Bila Shaka ni huyohuyu Hassan Affif ndio baba yake na akram affif anayechezea Quatar?
Bila Shaka ni huyohuyu Hassan Affif ndio baba yake na akram affif anayechezea Quatar?
Amili mafutaa yupo wpi hpo1.Nurdin Bakari
2.Abdi Kassim Babi
3.Joseph Kaniki
4. Niko Nyagawa
5. Fredrick Mbuna
6. Juma Jabu JJ
7. Meshack Abel
8.Shamte Ali
9. Said Bahanuzi
10.Emmanuel Gabriel Mwakyusa
11.Mrisho Khalfani Ngasa
Hawa wakongwe nataka kujua kwa sasa wako wapi! je vilabu vina thamini mchango wao kwenye soka.
Paul Rwechungura sio Peter Rwechungura na kipa mwenzake alikuwa Madata Lubigisa.Nastahili kwakweli, Mimi ni shabiki wa Yanga, japo sio kama kipindi hicho, nakumbuka kuna game tulifungwa na Pamba ya Mwanza, ilikuwa 3-2 pale Taifa, sitakaa nisahau Yale maumivu, Pamba ya Moto balaa, kuna mtu anaitwa Fumo Felician, George Masatu anasimama kama Mkoba, golini kwao kuna mtu alikuwa anaitwa Peter Rwechungura kama sikosei, soka lilikuwa soka.
Hiyo mechi yanga alitangulia kupiga goli moja,yaani pamba walishambulia Kama nyuki na kupiga tatu za fastaPaul Rwechungura sio Peter Rwechungura na kipa mwenzake alikuwa Madata Lubigisa.
pasipo kumsahau cannavaroAmili mafutaa yupo wpi hpo
mwaka gani huu chief?Hiyo mechi yanga alitangulia kupiga goli moja,yaani pamba walishambulia Kama nyuki na kupiga tatu za fasta
Asante kwa masahihisho Mate....ni kweli kabisa sahihisho laki.Paul Rwechungura sio Peter Rwechungura na kipa mwenzake alikuwa Madata Lubigisa.
Said Mwamba Kizota, Thabit Bushako, Pichou Kongo, Kimanda Constantine.1. Steven Nemes
2. Bakari Malima Jembe Ulaya
3. Slyvatus Ibrahim Polisi
4. Banza Tshikala
5. Eustas Isack Bajwala
6. Anwar Awadh Kaicho
7. King Ken Mkapa Dalglish
8. Salvatory Edward Augustino
9. Sekilojo Johnson Chambua
10. Mohamed Husein Mmachinga
11. Ebily Jonas Lunyamila
12. Yusuf Fundi
13. Efraem Makoye
14. Said Maulid SMG
15. Chibe Chibe Chibindu
16. Mzee Abdalah
17. Mohamed Abdulkadir Tash
18. Abubakar Kombo
19. Henry Moris Ng'oye
20. Ally Yusuf Tigana
21. Abdul Maneno
22. Paul Jonh Masanja
23. Peter Manyika
huyu mchambuzi wa efm alikua noma?Nashangaa wote mmesahau kumtaja Jemedari Said Bin Kazumari- Kariakoo ya Lindi
Hapa hapanifai kutokana na umri, nikajua ningeona majina ya Kina Kenneth Mkapa, Zamoyoni Mogela, Issa Athumani, Fumo Felician, George Masatu na wengineo.
John Jacob MwansasuSaid Mwamba Kizota, Thabit Bushako, Pichou Kongo, Kimanda Constantine.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mi pia nilitegemea majina ya kina fikiri magoso (big boy), miaka ya tisini kuna msela tulikuwa tunapiganae vyombo, alikua anachezea Reli ya morogoro,Duncan butinini,alizunguaga morogoro hoteli nadhani,wahuni wakamtoa meno ya mbeleHapa hapanifai kutokana na umri, nikajua ningeona majina ya Kina Kenneth Mkapa, Zamoyoni Mogela, Issa Athumani, Fumo Felician, George Masatu na wengineo.
Makumbi juma)homa ya jiji, 'na kuna yule mzee wa kiminyioKuna akina abedi mziba, Moses mkandawile, Niko bambaga, mandata rubigisa , fumo felisian, Makumbi Juma, athumani china, jastin mtekele, malota soma, Christian sikinde mbunga, deogratias muhani, Juma mgunda, sahau kambi , smart boy husein Masha, twaha hamidu, idrisa ndunguru, fled Felix minziro, na wengine wengi
huyu machupa nasikia alikua balaaJohn Jacob Mwansasu
Juma Amir Maftaha
Athumani Machupa
Athumani Machepe
Athumani Jumapili Chama
Yusuf Macho Muso
Isa Manofu
Mtwa alishawahi kuchezea Reli ya morogoroWengi wamechoka, Mpira kipindi hicho haukuwa biashara kama sasa so wengi wapo mtaani Tu, Mimi nimekuwa mtaani Karibu kabisa na walipokuwa wanakaa Peter Tino, Gebo Peter na ndogo wao anaitwa Emma Peter, hii familia yote ilikuwa ina damu ya Mpira, Ila daaah, inasikitisha maana kuna wakati nilikutana na Emma Peter, kachoka kachakaa hata sijui wapo wapi sasa.
Kuna siku nilikutana na Kenneth Mkapa Arusha alikuwa poa kabisa tena tulikutana tizo asubuhi pale Sheikh Abeid, wapo wengine waliona mbali wakajiendeleza na ukocha, biashara kama Minziro,Jamhuri Kiwelu, Jamhuri alikuwa na mdogo wake anaitwa Mtwa Kiwelo sijui yupo wapi sasa, Ila ipo haja iandaliwe documentary moja kuhusu kile kizazi, nafikiri itakuwa poa Sana.