EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,189
- 20,637
Hapo kwenye orodha yako kuna tunda langu la roho sijui umelitaja kwa kujua au kwa kutokujua
Mbona unajikanyaga kanyaga wewe? Kama ungeuliza mambo yao ya siasa ningekuelewa kwa ending hii, lkn unauliza ndoa za watu na bado unasema huna nia ya kuchunguza familia za watuMwenye kujua samahani pia kwa uzi sina nia ya kuchunguza familia za watu.
Bila shaka tunda lako atakua TuliaHapo kwenye orodha yako kuna tunda langu la roho sijui umelitaja kwa kujua au kwa kutokujua
Umekosea vibaya kuotea,nitake radhiBila shaka tunda lako atakua Tulia
Hapo ndiyo baadhi ya wanawake huwa wananichekesha,wakicheza hata XX,wakishambuliwa wanaenda kutafuta mwavuli wa 'ma a taking au dada yako' ili waachwe wafanye upumbavu wao.Menina mwenyewe baadhi ya wanawake walisema video yake tusiisngalie,yule ni kama mama yetu au dada yetu.Ukimalizana nao kamuulize na mama yako akuonyeshe baba.
Kati ya vitu nimekuwa nikijiuliza ni kuhusu hawa wanawake tunu za taifa hili.
- Samia Suluhu
- Anne Makinda
- Joyce Ndalichako
- Anna Tibaijuka
- Jenista Mhagama
- Asha Rose Migiro
- Esther Bulaya
- Ummy Mwalimu
- Tulia Atkson
- Maua Daftari
- Julian Shonza
- Catherine Magige
- Getrude Rwakatare
- Getrude Mongella
Je, wameolewa na kama wameolewa waume zao wako wapi na wanafanya nini?
Kwanini pia hatuwaoni hata kwa bahati mbaya?
Mwenye kujua samahani pia kwa uzi sina nia ya kuchunguza familia za watu.
Kati ya vitu nimekuwa nikijiuliza ni kuhusu hawa wanawake tunu za taifa hili.
- Samia Suluhu
- Anne Makinda
- Joyce Ndalichako
- Anna Tibaijuka
- Jenista Mhagama
- Asha Rose Migiro
- Esther Bulaya
- Ummy Mwalimu
- Tulia Atkson
- Maua Daftari
- Julian Shonza
- Catherine Magige
- Getrude Rwakatare
- Getrude Mongella
Je, wameolewa na kama wameolewa waume zao wako wapi na wanafanya nini?
Kwanini pia hatuwaoni hata kwa bahati mbaya?
Mwenye kujua samahani pia kwa uzi sina nia ya kuchunguza familia za watu.
Huyo hana tofauti na giggy money kitabia,anadanga kuliko maelezoDuh Catherine Maggie kabla hajawa mb nlishaishi naye mtaa mmja nyuma ya mango garden vijana.....
Ngj niishie hapaaaaa
Ova
Kwa ile sura lazima jamaa anatumia cha arusha na ugoro ili amuone kama beyonceAna jamaa yake bonge la handsome ukiingia kwenye page yake instagram kuna siku alimtambulisha kwenye mkutano wa kampeni mbeya


Mbona yuko fresh tu mkuuKwa ile sura lazima jamaa anatumia cha arusha na ugoro ili amuone kama beyonce![]()
Ile sura ya kiganga hukuona analoga hadharani huko mbeyaMbona yuko fresh tu mkuu
Wote hao wameolewa isipokuwa mama Makinda na Juliana Shonza? Vipi mkuu unawatakia nini?Kati ya vitu nimekuwa nikijiuliza ni kuhusu hawa wanawake tunu za taifa hili.
- Samia Suluhu
- Anne Makinda
- Joyce Ndalichako
- Anna Tibaijuka
- Jenista Mhagama
- Asha Rose Migiro
- Esther Bulaya
- Ummy Mwalimu
- Tulia Atkson
- Maua Daftari
- Julian Shonza
- Catherine Magige
- Getrude Rwakatare
- Getrude Mongella
Je, wameolewa na kama wameolewa waume zao wako wapi na wanafanya nini?
Kwanini pia hatuwaoni hata kwa bahati mbaya?
Mwenye kujua samahani pia kwa uzi sina nia ya kuchunguza familia za watu.
Huyu ameolewa na ana watoto kadhaaa lakini ametengana na huyo mumewe akiwa tayari na watoto wakubwa. Katika ndoa za kikristo hakuna kuachana, kwahiyo bado anahesabika ameolewa. Hata kwenye harusi ya binti yake alionekana high table akiwa ameketi sambamba na huyo mzee baba mwenyewe Mr LwakatareRwakatare mtoa kwenye hy list, mana amewadanganya mabinti kuwa wanaume wataletwa na upepo wa kisulisuli.
Asha Mtengeti alipoolewa na Cleophas Migiro ndipo akapatapo jina jipya Asha-Rose Migiro. Huyo bwana ni Profesa wa sheria pale UDSMAsha Rose Migiro mme wake ni Lecturer pale udsm.
Am not sure if he is still there.
Tulia kaolewa
Anna Tibaijuka mmewe keshatangulia mbele za haki.
The least known the least explained.
Mume wa Bulaya humjui? Mbona yuko naye 'beneti' kila kona?Bulaya kama bado mwambieni namtaka...
SHIT! THIS WORSE TOPIC I EVER THINK YOU COULD JUDGE PERSONAL LIFE OF OTHERS!Kati ya vitu nimekuwa nikijiuliza ni kuhusu hawa wanawake tunu za taifa hili.
- Samia Suluhu
- Anne Makinda
- Joyce Ndalichako
- Anna Tibaijuka
- Jenista Mhagama
- Asha Rose Migiro
- Esther Bulaya
- Ummy Mwalimu
- Tulia Atkson
- Maua Daftari
- Julian Shonza
- Catherine Magige
- Getrude Rwakatare
- Getrude Mongella
Je, wameolewa na kama wameolewa waume zao wako wapi na wanafanya nini?
Kwanini pia hatuwaoni hata kwa bahati mbaya?
Mwenye kujua samahani pia kwa uzi sina nia ya kuchunguza familia za watu.