Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,591
Ni ibada ya mashetani.Pengine hii ni ibada
Ni ibada ya mashetani.Pengine hii ni ibada
Hadhi ya kishirikina ? hakuna mradi wowote uliozinduliwa na mwenge uliodumu hata kwa miezi 6 , fanya uchunguzi
Hadhi? Maybe?!Basi kama hivyo hata makaburi yasilindwe..
Au hata wake za Marais waliostaafu wasilindwe...
Unajua maana ya hadhi?Huo mwenge umepewa hadhi...
Hivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
Sijui huwa wehu hawa askal aisee
Tamaduni zetu tuzilinde kwa gharama yoyoteDuuuh hatari kweli moshi tuu unalindwa kwa mamilioni ya pesa
Hii nchi ya hovyo sana
Bila shakaHuyo askari kapangiwa tu duty.
Na yeye anaitaka 20k ndio maana kakubali.
Na aliyempangia lindo hilo naye kapanga kwakuwa anataka posho.
Kwani mwenge unabaka? Watu wanapeana uroda wenyewe, lawama alaumiwe mwenge? Hiyo ni akili au matope?Wengine wakina nani wanaona una umuhimu?
Umuhimu wake ni upi? Kuzalisha mimba zisizo na baba na kuongeza STDs katika jamii.
Hapo ndipo Siri ya ccm ilopolala hapo.jiwe alijaribu kuligusa hilo dude kwa kukiuka mashariti yake yakamkutaHivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
Ile ni roho kamili iloyobeba maagano jiulize pamoja na ugumu wa maisha wanayoishi police still bado wanaishabikia ccm Ili waendelee kuwa masikiniMleta Thread Una Hoja Nzito Sana Tena Supporting Ya Picture Dubwasha Likiwaka Linakamua Wese
Linapewa Salaam Ya Utii.......
Mhhhh mkuu,hebu lete ushahidiHadhi ya kishirikina ? hakuna mradi wowote uliozinduliwa na mwenge uliodumu hata kwa miezi 6 , fanya uchunguzi
Ukuu wa mwafrika.Hivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
Polisi hawana maisha magumu bali ni laana inayowasumbuwa.Ile ni roho kamili iloyobeba maagano jiulize pamoja na ugumu wa maisha wanayoishi police still bado wanaishabikia ccm Ili waendelee kuwa masikini
Na wanalipwa. Hivi nchi hii bado kuna wapumbavu wanaenda kuangalia huo uchawi wa mwenge?Hivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
Naona wanaendeleza Ibada ya shetani.Pengine hii ni ibada
Upotevu wa pesa tu. Hadhi na pesa inayopotea havilingani. Sanasana wanapatia promo hao wanaccm huko vijijini.Basi kama hivyo hata makaburi yasilindwe..
Au hata wake za Marais waliostaafu wasilindwe...
Unajua maana ya hadhi?Huo mwenge umepewa hadhi...