Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,051
Makubwa hayaKaolewa na halima mdee
Makubwa hayaKaolewa na halima mdee
Tulia kaolewa na nani???
Kuna watu wana moto!Juzi hapa alimtambulisha kabisa shemeji
- Samia Suluhu-kaolewa
- Anne Makinda-Hana ndoa
- Joyce Ndalichako-kaolewa
- Anna Tibaijuka-mjane
- Jenista Mhagama-Hana ndoa
- Asha Rose Migiro-kaolewa
- Esther Bulaya-hana ndoa
- Ummy Mwalimu-kaolewa
- Tulia Atkson-kaolewa
- Maua Daftari-sijui
- Julian Shonza-kaolewa
- Catherine Magige-hana ndoa
- Getrude Rwakatare-hana ndoa
- Getrude Mongella-kaolewa
Hakubahatika kupata wa kumtuliza tena.Jenista Mhagama -mjane
Mi nilibebwa na upepo wa kisulisuli lakini nikapitiliza pale kanisani sasa nimepotea kabisa nipo huku karibu na yombo tambuka reli...msaada wakuu




upepo bado unakusomba mkuu?Mr Mhagama( marehemu)Kwa nani?
Huu upepo wa kisulix2 kwanini usimpulize mdada mmoja aje anipe kompani? Kwani ni wa wanaume tu?upepo bado unakusomba mkuu?
Kwakweli sijui jaribu bahati yakoHakubahatika kupata wa kumtuliza tena.




Huu upepo wa kisulix2 kwanini usimpulize mdada mmoja aje anipe kompani? Kwani ni wa wanaume tu?







subili tu kisulisuli sio mchezo utapata tu haaaa haaaaMie niliona shemeji anatambulishwa basi mengine mmm sijuiKuna watu wana moto!
Wamebarikiwa watoto?
Sina simu yakeKwakweli sijui jaribu bahati yako![]()
Sina simu yake
Mpaka tutafute. Si unipe ya kwako tu besti. Kwanza yule yuko Dom waqt sisi tuko DarNgoja tutafute
Kwa ile sura lazima jamaa anatumia cha arusha na ugoro ili amuone kama beyonce![]()
Jenista Mhagama Mjane
Kwani utakaa na yeye in the dark siku zote. Kuna siku za kutoka kaka. Lazima uwe na kitu cha nguvu. Guu guu, tako tako, akismile stress zote kwisha. Akivaa simple cotton dress mwenyewe unaona raha. Mwanamke gani wa kuvaa vitenge vya wax na waya juu. Akisimail unadhani anafukuza ndege kwenye mpungaAll cats are grey in the dark.
I might as well add that all women have the same height when lying on a bed!
Mke wa mtu na alikoolewa wapo vzr.mtoto wa mmiliki wa vituo vya mafuta dom.....umbeya.comweka picha yake
Kuwa na mtoto na kuolewa ni vitu tofauti pengine kazalia jikoni( i mean nyumba ni kwao)Bulaya ana mtoto mkubwa tu anasoma form one au two.