Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,383
- 81,846
Ishu ni kwamba, huo mwenge na mbio zake kwa ujumla! kwa sasa ni zilipendwa! Kiufupi umeshapitwa kitambo na wakati.Basi kama hivyo hata makaburi yasilindwe..
Au hata wake za Marais waliostaafu wasilindwe...
Unajua maana ya hadhi?Huo mwenge umepewa hadhi...
Hivyo unastahili kabisa kuhifadhiwa kwenye jumba la Makumbusho ili kuokoa fedha za walipa kodi wa nchi hii, na pia kupunguza maambukizi ya magonjwa mfano ukimwi na corona.