Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,429
- 4,220
Msukuma ni kiboko .nimemsikia akianza kwa kuuliza aaa where are you for the past five years .
kina Zacharia Hanspope (rip) wajadili matatizo ya biashara za kuvuka mopaka
Ni mmoja wao ila HATOSHINi wakati sasa kwa ndugu yetu Pascal Mayalla kukubali kwamba, CCM ina wenyewe! Na yeye si mmoja wao.
Mbona kama wazanzibari wote?View attachment 2364755
- Ndg. Angela Charles Kizigha
- Ndg. Nadra Juma Mohamed
- Dkt. Shogo Richard Mlozi
- Dkt. Abdullah Hasnu Makame
- Ndg. Machano Ali Machano
- Ndg. Mashaka Halfan Ngole
- Ndg. Ansar Abubakar Kachwamba
- Ndg. James Kinyasi Millya
- Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe
paskal mbishi .tulimwambia humu hana uwezo wa kushindaNi wakati sasa kwa ndugu yetu Pascal Mayalla kukubali kwamba, CCM ina wenyewe! Na yeye si mmoja wao.
Babaako.popo-Ma
Njaa alishindwa kujieleza,akamsingizia Shyrose Bhanji.Njaa alikatwa ndani ya vikao vya chama cha mashetani.Kwahiyo yule NJAA wamemwacha na njaa zake??
Wote Chali.Eg. mohammed mnyaa chalii,wapi Ado Shaib?
jamaaa anaomba kura jf.Kumbe ndiyo alichokuwa anaomba humu?
kazigha mtu wa mama samia.ni mtu mwenye aliyekua analitaka sn jimbo la kawe,naona kwa nafasi hii kawe hagombei tenaHuyo unayemsema ni CEO wa National College of Tourismna pia ni Lecturer wa mambo ya Tourism and marketing management OUT anaitwa Shogo Mlozo Seyodeka amechaguliwa amepita wangemuacha kila mtu angeshangaa.
Huyu Angela Kizigha ni mtu legend huko CCM toka enzi za Nape katibu muenezi akamkata jina akamuweka mkwe wake. Nadhani inabidi apumzike sasa mama Kizigha maana kama ni pesa anayo ya kutosha.
Wewe unaishi dunia gani?!, mimi nilizidiwa sifa na vigezo siku nyingi na nikalisemea hili EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!Mbona sijaona jina la ndugu yetu mpendwa Pascal Mayalla ?
Msukuma ni kiboko .nimemsikia akianza kwa kuuliza aaa where are you for the past five years .
Kawe wanajua kuna watu wenye uelewa mkubwa kiasi kwa hiyo anahitajika mtu mwenye uongo mwingi, propaganda nyingi na ushawishi mkubwa.kazigha mtu wa mama samia.ni mtu mwenye aliyekua analitaka sn jimbo la kawe,naona kwa nafasi hii kawe hagombei tena