Hawa ndio wamebakia watiifu wakweli wa hayati JPM wako pamoja nae hata baada ya kifo

Andre-Pierre

JF-Expert Member
Nov 4, 2019
328
1,209
Doto James, Ngusa Samike, Medard Kalemani wamebakia watiifu kwa hayati JPM hata baada ya kifo chake. Wengineo ni mamluki tu, hata yule wa Dodoma mzee wa “atake asitake tutamuongezea” sijamuona kwenye ibada ya swahiba wake!
IMG_0301.jpeg
IMG_0302.jpeg
 
Doto James, Ngusa Samike, Medard Kalemani wamebakia watiifu kwa hayati JPM hata baada ya kifo chake. Wengineo ni mamluki tu, hata yule wa Dodoma mzee wa “atake asitake tutamuongezea” sijamuona kwenye ibada ya swahiba wake!View attachment 2938316View attachment 2938319
Atake asitake alipigwa chini na marehemu kwenye ubunge,huwezi kumuona hapo ukizingatia ilikuwa ni kauli ya kujikomba na ikamponza.
 
Back
Top Bottom