Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,622
- 15,949
Nimeangalia katika taarifa ya habari hapa katika kituo kimoja cha kimataifa Nchi ya Kenya imeingia mkataba wa kupeleka askari wa jeshi sijajua ni police au military. Kwaajili ya kulinda amani Haiti.
Kama tulivyosikia Haiti ipo katika 'Chaos" hivi sasa . Sidhani kama Kenya itauweza mziki wa HAITI kwanza tukumbuke wale jamaa wana elements za jamaa wa South America na central America. Gangs na drugs deals are their main issues of business.
Naona kabisa wanajeshi wa Kenya wakielekea machinjioni. Tafakari sana jirani kabla huhaamu kufanya jambo. Usije iingiza nchi yako katika matatizo bure.
Kama tulivyosikia Haiti ipo katika 'Chaos" hivi sasa . Sidhani kama Kenya itauweza mziki wa HAITI kwanza tukumbuke wale jamaa wana elements za jamaa wa South America na central America. Gangs na drugs deals are their main issues of business.
Naona kabisa wanajeshi wa Kenya wakielekea machinjioni. Tafakari sana jirani kabla huhaamu kufanya jambo. Usije iingiza nchi yako katika matatizo bure.