Bila huo ccm itakufa, inatakiwa muende mkacheze disco la mwenge Ili kuichagua ccm kwenye boxNa wanalipwa. Hivi nchi hii bado kuna wapumbavu wanaenda kuangalia huo uchawi wa mwenge?
Aiseee !!Bila huo ccm itakufa, inatakiwa muende mkacheze disco la mwenge Ili kuichagua ccm kwenye box
Ccm haishindi kwa box la kuraBila huo ccm itakufa, inatakiwa muende mkacheze disco la mwenge Ili kuichagua ccm kwenye box
Kwani ule mwenge wa "OLYMPIC" haulindwi ?!!!!Hivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
😍Basi kama hivyo hata makaburi yasilindwe..
Au hata wake za Marais waliostaafu wasilindwe...
Unajua maana ya hadhi?Huo mwenge umepewa hadhi...
Kwahiyo unalinganisha mwenge na kaburi, very interesting.![]()
Aiseee !!
Hadhi ya kishirikina ? hakuna mradi wowote uliozinduliwa na mwenge uliodumu hata kwa miezi 6 , fanya uchunguzi
Duuuh hatari kweli moshi tuu unalindwa kwa mamilioni ya pesa
Hii nchi ya hovyo sana
Hivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
Boss hadhi ya nini sasa kwa kijinga cha moto? Mwenge una umuhimu gani?
Au ndio ibada za kishetani tu
Nilifanya utafiti na kushuhudia haya unayosema
Yaani mpaka mashamba waliyolima watu binafsi yalikauka baada ya moshi kupita tu
Sijui ni coincidences au
Lakini sidhani maana ni miradi mingi inakufa tu
Sijui huwa wehu hawa askal aisee
Hadhi? Maybe?!
Hadhi ya kuongeza na kuboost rate ya magonjwa ya zinaa.
Ni mchongo tu wa watu kupiga mpunga. Hakuna kingine zaidi ya ufisadi tuu..
Hebu tueleze umuhimu wa mwenge na sisi tujue.
Huo Mwenge ndio umebeba ushirikina wote wa ccm kushika hatamu.
Inaonekana Jiwe alitaka kuuwondowa kabisa usikimbizwe lakini wale wazee wa kwenye inner cycle wakamuonya fanya yote lakini mwenge usiuguse.
Ule mwenge ndio unatumika kila mwaka kuwapumbaza Watanzania, mimi nashukuru watoto wangu hakuna mwenye interest na ule ushirikina hata ikitokea unalala kwenye kata yetu huwezi kuwaona wakisogea huko.