Hawa wanawake wako dunia ipi?

Hawa wanawake wako dunia ipi?

Mmmh Eli mwenzio sijazoea kula kwa mama ntilie napendelea kupata lunch malaika beach resort
kuna chakula kizuri sana pale and fresh juice.... Lol
(usiniulize bei make hata sijui ha ha ha)

images
images
images


Hahahahaaaaaaaaa!!!!!!!!
 
Ngoja ukute hata aliyosema ni fake pia!!!!!

Ha ha ha nikianza kuongea na kiswahili chenye mixer na maneno ya lugha iliopanda ndege
you know nyingi wakati ukinambia niongee sentesi moja tu inantoa jasho
utantakaaaa......
 
Ha ha ha nikianza kuongea na kiswahili chenye mixer na maneno ya lugha iliopanda ndege
you know nyingi wakati ukinambia niongee sentesi moja tu inantoa jasho
utantakaaaa......

Yaani we acha tu

Huku kila mtu ana degree

Hakuna wa form 4,6 au Std 7!
 
Afu nanyie mkiona hivi vimbwembwe vya kishua mnazuzuuka
mnashinda pm kutongoza, kutuma namba zenu he he he
wanaovutiwa na watu wa mitandaoni nao ni fake tu

bora hata ukizuzuka kuna wengne unaogopa hata kugusa pm yake unajua huyu sio level yangu unafikir ni bonge la mtoto wa kishua lakin kumbe anashindia ugali tembele tena 1 per day
 
Ukiona mtu anashinda PM kukutongoza jua huyo anataka akulambe tu

Ujue kabisa hilo

Ukijidai kupenda imekula kwako

Unajidai kulaumu wakati na nyie mmekaa kimauzo mauzo tu ...lol!
Sa atanivutiaje mtu wa mtandaoni wakati hata six pack sijaziona
Kumbe fifty fifty mauzo plus manunuzi
hureeee acha muvi iendelee
 
Yaani we acha tu

Huku kila mtu ana degree

Hakuna wa form 4,6 au Std 7!
You know what eeeh now nipo nafanya my second degree pale juma training collage
masters of business administration.....
 
Yaani we acha tu

Huku kila mtu ana degree

Hakuna wa form 4,6 au Std 7!

hii thread ya leo imegusa penyew..... Kweli sijawahi kuona mtu akisema yeye form4 au la7 wakat kuna wengne na sisi hapa la pili B
 
hii thread ya leo imegusa penyew..... Kweli sijawahi kuona mtu akisema yeye form4 au la7 wakat kuna wengne na sisi hapa la pili B

Mkuiu we acha tu

Hawa watu ukija kukutana nao mitaani na ukajua huyo ndio fulani bila yeye kujua unaweza kustaajabu sana
 
bora hata ukizuzuka kuna wengne unaogopa hata kugusa pm yake unajua huyu sio level yangu unafikir ni bonge la mtoto wa kishua lakin kumbe anashindia ugali tembele tena 1 per day

Mtandaoni: mie bila laki tano hujani undress
mtaani: hata buku ya bodaboda nachukua
usiogopeeeee rusha kete zako wewe
ila mi usijaribu make bila milion hujani undress lol....hivi si ningekuwa na gorofa mie teh
 
Mtandaoni: mie bila laki tano hujani undress
mtaani: hata buku ya bodaboda nachukua
usiogopeeeee rusha kete zako wewe
ila mi usijaribu make bila milion hujani undress lol....hivi si ningekuwa na gorofa mie teh
Nitakuibukia PM ili nione swaga zako!
 
Mkuiu we acha tu

Hawa watu ukija kukutana nao mitaani na ukajua huyo ndio fulani bila yeye kujua unaweza kustaajabu sana

Siku ukitaka kuniona nijulishe a week before ili nkaazime viwalo kwa fatu....
 
Siku ukitaka kuniona nijulishe a week before ili nkaazime viwalo kwa fatu....

Nitahakikisha nakuja kukuona bila wewe kujua ili nikuone kwanza halafu nakuja kukupa apointimenti ndo nione u fake wako!
 
Nitakuibukia PM ili nione swaga zako!

You know what japo boyfriend wangu yupo marekani kikazi
ila ana access pm zangu may be unipe namba nikuchek kwa whatsApp
(nitaazima tu simu mi natumia samsung ya tochi)
 
Ila kufake maisha sio mpango mnzuri na wote humu tuko high classic life hakuna wa daraja la chini
 
Back
Top Bottom