mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 6,954
- 9,857
Hata Hawa chawa Ado na genge lake la ACT watambue.Ni wakati sasa kwa ndugu yetu Pascal Mayalla kukubali kwamba, CCM ina wenyewe! Na yeye si mmoja wao.
Hata Hawa chawa Ado na genge lake la ACT watambue.Ni wakati sasa kwa ndugu yetu Pascal Mayalla kukubali kwamba, CCM ina wenyewe! Na yeye si mmoja wao.
Mnyaa alijua mapema sanaWote Chali.
Wa upinzani ametoka CUF!Nafikiri kuna wa upinzani hapo kama hakuna atatafutwa baadae
Sijui atakuwa mtoto wa Mwl. Queen Mlozi?MLOZI kikwetu ni.........
dr mndolwa anauzika ? Kwa wananchi na wajumbe?Kawe wanajua kuna watu wenye uelewa mkubwa kiasi kwa hiyo anahitajika mtu mwenye uongo mwingi, propaganda nyingi na ushawishi mkubwa.
Kama itawezekana Kawe wamapatie Dr Edmund Mndolwa maana Gwajima na ujuaji wake wote bado Kawe hawamtakiwanamuona muongo muongo halafu hasikilizi wananchi anatembea na matukio.
Na kawe ina wapiga kura sio chini ya millioni moja na nusu. Moja ya jimbo linalosaidia sana chama dola kushinda.
ana mzigo yule dada,ebu mwenye picha yake Kwanza tujikumbushe,nasikia jiwe la kale alikulaga palengumu sana. angella kizigha kilaza wa kutupwa huyo sema nnya yambebe yahee
Kwani watanzania tuna uelewa mdogo, au?Wengi hapo sijuwi kama wataweza debate na wakenya, rwanda, gandas
Ova
anko huwa uko serious au ndo km una jaribu?Wewe unaishi dunia gani?!, mimi nilizidiwa sifa na vigezo siku nyingi na nikalisemea hili EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!
P
We ananionaje?.anko huwa uko serious au ndo km una jaribu?
hauko seriousWe ananionaje?.
P
Ukweli usemwe Furaha ndani ya jimbo la kawe hajulikani kabisa miongoni mwa wananchi huwezi kumfananisha Jerry Slaa ukonga anavyojulikana na Furaha kawedr mndolwa anauzika ? Kwa wananchi na wajumbe?
Kawe amngepata yule furaha walau ccm ingekua poa,huyu gwajima hata mm simkubali
unawajua wajumbe wa kawe vzr? Ok sawa km mzee mndolwa anafaa kaweUkweli usemwe Furaha ndani ya jimbo la kawe hajulikani kabisa miongoni mwa wananchi huwezi kumfananisha Jerry Slaa ukonga anavyojulikana na Furaha kawe
wanamjua watu wa huko huko jackies na wala bata wa mjini wale wanoshinda kwa octar pale ubalozi, leaders zile type za kina lemutuz na wajumbe. Sababu alikuwa mkono wake sio mfupi kuwacheck wajumbe
Kawe anahitajika mtu mwenye akili zake na ana mzigo wa kutosha na ana cv. Kawe hata wakituletea Dr Fenela Mukangara hatoboi. Calibre ya Mzee Mdolwa ndio inafaa kawe.
Hujazidiwa sifa, sema hawakuwataka tu nyieWewe unaishi dunia gani?!, mimi nilizidiwa sifa na vigezo siku nyingi na nikalisemea hili EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!
P
Wenye uelewa hawaingizwi hukoKwani watanzania tuna uelewa mdogo, au?
Ana nini Mzee Mndolwa si muonyeshe..kote alikopita aliacha nini? Maneno maneno ya nini, taja alama alizoweka huko alikopita, jumuiya tu hiyo ya wazazi hakuna lolote analofanya huhitaji darubini kumpima kama anafaa au hafai, kitu gani unadhani anacho sasa hakuwa nacho huko alikopita kuwapa hata hao watu wa kawe tu.Ukweli usemwe Furaha ndani ya jimbo la kawe hajulikani kabisa miongoni mwa wananchi huwezi kumfananisha Jerry Slaa ukonga anavyojulikana na Furaha kawe
wanamjua watu wa huko huko jackies na wala bata wa mjini wale wanoshinda kwa octar pale ubalozi, leaders zile type za kina lemutuz na wajumbe. Sababu alikuwa mkono wake sio mfupi kuwacheck wajumbe
Kawe anahitajika mtu mwenye akili zake na ana mzigo wa kutosha na ana cv. Kawe hata wakituletea Dr Fenela Mukangara hatoboi. Calibre ya Mzee Mdolwa ndio inafaa kawe.
huyo sio mwanasiasaDizain yao hawatakiwi
Ova
Naam, ndiye.Sijui atakuwa mtoto wa Mwl. Queen Mlozi?
Wabunge kutoka ACT ni wangapi ? Au wameangukia Kichwa?View attachment 2364755
- Ndg. Angela Charles Kizigha
- Ndg. Nadra Juma Mohamed
- Dkt. Shogo Richard Mlozi
- Dkt. Abdullah Hasnu Makame
- Ndg. Machano Ali Machano
- Ndg. Mashaka Halfan Ngole
- Ndg. Ansar Abubakar Kachwamba
- Ndg. James Kinyasi Millya
- Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe