Hawa ndio Wasakata kabumbu maarufu nchini, mimi nikiwa shule ya msingi huko mkoani!

Kuna akina abedi mziba, Moses mkandawile, Niko bambaga, mandata rubigisa , fumo felisian, Makumbi Juma, athumani china, jastin mtekele, malota soma, Christian sikinde mbunga, deogratias muhani, Juma mgunda, sahau kambi , smart boy husein Masha, twaha hamidu, idrisa ndunguru, fled Felix minziro, na wengine wengi
Rekebosha Mkuu ni Celestine Sikind Mbunga , hatari sana.

Pia Makumbi Juma hakucheza enzi za Fumo wala Bambaga.

Malota soma daaah, Fundi sana huyu
 
Mimi nakumbuka enzi za akina
-- Nico Njohole.
--deo Njohole.
--Idd Pazi.
--Mrage wa Kabange.
--John Makelele zig zag
--Dan muhoja.
--eric sagala.
--moses mkandawile.
--Malota Soma,
--fransis mwikalo.
--aston Pardon.
--rapahel Paul.
--itutu kigi
--edward chumila.
--issa kihange.
---Twaha hamidu.
--adolph Kondo.
--mohamed nyauba,
--Mustapha Hoza.
-zamoyoni mogela.
--seleman Methew.
--Ayoub Mzee.
-- madaraka selemani.
-- Iddi selemani.
 
Abdallah Kibaden King
Athuman Mambosasa
Idd Pazi
Eric Sagala
Malota Soma ( Ball juggler)
Hassan Afif
Zamoyoni Mogella
Mchunga Bakari
Ally Machela
Hussein Masha
Hamis Gaga
Twaha Hamidu
Itutu Kiggi
George Masatu
Azizi Nyoni
Mussa Kihwelu
Muhesa Kiwelu
Kiwelu Mussa
Jamhuri Kiwelu
Fred Felix Minziro
Itaendelea........
 
Wewe dogo sana unataja watu wa juzi njoo na George Magere Masatu
Hussein Amaan Masha
Nico Bambaga
Edward Chumila
Sanifu Lazaro Tingisha
Mohamed Mwameja


Mtangazaji awe Juma Nkamia
 
Kikosi cha Coastal Union kilichochukua ubingwa wa ligi (sikumbuki mwaka)

1. Mohamed Mwameja
2. Said Kolongo
3. Joseph Lazaro
4. Douglas Muhani
5. Yasin Napili
6. Ally Maumba
7. Elisha John
8. Kasa Mussa
9. Hussein Mwakuruzo
10. Juma Mgunda
11. Razak Yusuph "Careca"
Kumbe mgunda kacheza ball
 
1.Nurdin Bakari
2.Abdi Kassim Babi
3.Joseph Kaniki
4. Niko Nyagawa
5. Fredrick Mbuna
6. Juma Jabu JJ
7. Meshack Abel
8.Shamte Ali
9. Said Bahanuzi
10.Emmanuel Gabriel Mwakyusa
11.Mrisho Khalfani Ngasa

Hawa wakongwe nataka kujua kwa sasa wako wapi! je vilabu vina thamini mchango wao kwenye soka.
Kuna story ya huyu Nurdin Bakari. Baada ya kung'aa AFC Arusha alisajiliwa na Simba. Kichekesho kikawa akachaguliwa timu ya taifa ya under 17!
Mechi ikachezwa taifa (sasa uhuru). Wapinzani wakakata rufaa tukapokwa ushindi. Cha ajabu FAT wakakata rufaa wakalipa $10000 ya rufaa.
Kwa ufupi mengine maveterani karibuni.
 
1.Nurdin Bakari
2.Abdi Kassim Babi
3.Joseph Kaniki
4. Niko Nyagawa
5. Fredrick Mbuna
6. Juma Jabu JJ
7. Meshack Abel
8.Shamte Ali
9. Said Bahanuzi
10.Emmanuel Gabriel Mwakyusa
11.Mrisho Khalfani Ngasa

Hawa wakongwe nataka kujua kwa sasa wako wapi! je vilabu vina thamini mchango wao kwenye soka.
Tuliofanya mitahani 3 ya shule ya msingi darasa la Saba tujuane na tusicomment neno hapa🤣🤣🤣🤣
 
Unajua ilikua mwaka 2012 Ile?.unatudanganya hapa mkuu haukua la pili

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Una cheti changu cha clinic?
Alichezea yanga mwaka 2012
Wewe unajua class tu nilikua mwaka gani?
Story nimeifupisha ili kupata maana niliyoikusudia! Au ulitaka nianzishe thread juu ya thread??

Unajua kwanini nimekujibu kwa maelezo!?
Ni kwasababu umesema mimi nadanganya!
Sipendi sifa ya UONGO.
 
1.Nurdin Bakari
2.Abdi Kassim Babi
3.Joseph Kaniki
4. Niko Nyagawa
5. Fredrick Mbuna
6. Juma Jabu JJ
7. Meshack Abel
8.Shamte Ali
9. Said Bahanuzi
10.Emmanuel Gabriel Mwakyusa
11.Mrisho Khalfani Ngasa

Hawa wakongwe nataka kujua kwa sasa wako wapi! je vilabu vina thamini mchango wao kwenye soka.
QURRESH UFUNGUO
YUSUF MACHO
SEKILOJO CHAMBUA
GEORGE MAGERE MASATU
VICTOR COSTA JUMBA
ULIMBOKA MWAKIGWE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom