Kwanini baadhi ya "wanajeshi" wetu wana vitambi?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,695
6,398
Walengwa hapa ni JWTZ, POLISI, JKT, Magereza na Zimamoto!

Wengi wa askari wenye vitambi ni "mabosi'

Vitambi kwa askari wa vyeo vya juu vina manufaa gani kwao na kwa Taifa?

Wanajua kuwa hivyo vitambi vinatusababisha "sisi" tusio na uzoefu wa masuala ya Kijeshi tuwaone kuwa ni wazembe? Mbona wenzao wa China, North Korea , na Rwanda hawana vitambi?

Wanajua kuwa wao ni mfano wa askari wa chini? Kwa kuwa wanasema "like the son, like the father", watajisikiaje siku moja wakigundua kuwa askari wote wanaowaongoza nao wan vitambi kama wao?

Hivi kukitokea dharura itakayowalazimu kukimbia kwa masaa matatu mfululizo si wanaweza wakahisi ulimi unataka kutoka?

Kwa nini "wanajeshi" wetu, japo siyo wote, wana vitambi?
 

Attachments

  • RAIS_SAMIA_AWAGEUKIA_ASKARI_WENYE_VITAMBI_-___NIMEVIONA_VITAMBI,_WARUDI_WATOE_VITAMBI_WAWE_WEP...mp4
    4.6 MB
Walengwa hapa ni JWTZ, POLISI, JKT, Magereza na Zimamoto!

Wengi wa askari wenye vitambi ni "mabosi'

Vitambi kwa askari wa vyeo vya juu vina manufaa gani kwao na kwa Taifa?

Wanajua kuwa hivyo vitambi vinatusababisha "sisi" tusio na uzoefu wa masuala ya Kijeshi tuwaone kuwa ni wazembe? Mbona wenzao wa China, North Korea , na Rwanda hawana vitambi?

Wanajua kuwa wao ni mfano wa askari wa chini? Kwa kuwa wanasema "like the son, like the father", watajisikiaje siku moja wakigundua kuwa askari wote wanaowaongoza nao wan vitambi kama wao?

Hivi kukitokea dharura itakayowalazimu kukimbia kwa masaa matatu mfululizo si wanaweza wakahisi ulimi unataka kutoka?

Kwa nini "wanajeshi" wetu, japo siyo wote, wana vitambi?
Sio wanajeshi tu. Mwanaume yeyote kuwa na kitambi ni upumbavu na kutokuwa smart.

Watu smart kichwani hawafugi matumbo.

Ukiondoa wachache ambao ni kutokana na changamoto za ugonjwa, waliobaki ni kutokana na ulafi wa
kulakula hovyo bila kuwa na kiasi lakini pia uvivi wa kufanya mazoezi
 
Walengwa hapa ni JWTZ, POLISI, JKT, Magereza na Zimamoto!

Wengi wa askari wenye vitambi ni "mabosi'

Vitambi kwa askari wa vyeo vya juu vina manufaa gani kwao na kwa Taifa?

Wanajua kuwa hivyo vitambi vinatusababisha "sisi" tusio na uzoefu wa masuala ya Kijeshi tuwaone kuwa ni wazembe? Mbona wenzao wa China, North Korea , na Rwanda hawana vitambi?

Wanajua kuwa wao ni mfano wa askari wa chini? Kwa kuwa wanasema "like the son, like the father", watajisikiaje siku moja wakigundua kuwa askari wote wanaowaongoza nao wan vitambi kama wao?

Hivi kukitokea dharura itakayowalazimu kukimbia kwa masaa matatu mfululizo si wanaweza wakahisi ulimi unataka kutoka?

Kwa nini "wanajeshi" wetu, japo siyo wote, wana vitambi?
Mwanajeshi asiye na kitambi kuwa naye makini sana, hao mara nyingi huwa masnitch, hawakubali kupindisha sheria, hawakubali rushwa
 
Walengwa hapa ni JWTZ, POLISI, JKT, Magereza na Zimamoto!

Wengi wa askari wenye vitambi ni "mabosi'

Vitambi kwa askari wa vyeo vya juu vina manufaa gani kwao na kwa Taifa?

Wanajua kuwa hivyo vitambi vinatusababisha "sisi" tusio na uzoefu wa masuala ya Kijeshi tuwaone kuwa ni wazembe? Mbona wenzao wa China, North Korea , na Rwanda hawana vitambi?

Wanajua kuwa wao ni mfano wa askari wa chini? Kwa kuwa wanasema "like the son, like the father", watajisikiaje siku moja wakigundua kuwa askari wote wanaowaongoza nao wan vitambi kama wao?

Hivi kukitokea dharura itakayowalazimu kukimbia kwa masaa matatu mfululizo si wanaweza wakahisi ulimi unataka kutoka?

Kwa nini "wanajeshi" wetu, japo siyo wote, wana vitambi?
iu
 
Back
Top Bottom