Tatizo vijana mliozaliwa juzi hampendi kusomaHao wasioolewa inamaaana wamekosa wanaume au ni jeur tu? Wanapaswa kushitakiwa , Halafu mtu hajaolewa mnampaje ubunge? Mnampaje mtu ambae hajaolewa mnampa had uwaziri? Hivi nyie Mwalimu akifufuka atawachoma moto wote hao mnaoenda kumpigia kura msela anaeishi kihuni
Hakuna sehemu kwenye katiba inasema kama huna mume usipewe ubunge
Acha kumsingizia mwalimu wakati mpaka anakufa ulikua hujazaliwa.unamjua Lucy Lameck wewe?mwalimu alimpa ubunge na uwaziri wakati hakua ma ndoa