Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,028
- 54,321
Ni wakati sasa kwa ndugu yetu Pascal Mayalla kukubali kwamba, CCM ina wenyewe! Na yeye si mmoja wao.
Ni wakati sasa kwa ndugu yetu Pascal Mayalla kukubali kwamba, CCM ina wenyewe! Na yeye si mmoja wao.
Alijigeuza mfuasi wa mwendazake?Kwahiyo yule NJAA wamemwacha na njaa zake??
Lugha ya Malkia ngumu ilikuja na British Airways🥰🥰🥰Hawa wawe tofauti na kina Kimbisa, Makongoro maana wabunge wa EALA toka Uganda, Kenya na Rwanda tunawasikia wakichangia hoja lakini wetu wa kutoka Tanzania wamekuwa mabubu .
Wakati mwingine naona Hayati alikuwa na maana sana kuzuia Bunge live...Sasa kama wanachaguliwa na Comedian kama hawa unategemea nini?View attachment 2364888
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwenye wale 8 wa CCM, kuna Ph.D 3, daktari wa medicine 1, wanne waliobaki wote wana masters mbili mbili!.Hujazidiwa sifa, sema hawakuwataka tu nyie
Ina maana kizigha anaweza kukuzidi sifa
Nlikuambia tangu mwanzo mfumo wetu unataka watu akili ndogo ndiyo ziwe zinatuwakilisha....
Ova
MzilankendeAlijigeuza mfuasi wa mwendazake?
Nina kila sababu ya kuiombea CCM inyimwe kura 2025 na kuendelea.View attachment 2364755
- Ndg. Angela Charles Kizigha
- Ndg. Nadra Juma Mohamed
- Dkt. Shogo Richard Mlozi
- Dkt. Abdullah Hasnu Makame
- Ndg. Machano Ali Machano
- Ndg. Mashaka Halfan Ngole
- Ndg. Ansar Abubakar Kachwamba
- Ndg. James Kinyasi Millya
- Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe
Mkuu Pasco.Kwenye wale 8 wa CCM, kuna Ph.D 3, daktari wa medicine 1, wanne waliobaki wote wana masters mbili mbili!.
Kiukweli kabisa nimezidiwa sifa na vigezo.
P
Kikwenu sijui ila , kikwetu ni Wizard.MLOZI kikwetu ni.........
Nani huyoKwahiyo yule NJAA wamemwacha na njaa zake??
Kizigha, Maghembe na Ansar hao NI kama wanaendelea tu nyadhifa zao siyo wageni na Bunge la EALAView attachment 2364755
- Ndg. Angela Charles Kizigha
- Ndg. Nadra Juma Mohamed
- Dkt. Shogo Richard Mlozi
- Dkt. Abdullah Hasnu Makame
- Ndg. Machano Ali Machano
- Ndg. Mashaka Halfan Ngole
- Ndg. Ansar Abubakar Kachwamba
- Ndg. James Kinyasi Millya
- Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe
TumepigwaSasa kama wanachaguliwa na Comedian kama hawa unategemea nini?View attachment 2364888
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ansar kachwamba aliwahi kua headmaster wangu jamaa yupo vizuri hataki masikhara kabisaaaAnsar yupo vizuri nilihudhuria kongamano moja UD yeye aliongea alionyesha yupo vizuri kichwani
Kafanyaje mwalimu wetu?Hii nchi bado haijapata uhuru....niishie hapa nisije kufuru Bure! Kwanini tusikubaliane kuwa hii nchi ina Koo za Kifalme ambazo hadi vitukuu wanapewa keki ya taifa bureeee! ISIS, Boko Haram nk ni matokeo ya huu ujinga!
- Ndg. Ansar Abubakar Kachwamba.......!!!!!!!?
Mkuu unamfahamu baba yake na KCU(chama cha ushirika cha wakulima mkoani Kagera) CCM, Shule za sekondari za wakulima, nk?Kafanyaje mwalimu wetu?
Mradi tu huko tusije tukashuhudia vituko kama hivi...Ahsante kwa taarifa...
Kusema ukweli m sijui maisha ya kwao mimi alikua headmaster wangu ndo namfahamu ivo tuMkuu unamfahamu baba yake na KCU(chama cha ushirika cha wakulima mkoani Kagera) CCM, Shule za sekondari za wakulima, nk?
CCM haitegemei mtazamo wa wapiga kura, shtuka.Kawe wanajua kuna watu wenye uelewa mkubwa kiasi kwa hiyo anahitajika mtu mwenye uongo mwingi, propaganda nyingi na ushawishi mkubwa.
Kama itawezekana Kawe wamapatie Dr Edmund Mndolwa maana Gwajima na ujuaji wake wote bado Kawe hawamtakiwanamuona muongo muongo halafu hasikilizi wananchi anatembea na matukio.
Na kawe ina wapiga kura sio chini ya millioni moja na nusu. Moja ya jimbo linalosaidia sana chama dola kushinda.