Shetemba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 955
- 984
Mtaje tu usiogopeHapo kwenye orodha yako kuna tunda langu la roho sijui umelitaja kwa kujua au kwa kutokujua
Mtaje tu usiogopeHapo kwenye orodha yako kuna tunda langu la roho sijui umelitaja kwa kujua au kwa kutokujua
Maria Sarungi kaolewa.Katika list umewasahau
Faiza fox
Halima mdee
Maria sarungi
Fatuma karume
SHIT! THIS WORSE TOPIC I EVER THINK YOU COULD JUDGE PERSONAL LIFE OF OTHERS!
PLS TRY TO FOCUS YOUR LIFE BASICALLY INVESTING VARIOUS PROJECTS.
Now umenikumbusha MW NYERERE alivyosema TANZANIA tuna maadui watatu namely IGNORANCE, DIESEASE, AND POVERTY.
Uzuri wa mtu uko machoni pa mtu!
Usitake kumkufuru Mungu kwa kazi njema na nzuri ya kupendeza aloifanya ktk kuumba wanadamu ambao thamani yake hakuna binadamu anayeweza ijua isipokuwa Mwenyezi Mungu mwenyewe pekee!
Hivi binadamu unawezaje kuwaza na kuandika kuwa mtu fulani eti mbaya sijui nini?!
I can imagine kitu fulani kwako but I reserve it!
Ushaambiwa Migiro ni jina la mmewe, yeye la ukoo wake ni Mtengeti, unataka nini zaidi hapo ?Huyu asha-rose..nakumbuka aliwahi kubadili dini ili aolewe
ndio maana ya kuongezeka jina moja hapo kwenye asha -rose..
sasa kuniambia mumewe ni huyo kwa sasa... ..... ..mmh! au aliachika tena na kuolewa tena!
Sawa mama Lwakatale si awaombee hao na yeye mwenyewe- Samia Suluhu-kaolewa
- Anne Makinda-Hana ndoa
- Joyce Ndalichako-kaolewa
- Anna Tibaijuka-mjane
- Jenista Mhagama-Hana ndoa
- Asha Rose Migiro-kaolewa
- Esther Bulaya-hana ndoa
- Ummy Mwalimu-kaolewa
- Tulia Atkson-kaolewa
- Maua Daftari-sijui
- Julian Shonza-kaolewa
- Catherine Magige-hana ndoa
- Getrude Rwakatare-hana ndoa
- Getrude Mongella-kaolewa
Waulize hao wanakijiji wake kama bado anadanga na .,....Jenista mhagama ni mjane ila Kitambo Sana mmewe kafariki mmewe alikuwa mkandarasi wa mabarabara
Source- kwa mujibu wa wananchi wa kijiji alichozaliwa jenista mhagama kinaitwa PARANGO
Wewe jamaa nakukubali sana hints zote hatari hatari unazifahamu, ningekuwa na uwezo ningekupigia debe uingie chama kikuu. Na imani umenielewa MkuuNmekaa naye mtaa mmja
Jirani, hata tukionana Salam kwa kwenda mbele
Ngj niishie hapaa
Ova
Kajumulo huyu huyu wa KAJUMULO WORLD SOCCER...Mme wa Anna tibaijuka alifariki zaman Sana alikuwa anaitwa kajumulo Alexander tibaijuka.
Na kule bukoba kuna shule ya wasichana ya kummenzi inaitwa kajumulo Alexander high school
Asha Rose Migiro mme wake ni Lecturer pale udsm.
Am not sure if he is still there.
Tulia kaolewa
Anna Tibaijuka mmewe keshatangulia mbele za haki.
The least known the least explained.
Sina uhakika aisee ingawa wote ni wahayaKajumulo huyu huyu wa KAJUMULO WORLD SOCCER...
Aliyekuwa mmiliki wa Kajumulo timu iliyokuwa inacheza ligi kuu Tanzania Bara
