Hawa hawakuhitaji natural justice? Lowasa tuambie

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
Wakati ule kikwete amefanikiwa kuchaguliwa na watanzania kwa zaidi ya asilimia 80 ya kura zote kila mtu alikuwa anajiuliza baraza la mawaziri litakuwaje lakini hakuna aliyekuwa anajiuliza waziri mkuu atakuwa nani .

Kwa hakika waziri mkuu alikuwa ameshajulikana kutokana na historia yenyewe ya raisi na jamaa zake wa karibu , kila mtu alijua ni lowasa bila kubisha .

Lowasa na kikwete wametoka mbali kuanzia chuoni pale UDSM , jeshini , kushika nyadhifa zingine serikalini na katika chama na mambo mengine mengi ya ushirikiano wao ukijumuisha wakina makamba .

Urafiki wao uliendelea kwa muda mrefu mpaka ilipofikia siku ambapo wote kwa pamoja lowasa na kikwete walipoamua kufanya biashara ya kusafirisha ngombe kwenda katika nchi za komoro .

Inasemekana walikuwa na ngombe zaidi ya 7000 hawa ngombe walitakiwa kusafirishwa kwa njia ya maji mpaka visiwa vya komoro , wakafikia makubaliano jinsi ya kusafirisha na mambo mengine .

Kwa kuwa lowasa ndio mtendaji mkuu akaamua kutafuta meli ya bei rahisi kupeleka hawa ngombe , meli yenyewe ilikuwa mbovu baada ya kufanyiwa maangalizi katika bandari ya dare s salaam .

Waziri mkuu pamoja na kujua ile meli ni mbovu akalazimisha ngombe wapakiwe kupelekwa komoro , meli ikaenda komoro kufika njiani meli ikapata matatizo , sehemu yenye ilikuwa ni ngumu kufikiwa kwa njia za karibu za maji .

Wale ngombe wakaanza kufa mmoja mmoja mpaka walipobakia ngombe 1400 , wakati huo lowasa ndio akaanza kutafuta njia za kupeleka chakula katika meli hiyo kwa njia ya ndege lakini alikuwa ameshachelewa sana .

Na hapo ndipo kisa cha kikwete na lowasa kilipoanza ,kama unafuatilia vizuri utakumbuka kikwete alikataza wanasiasa kujihusisha katika siasa na biashara au sio ?

Wakati anasema vile alijua fika aliyekuwa anamwambia nae ni waziri mkuu wa wakati huo mh lowassa , lakini alisahau kitu kimoja kwamba na yeye pia ni mfanya biashara tena biashara yake ya mwisho ni hii ya ngombe kusafirishwa kupelekwa komoro hapa napo sijui raisi atueleze nini tumwelewe .

Pamoja na yote haya lowasa anaendesha biashara kadhaa kwa kutumia majina ya watoto wake akina fredy ambaye yuko jijini kwa sasa na richi ambaye yuko nchini afrika kusini kwa sasa .
 
Wakati ule kikwete amefanikiwa kuchaguliwa na watanzania kwa zaidi ya asilimia 80 ya kura zote kila mtu alikuwa anajiuliza baraza la mawaziri litakuwaje lakini hakuna aliyekuwa anajiuliza waziri mkuu atakuwa nani .

Kwa hakika waziri mkuu alikuwa ameshajulikana kutokana na historia yenyewe ya raisi na jamaa zake wa karibu , kila mtu alijua ni lowasa bila kubisha .

Lowasa na kikwete wametoka mbali kuanzia chuoni pale UDSM , jeshini , kushika nyadhifa zingine serikalini na katika chama na mambo mengine mengi ya ushirikiano wao ukijumuisha wakina makamba .

Urafiki wao uliendelea kwa muda mrefu mpaka ilipofikia siku ambapo wote kwa pamoja lowasa na kikwete walipoamua kufanya biashara ya kusafirisha ngombe kwenda katika nchi za komoro .

Inasemekana walikuwa na ngombe zaidi ya 7000 hawa ngombe walitakiwa kusafirishwa kwa njia ya maji mpaka visiwa vya komoro , wakafikia makubaliano jinsi ya kusafirisha na mambo mengine .

Kwa kuwa lowasa ndio mtendaji mkuu akaamua kutafuta meli ya bei rahisi kupeleka hawa ngombe , meli yenyewe ilikuwa mbovu baada ya kufanyiwa maangalizi katika bandari ya dare s salaam .

Waziri mkuu pamoja na kujua ile meli ni mbovu akalazimisha ngombe wapakiwe kupelekwa komoro , meli ikaenda komoro kufika njiani meli ikapata matatizo , sehemu yenye ilikuwa ni ngumu kufikiwa kwa njia za karibu za maji .

Wale ngombe wakaanza kufa mmoja mmoja mpaka walipobakia ngombe 1400 , wakati huo lowasa ndio akaanza kutafuta njia za kupeleka chakula katika meli hiyo kwa njia ya ndege lakini alikuwa ameshachelewa sana .

Na hapo ndipo kisa cha kikwete na lowasa kilipoanza ,kama unafuatilia vizuri utakumbuka kikwete alikataza wanasiasa kujihusisha katika siasa na biashara au sio ?

Wakati anasema vile alijua fika aliyekuwa anamwambia nae ni waziri mkuu wa wakati huo mh lowassa , lakini alisahau kitu kimoja kwamba na yeye pia ni mfanya biashara tena biashara yake ya mwisho ni hii ya ngombe kusafirishwa kupelekwa komoro hapa napo sijui raisi atueleze nini tumwelewe .

Pamoja na yote haya lowasa anaendesha biashara kadhaa kwa kutumia majina ya watoto wake akina fredy ambaye yuko jijini kwa sasa na richi ambaye yuko nchini afrika kusini kwa sasa .

Thanks Shy,

Kwani ulipotelea wapi?

Sasa nini kilitokea kwa hao ngombe wengine 1400?
 
Wakati ule kikwete amefanikiwa kuchaguliwa na watanzania kwa zaidi ya asilimia 80 ya kura zote kila mtu alikuwa anajiuliza baraza la mawaziri litakuwaje lakini hakuna aliyekuwa anajiuliza waziri mkuu atakuwa nani .

Kwa hakika waziri mkuu alikuwa ameshajulikana kutokana na historia yenyewe ya raisi na jamaa zake wa karibu , kila mtu alijua ni lowasa bila kubisha .

Lowasa na kikwete wametoka mbali kuanzia chuoni pale UDSM , jeshini , kushika nyadhifa zingine serikalini na katika chama na mambo mengine mengi ya ushirikiano wao ukijumuisha wakina makamba .

Urafiki wao uliendelea kwa muda mrefu mpaka ilipofikia siku ambapo wote kwa pamoja lowasa na kikwete walipoamua kufanya biashara ya kusafirisha ngombe kwenda katika nchi za komoro .

Inasemekana walikuwa na ngombe zaidi ya 7000 hawa ngombe walitakiwa kusafirishwa kwa njia ya maji mpaka visiwa vya komoro , wakafikia makubaliano jinsi ya kusafirisha na mambo mengine .

Kwa kuwa lowasa ndio mtendaji mkuu akaamua kutafuta meli ya bei rahisi kupeleka hawa ngombe , meli yenyewe ilikuwa mbovu baada ya kufanyiwa maangalizi katika bandari ya dare s salaam .

Waziri mkuu pamoja na kujua ile meli ni mbovu akalazimisha ngombe wapakiwe kupelekwa komoro , meli ikaenda komoro kufika njiani meli ikapata matatizo , sehemu yenye ilikuwa ni ngumu kufikiwa kwa njia za karibu za maji .

Wale ngombe wakaanza kufa mmoja mmoja mpaka walipobakia ngombe 1400 , wakati huo lowasa ndio akaanza kutafuta njia za kupeleka chakula katika meli hiyo kwa njia ya ndege lakini alikuwa ameshachelewa sana .

Na hapo ndipo kisa cha kikwete na lowasa kilipoanza ,kama unafuatilia vizuri utakumbuka kikwete alikataza wanasiasa kujihusisha katika siasa na biashara au sio ?

Wakati anasema vile alijua fika aliyekuwa anamwambia nae ni waziri mkuu wa wakati huo mh lowassa , lakini alisahau kitu kimoja kwamba na yeye pia ni mfanya biashara tena biashara yake ya mwisho ni hii ya ngombe kusafirishwa kupelekwa komoro hapa napo sijui raisi atueleze nini tumwelewe .

Pamoja na yote haya lowasa anaendesha biashara kadhaa kwa kutumia majina ya watoto wake akina fredy ambaye yuko jijini kwa sasa na richi ambaye yuko nchini afrika kusini kwa sasa .

hiyo ilikuwa Mwaka Gani?
 
Shy:

Kwa kusoma posti yako naona ni njisi gani ndugu Lowassa anavyopenda kupata pesa bila ya kuwa na akili za kufanya biashara. Na hili ni tatizo la viongozi wengi wa Tanzania, wanafanya biashara lakini wanatumia vyombo vya umma kuendeshea biashara zenyewe.

Kwanini Lowassa alishindwa ku-calculate risks za kutumia meli mbovu? Na kwanini atumie ndege kuokoa ng'ombe 1400? Biashara yenye mtaji wa ng'ombe 7000 na ikapoteza ng'ombe 5600, hiyo sio biashara tena na ndege ilikuwa haiitajiki.

Vile vile kuna biashara ambazo watanzania wote watafanya hata kama ni viongozi. Mtu anayefuga ng'ombe wachache na kuwauzia wenzake maziwa, hawezi kukatazwa kuwa kiongozi. Hata Nyerere hakukataza biashara kama hizo. Na hata biashara ya kupeleka ng'ombe 7000 Comoro sioni kama scale ya biashara hiyo ni kubwa kuzuia mtu asiwe kiongozi iwapo tu vyombo vya serikali au umma havitatumika ku-support biashara yenyewe au kumzuia kiongozi kufanya kazi kwa ufanisi.

JK ana mapungufu yake tena makubwa sana lakini sioni kama biashara anazofanya zina-scale ya kumfanya mtu asiwe kiongozi. Na moja ya mapungufu makubwa ya JK ni kuchagua waziri mkuu ambaye ana ambitions za kutumia vyombo vya umma kufanyia biashara.
 
Wakati ule kikwete amefanikiwa kuchaguliwa na watanzania kwa zaidi ya asilimia 80 ya kura zote kila mtu alikuwa anajiuliza baraza la mawaziri litakuwaje lakini hakuna aliyekuwa anajiuliza waziri mkuu atakuwa nani .

Kwa hakika waziri mkuu alikuwa ameshajulikana kutokana na historia yenyewe ya raisi na jamaa zake wa karibu , kila mtu alijua ni lowasa bila kubisha .

Lowasa na kikwete wametoka mbali kuanzia chuoni pale UDSM , jeshini , kushika nyadhifa zingine serikalini na katika chama na mambo mengine mengi ya ushirikiano wao ukijumuisha wakina makamba .

Urafiki wao uliendelea kwa muda mrefu mpaka ilipofikia siku ambapo wote kwa pamoja lowasa na kikwete walipoamua kufanya biashara ya kusafirisha ngombe kwenda katika nchi za komoro .

Inasemekana walikuwa na ngombe zaidi ya 7000 hawa ngombe walitakiwa kusafirishwa kwa njia ya maji mpaka visiwa vya komoro , wakafikia makubaliano jinsi ya kusafirisha na mambo mengine .

Kwa kuwa lowasa ndio mtendaji mkuu akaamua kutafuta meli ya bei rahisi kupeleka hawa ngombe , meli yenyewe ilikuwa mbovu baada ya kufanyiwa maangalizi katika bandari ya dare s salaam .

Waziri mkuu pamoja na kujua ile meli ni mbovu akalazimisha ngombe wapakiwe kupelekwa komoro , meli ikaenda komoro kufika njiani meli ikapata matatizo , sehemu yenye ilikuwa ni ngumu kufikiwa kwa njia za karibu za maji .

Wale ngombe wakaanza kufa mmoja mmoja mpaka walipobakia ngombe 1400 , wakati huo lowasa ndio akaanza kutafuta njia za kupeleka chakula katika meli hiyo kwa njia ya ndege lakini alikuwa ameshachelewa sana .

Na hapo ndipo kisa cha kikwete na lowasa kilipoanza ,kama unafuatilia vizuri utakumbuka kikwete alikataza wanasiasa kujihusisha katika siasa na biashara au sio ?

Wakati anasema vile alijua fika aliyekuwa anamwambia nae ni waziri mkuu wa wakati huo mh lowassa , lakini alisahau kitu kimoja kwamba na yeye pia ni mfanya biashara tena biashara yake ya mwisho ni hii ya ngombe kusafirishwa kupelekwa komoro hapa napo sijui raisi atueleze nini tumwelewe .

Pamoja na yote haya lowasa anaendesha biashara kadhaa kwa kutumia majina ya watoto wake akina fredy ambaye yuko jijini kwa sasa na richi ambaye yuko nchini afrika kusini kwa sasa .

hadithi nzuri sana mwanangu ameipenda

ameniuliza baba lini ile hadithi itaisha na jee anazo hadithi nyengine, kaniomba kama umeandika kitabu unijuilishe wapi tutakipata
 
Thanks Shy,

Kwani ulipotelea wapi?

Sasa nini kilitokea kwa hao ngombe wengine 1400?

Dear Mwafrika wa kike ,

Mimi nipo tu na michakariko lakini siku hizi ninaendesha mailing list zangu pamoja na kuchangia katika groups za yahoo ambapo tunatumia majina kamili na kujuana kwa hakika , ila nipo tu kila nikiingia naona mada mpya na zimeshajaa nashindwa kujua nianze wapi nichangie ipi niache ipi ndio maana unaona niko zaidi kule chini katika ICT sijui wewe mwenzangu .

Hao ngombe wengine waliobaki walikufa mmoja mmoja mpaka hiyo meli iliporudishwa bandarini kwa matengenezo zaidi ndio wakati ule lowasa alipofanya ziada bandari ya DSM ghafla nia yake ilikuwa ni kwenda kupata ripoti ya meli

USIKU MWEMA
 
Hii imenikumbusha zile hesabu za mafumbo:

"Lowassa na Kikwete walikuwa na ng'ombe 7000 waliotaka kuwasafirisha kwenda Komoro. Baada ya kutumia meli kubwa kuwapeleka meli ile ilipata matatizo na ng'ombe wakachelewa kufika. Hata hivyo, walipofika mwisho wa safari ni ng'ombe 1400 waliofika. Je ni ng'ombe wangapi hawakufika? Unafikiri Lowassa na Kikwete wangeendelea kuwa marafiki"... (Alama 10)
 
Wakati ule kikwete amefanikiwa kuchaguliwa na watanzania kwa zaidi ya asilimia 80 ya kura zote kila mtu alikuwa anajiuliza baraza la mawaziri litakuwaje lakini hakuna aliyekuwa anajiuliza waziri mkuu atakuwa nani .

Kwa hakika waziri mkuu alikuwa ameshajulikana kutokana na historia yenyewe ya raisi na jamaa zake wa karibu , kila mtu alijua ni lowasa bila kubisha .

Lowasa na kikwete wametoka mbali kuanzia chuoni pale UDSM , jeshini , kushika nyadhifa zingine serikalini na katika chama na mambo mengine mengi ya ushirikiano wao ukijumuisha wakina makamba .

Urafiki wao uliendelea kwa muda mrefu mpaka ilipofikia siku ambapo wote kwa pamoja lowasa na kikwete walipoamua kufanya biashara ya kusafirisha ngombe kwenda katika nchi za komoro .

Inasemekana walikuwa na ngombe zaidi ya 7000 hawa ngombe walitakiwa kusafirishwa kwa njia ya maji mpaka visiwa vya komoro , wakafikia makubaliano jinsi ya kusafirisha na mambo mengine .

Kwa kuwa lowasa ndio mtendaji mkuu akaamua kutafuta meli ya bei rahisi kupeleka hawa ngombe , meli yenyewe ilikuwa mbovu baada ya kufanyiwa maangalizi katika bandari ya dare s salaam .

Waziri mkuu pamoja na kujua ile meli ni mbovu akalazimisha ngombe wapakiwe kupelekwa komoro , meli ikaenda komoro kufika njiani meli ikapata matatizo , sehemu yenye ilikuwa ni ngumu kufikiwa kwa njia za karibu za maji .

Wale ngombe wakaanza kufa mmoja mmoja mpaka walipobakia ngombe 1400 , wakati huo lowasa ndio akaanza kutafuta njia za kupeleka chakula katika meli hiyo kwa njia ya ndege lakini alikuwa ameshachelewa sana .

Na hapo ndipo kisa cha kikwete na lowasa kilipoanza ,kama unafuatilia vizuri utakumbuka kikwete alikataza wanasiasa kujihusisha katika siasa na biashara au sio ?

Wakati anasema vile alijua fika aliyekuwa anamwambia nae ni waziri mkuu wa wakati huo mh lowassa , lakini alisahau kitu kimoja kwamba na yeye pia ni mfanya biashara tena biashara yake ya mwisho ni hii ya ngombe kusafirishwa kupelekwa komoro hapa napo sijui raisi atueleze nini tumwelewe .

Pamoja na yote haya lowasa anaendesha biashara kadhaa kwa kutumia majina ya watoto wake akina fredy ambaye yuko jijini kwa sasa na richi ambaye yuko nchini afrika kusini kwa sasa .

We shy,

Source????
 
hadithi nzuri sana mwanangu ameipenda

ameniuliza baba lini ile hadithi itaisha na jee anazo hadithi nyengine, kaniomba kama umeandika kitabu unijuilishe wapi tutakipata

VITU VYOTE NINAVYOANDIKA NINAVYO KATIKA MFUMO WA CD KAMA UKO DAR ES SALAAM NITAWEZA KUMWAGIZA MTU AKULETEE KOPY AU KAMA UKO NCHI ZA ULAYA AU MAREKANI NAWEZA KUKUPA LINK YA FTP YANGU UWEZE KUBURUDIKA

ASANTE
 
Hii imenikumbusha zile hesabu za mafumbo:

"Lowassa na Kikwete walikuwa na ng'ombe 7000 waliotaka kuwasafirisha kwenda Komoro. Baada ya kutumia meli kubwa kuwapeleka meli ile ilipata matatizo na ng'ombe wakachelewa kufika. Hata hivyo, walipofika mwisho wa safari ni ng'ombe 1400 waliofika. Je ni ng'ombe wangapi hawakufika? Unafikiri Lowassa na Kikwete wangeendelea kuwa marafiki"... (Alama 10)
waliamua kuendela na urafiki ili adhma yao itimie,Basi baada ya miaka kumi ya kupiganania uongozi wa nchi hii kwa kutumia kalamu,wakafanikiwa kuongoza kwa mbewembwe nyingi na baraza kubwa la mawaziri,ilipotimia miaka miwili ya uongozi wao,Jk akakumbuka kuwa EL alishawahi kumzika pesa ya Ngo'mbe,wakadhauliana na kwa kuwa alitaka tena kumdhulumu pesa ya RIchmond,basi akaunganisha mambo yote mawili na kumshauri spika amuangamize kisiri,Mwakyembe akatumiwa kumdhalilisha sana,Kumuonea WAziri Mkuu Fisadi,na kumfadhaisha Mfitina Lowasa hii yote ni machungu ya kuchoka kuonekana yeye ni kiongozi na sio mfanyabiashara.Lowassa alifukuzwa kazi na akaamua kutuzuga kwamba kajiuzuru@

Mwanakijiji ulisema mwaka huu hauko tayari kuzugwa bali umeshazugika,tayari na wewe ni mmoja ya waliozugwa wakazugika,

Maada ilishapungua makali na suala la EPA limeanza kutoka kwenye mioyo ya watanzani sababu baaada ya kuchagua Baraza la Mawaziri Mkuu atatoa hotuba yenye matumaini ambayo itawalainisha watu wa kiteto na CCM kuchukua Jimbo kirahisi hapo tarehe 24 February.


Jambo ya msingi la kufanya hapa,Ni kuleta hoja Binafsi Bungeni ili Lowassa aeleze ni nani alibariki hoja ya RDC?Je Rais akubaliki Mpango wao wa RDCi?naamani kwa sasa bwana Mamvi habanwi na kiapo cha kuwa Waziri Mkuu.

Pili,kuna jambo la watu kutaka Uwaziri Mkuu kama Lowassa alivyosema,Je ni kina nani hao waroho wa madaraka ambao tuanataka kujua nia yao ni nini mpaka wautake huo Uwaziri Mkuu.

tatu,ni kuhus suala la Kagoda,Je ni nani na nani wanahusika sababu inavyoonekana kuna watu wanahifadhiwa(rejea maswali magumu ya Ngurumo)
baada ya kusema hayo,Naomba kutoa wazo kwa ole aweke stciky katika thread ya EPA na suala zima la Ufisadi wa BOT
 
Tatizo tunataka tutafuniwe na hata kumeza pia.

Shy ameweka fumbo sasa ili kutegua kila penye nino "kuendesha biashara" wewe weka "kuongoza nchi" na "biashara ng'ombe" weka "mradi wa umeme wa dharura wa Richmond"

Haya endeleeni wenyewe mkikwama niambieni niwasadie...
 
Mimi nilisha-declare interest kuhusu Lowassa, kwasababu namfahamu kwa karibu huku serikalini, na ninamfahamu vizuri kifamilia.

Tukijadili mapungufu ya kikazi, mimi nayakubali, na ndiyo maana wengi wamempongeza kwa uamuzi wa kishujaa wa kujiuzulu.

Lakini hapa ndani ya JF, watu wanaandika kama vile huyu mtu alihusishwa kibiashara na hili janga la richmond. Mhe Seleli alisema bungeni wakati alipomba PM mstaafu kutoa maelezo ya kauli yake, na akasisitiza kwamba kuhusu ownership na business interest ya richmond, PM mstaafu hayupo kabisa.

Sasa hapa tunakuwa hatuntendei haki kumwita mtu FISADI.. Kwasababu kubwa moja. Kama tulikuwa na matatizo na viongozi wetu wa serikali kufanya biashara, hilo lingekuwa bayana, na watu wangejua la kuchagua, lakini si hivyo tu, kwenye decalaration ya mali za viongozi, wametaja biashara zao zote, ili kuondoa conflict of interest.

Nimesikia kwenye ile ripoti, ameenda shahidi kusema mtoto wake anitwa richard ndiyo anahusika, huyo mtoto wake ana miaka 12, mara nyingi ameonenakana naye kwenye magazeti. Hapa ndugu yetu shy, akamtaja Fred - kama anfanya bishara, hilo nalikubali, lakini tuhoji anafanya biashara gani? Ukubwa gani? Kwa miaka mingapi?

Mimi ninachofahamu, biashara yao ya Alphatel, ni asilimia 30 ya biashara yote ya vodacom tanzania, na walianza mwaka 2000. Maana yake asilimia 30 ya airtime ya vodacom inayouzwa nchi nzima inasambazwa na wao....

Biashara yao ya Alpha Dry Cleaners, ni tangu 1999, na leo ndiyo Laundry & Dyrcleaners inayoongoza Dar, na wengi wetu tunaitumia.

Hizi zote zimeanza kabla ya uwaziri mkuu, na zimekuwa established vizuri sana kabla ya uwaziri mkuu. Kwahiyo hoja yangu ni kwamba, watu wanjishughulisha sana, lakini cha msingi tujue kama ni kinyume na taratibu za uongozi kwa familia kufanya biashara ambayo haina conflict of interest na uongozi wenyewe??

Mimi naamini utendaji kazi wa Lowassa, saa nyingine umemjengea maadui kwenye siasa, kwasababu ya ufuatiliaji, na akazushiwa mengi, lakini mpaka leo hii hamna lililothibitishwa hata moja. Kamati teule ilikuwa na pre-conceived idea yake, kama alivyosema Dr Msabaha, na walichofanya kujenga hoja zao kutumia minongono, magazeti, kauli nje ya kiapo ili kujenga hoja yao... Siyo utamaduni mzuri tuliyojijengea.
 
Ndugu KGBtz
NImefurahia sana mchango wako, kwa kusema mazuri ya EL. Lakini kuna moja umeacha lina-hang, kama yote yalikuwa ni minong'ono na uvumi kwanini EL amejiuzulu? Au kwa nini amejiuzulu kwa shutuma zisizo na msingi, kwa kuwa wewe unajua kiutendaji kazini na na hata biashara zake binafsi unaweza kutueleza zaidi! would you please! Na kwanini watu wanamchukia na kuleta minong'ono isiyo na kichwa wala miguu dhidi yake? na Kwanini isiwe minong'ono kwa wengine?
 
Nimeisikia hotuba ya Lowassa na akadai kwamba hakutendewa haki ya kutokuitwa na kuhojiwa katika tume ya Dr. Mwakyembe
Lakini Lowasa akasahau matukio ambayo amewahi kufanya akiwa PM bila kuzingatia natural justice ambayo yeye alidai ni muhimu sana katika utawala wa kidemokrasia. Kumbukumbu zangu kama ziko sahihi wafuatao walifukuzwa kazi na Lowassa mara moja bila kupewa nafasi ya kujieleza (natural justice)
1: Engineer wa Temeke baada ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa
kule temeke. Wana JF mtakumbuka, kijana alitimuliwa kazi on
the spot bila nafasi ya kujieleza nini kilitokea
2:Mkurugenzi wa wilaya ya Same,wakati wa mahindi ya msaada
wakati wa njaa. Mkurugenzi huyo alisimamishwa au kufukuzwa
kazi on the spot bila kupewa nafasi yeyote ya kujieleza na
Lowassa.
Swali: Ina maana Lowasa wakati huo alikuwa hajui maana ya
NATURAL JUSTICE? Sipati majibu kamili
 
Nimeisikia hotuba ya Lowassa na akadai kwamba hakutendewa haki ya kutokuitwa na kuhojiwa katika tume ya Dr. Mwakyembe
Lakini Lowasa akasahau matukio ambayo amewahi kufanya akiwa PM bila kuzingatia natural justice ambayo yeye alidai ni muhimu sana katika utawala wa kidemokrasia. Kumbukumbu zangu kama ziko sahihi wafuatao walifukuzwa kazi na Lowassa mara moja bila kupewa nafasi ya kujieleza (natural justice)
1: Engineer wa Temeke baada ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa
kule temeke. Wana JF mtakumbuka, kijana alitimuliwa kazi on
the spot bila nafasi ya kujieleza nini kilitokea
2:Mkurugenzi wa wilaya ya Same,wakati wa mahindi ya msaada
wakati wa njaa. Mkurugenzi huyo alisimamishwa au kufukuzwa
kazi on the spot bila kupewa nafasi yeyote ya kujieleza na
Lowassa.
Swali: Ina maana Lowasa wakati huo alikuwa hajui maana ya
NATURAL JUSTICE? Sipati majibu kamili

Huwezi kupata majibu maana Lowassa was very arrogant, alikuwa anatumia zaidi ubabe kuliko what he now calls NATURAL JUSTICE.
Nafikiri pia yeye alisahau matendo yake na ndo maana alijiona safi na kufikiri alistahili kupewa nafasi kujitetea just b'cos yeye alikuwa PM!!

Alisahau kwamba what goes around comes around
 
Usemalo naliunga mkono, huyu lowassa labda anajiona kwa uwaziri mkuu yupo juu ya haki. Lakini sishangai sana kwa hilo kwani hata kujiuzulu kwake anang'ang'ania kuwa hana makosa na kaonewa ina maana kuwa kwa yote yaliyojiri hana regrets, hicho ni kibri cha hali ya juu.

Kwa upande mwingine, niliyaona haya ya kibri hata wakati wa nyerere, alikuwa akitowa maamuzi tuu, yawe na madhara yasiwe na madhara, yeye anakurupuka tuu, mpaka kuna wakati watu (kwa siri) walikuwa wakimuita "haambiliki".
 
Nimeisikia hotuba ya Lowassa na akadai kwamba hakutendewa haki ya kutokuitwa na kuhojiwa katika tume ya Dr. Mwakyembe
Lakini Lowasa akasahau matukio ambayo amewahi kufanya akiwa PM bila kuzingatia natural justice ambayo yeye alidai ni muhimu sana katika utawala wa kidemokrasia. Kumbukumbu zangu kama ziko sahihi wafuatao walifukuzwa kazi na Lowassa mara moja bila kupewa nafasi ya kujieleza (natural justice)
1: Engineer wa Temeke baada ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa
kule temeke. Wana JF mtakumbuka, kijana alitimuliwa kazi on
the spot bila nafasi ya kujieleza nini kilitokea
2:Mkurugenzi wa wilaya ya Same,wakati wa mahindi ya msaada
wakati wa njaa. Mkurugenzi huyo alisimamishwa au kufukuzwa
kazi on the spot bila kupewa nafasi yeyote ya kujieleza na
Lowassa.
Swali: Ina maana Lowasa wakati huo alikuwa hajui maana ya
NATURAL JUSTICE? Sipati majibu kamili

Ukiachilia hilo la kuwakaushia watu vibarua vyao on the spot, kuna wale ambao alikuwa anakataa ripoti zao za maendeleo na kudai ni za kisanii, na kisha kuwauliza maswali ya kuwadhalilisha mbele ya wananchi! Yaani mkubwa huyu alikuwa kashakiuka 'Natural justice' siku nyingi sana, sasa nashangaa inakuwaje anakuwa wa kwanza kulalamika wakati kapewa anachostahili. Nadhani wakazi wa Mwanza wana uzoefu mkubwa sana na kadhia za bwana Mvi.
"Kipimo alichowapimia wenzake na yeye kapimiwa kile kile"
 
Back
Top Bottom