee/ lini tarehe za uchavushaji/ leo kalala na nani/kaachana na nani...etc......khaaaaa../SIKU utakayokaa ufahamu mawazo/mitizamo ya pande kinzania(me/ke) naona utakuwa huruuuu
 
Hakuna jambo gumu kama kufwatilia nyendo za jinsia ya kike//kavaa chupi rangi gani/anaongea na nani/kafanyajeeee/ lini tarehe za uchavushaji/ leo kalala na nani/kaachana na nani...etc......khaaaaa../SIKU utakayokaa ufahamu mawazo/mitizamo ya pande kinzania(me/ke) naona utakuwa huruuuu
Hili unaliona gumu. Hamia mtaani kwetu Buguruni kwa Mnyamani. Ndani ya wiki tutajua mpaka idadi ya vijiko vya sukari unavyotumia kwenye chai.
 
Huyu Gertrude Rwakatale ndiyo yule mchungaji wa mikocheni B? Kwa mujibu wa bishop Kakobe huyu mama ni kahaba ila sijui nani kampa uchungaji

Kwa vipi ?

Fafanua!

Vinginevyo itakuwa ni mkosea adabu mama wa watu (The Anointed one)!

Na kwa hiyo itakupasa toba.
 
Sasa kama Ndalichako
Labda aolewe kutokana na hela zake lakini sio kwa ile sura...

Uzuri wa mtu uko machoni pa mtu!

Usitake kumkufuru Mungu kwa kazi njema na nzuri ya kupendeza aloifanya ktk kuumba wanadamu ambao thamani yake hakuna binadamu anayeweza ijua isipokuwa Mwenyezi Mungu mwenyewe pekee!

Hivi binadamu unawezaje kuwaza na kuandika kuwa mtu fulani eti mbaya sijui nini?!

I can imagine kitu fulani kwako but I reserve it!
 
IMG_3596.JPG
 
Unataka umuone mume wa mwenzio umpeleke wapi?
 
Back
Top Bottom