NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
Katika mchezo wa Simba sc vs Al ahly siku tatu kabla Kuna kikosi kinachojiita Makomandoo wa Simba sc kilikwenda kuweka kambi kwa dhumuni la kulinda uwanja wa Mkapa.
Juhudi ziligonga mwamba baada ya Maofisa wa CAF kuwazuia hao makomandoo kulinda uwanja.
Hii siyo kwa Simba sc tu hata kwa Yanga sc Hawa huwa wanautamaduni huo wa kulinda uwanja haswa kipindi Cha Dabi ya Kariakoo na mechi za kimataifa.
Swali la kujiuliza Hawa makomandoo huwa wanalinda Nini? Na wakati uwanja una security guards ambao wanalipwa kwa mwezi Sasa hao makomandoo wanakua hawana Imani na hao walinzi kuwa uwanja utaibiwa na timu zao zisicheze?
Jibu ni hakuna Bali kinachoendelea hapo kwenye ulinzi wa makomandoo ni Imani za kishirikina na uchimbaji wa uwanja (uharibifu) hakuna kingine zaidi ya hilo tukubali tukatae.
Maoni Yangu : TFF&,Meneja wa uwanja ipige marufuku timu kuingiza makomandoo wao kabla ya mechi kuanza kwani wanaharibu uwanja mbona CAF walizuia huo UPUUZI (ushuzi) wa makomandoo na wakafanikiwa.
Juhudi ziligonga mwamba baada ya Maofisa wa CAF kuwazuia hao makomandoo kulinda uwanja.
Hii siyo kwa Simba sc tu hata kwa Yanga sc Hawa huwa wanautamaduni huo wa kulinda uwanja haswa kipindi Cha Dabi ya Kariakoo na mechi za kimataifa.
Swali la kujiuliza Hawa makomandoo huwa wanalinda Nini? Na wakati uwanja una security guards ambao wanalipwa kwa mwezi Sasa hao makomandoo wanakua hawana Imani na hao walinzi kuwa uwanja utaibiwa na timu zao zisicheze?
Jibu ni hakuna Bali kinachoendelea hapo kwenye ulinzi wa makomandoo ni Imani za kishirikina na uchimbaji wa uwanja (uharibifu) hakuna kingine zaidi ya hilo tukubali tukatae.
Maoni Yangu : TFF&,Meneja wa uwanja ipige marufuku timu kuingiza makomandoo wao kabla ya mechi kuanza kwani wanaharibu uwanja mbona CAF walizuia huo UPUUZI (ushuzi) wa makomandoo na wakafanikiwa.