Hatujui kesho yetu

Hatujui kesho yetu

Wewe kama huwezi kuamua hata tatehe yako ya kuzaliwa, basi pia ni mtumwa.

Unaweza kufikiri kuwa umeamua maisha yako katia dunia hii ya leo, umeamua nini cha kuandika JF.

Kumbe, hata dunia uliyoikuta, hiyo Tanzania uliyoikuta na iliyokuumba, imeumbwa na maamuzi yaliyotiwa saini na JK Nyerete.

Na hata ukiikataa hiyo, hii JF uliyoikuta na kuitumia, ina misingi iliyowekwa na Maxence Melo.

Na yote unayoyajua ni matokeo ya walimu waliokufundisha yaliyopita tu.

Hivyo, wewe pia ni mtumwa tu
Asante sana mtumwa kwa kupaniki Ila kupaniki kwako ni kuonyesha jinsi gani umenielewa vizuri mtumwa na maelezo yangu yamepenya mpaka kwenye mfupa

Pole sana mtumwa
 
Nishakupa maana haya sasa lete maneno mtumwa
Kwanza kabisa, kama huwezi kujua kesho yako itakuwaje, wewe ni mtumwa wa muda.

Muda na matukio yatakayotokea katika muda yanakufanya uwe mtumwa wa muda.

Hakuna mtu yeyote anayeweza kuuepuka utumwa huu.

kwa maana hoyo, wote sisi ni watumwa wa muda.

Huna uwezo wa kubadili kesho yako.

Wewe pia unayejifaragua kivyovyote leo, ni mtumwa wa muda.

Hujui kesho nini kitatokea kubadili nini katika maisha yako.

Unakubali hilo?
 
Kwanza kabisa, kama huwezi kujua kesho yako itakuwaje, wewe ni mtumwa wa muda.

Muda na matukio yatakayotokea katika muda yanakufanya uwe mtumwa wa muda.

Hakuna mtu yeyote anayeweza kuuepuka utumwa huu.

kwa maana hoyo, wote sisi ni watumwa wa muda.

Huna uwezo wa kubadili kesho yako.

Wewe pia unayejifaragua kivyovyote leo, ni mtumwa wa muda.

Hujui kesho nini kitatokea kubadili nini katika maisha yako.

Unakubali hilo?
Naona mtumwa unazidi kujifariji na utumwa wako na hii inaonyesha ni jinsi gani umejitambua kua wewe hakika ni mtumwa na ni jinsi gani unajivunia kua mtumwa na unajiambia pasina kua na mawaa wewe ni mtumwa ambae bado upo utumwani

Pole sana mtumwa
 
Asante sana mtumwa kwa kupaniki Ila kupaniki kwako ni kuonyesha jinsi gani umenielewa vizuri mtumwa na maelezo yangu yamepenya mpaka kwenye mfupa

Pole sana mtumwa
Wewe kuniona mimi nimepaniliki kunaweza pia kuwa ni matokea ya wewe kutonielewa na wewe mwenyewe kupaniki katika mtiririko wa kuelewa mawazo yako, kutojieleq , au kutoielewa dunia.

Unaelewa hayo?
 
Naona mtumwa unazidi kujifariji na utumwa wako na hii inaonyesha ni jinsi gani umejitambua kua wewe hakika ni mtumwa na ni jinsi gani unajivunia kua mtumwa na unajiambia pasina kua na mawaa wewe ni mtumwa ambae bado upo utumwani

Pole sana mtumwa
Mpaka sasa hujawe,a hata ku define mtumwa ni nani.

Na kutoweza ku define huku kunakutoa kwenye list ya watu wanaoweza kuongelea utumwa kwa mafundisho yoyote yenye maana..

Kwa sababu, kama huwezi hata ku define utumwa ni nini, huwezi kutufundisha kuhusu chochote utumwa.
 
5 years utoke kutoka JKT, private mpaka captain???
Inawezekana sema elimu na bahati inahusika, binamu yangu alikua ni intake ya 2014 alihitimu form six hata chuo hakuenda, nenda TMA miezi 10 (kabla ya hii military science),baada ya kumaliza miezi 6 ya Kihangaiko. Wekwa nyota miezi 9 mbele nyota ya pili (hii huja tu bila kwenda kozi). Katumikia mwaka mmoja zikatoka nafasi za kwenda kuongeza elimu, shwaa akawepo kwenye bogi tena na hii unajilipia, so kwa kabla hata ya 2019 tayari ana mawe matatu.
 
Sio mfano Mzee .

It's really.. nimeona stars kwenye mabega..

Sasa mm sijui, mchakato wa kupata hiko cheo inachukua muda.

Ninachojua ukiwa na Elimu kubwa ndio unapata promotion ya vyeo

Na jamaa na meet, alikuwa kashamaliza chuo, miaka kadhaa nyuma

Ni big brother kabisa kwangu..
Uliona nyota ngapi?
 
Wewe kuniona mimi nimepaniliki kunaweza pia kuwa ni matokea ya wewe kutonielewa na wewe mwenyewe kupaniki katika mtiririko wa kuelewa mawazo yako, kutojieleq , au kutoielewa dunia.

Unaelewa hayo?
Mtumwa umepaniki andika ukiwa umetulia unakosea kuweka maneno vizuri kwenye mpangilio unaofaa mtumwa

Pole sana mtumwa
 
Mpaka sasa hujawe,a hata ku define mtumwa ni nani.

Na kutoweza ku define huku kunakutoa kwenye list ya watu wanaoweza kuongelea utumwa kwa mafundisho yoyote yenye maana..

Kwa sababu, kama huwezi hata ku define utumwa ni nini, huwezi kutufundisha kuhusu chochote utumwa.
Kiranga what's your education level? Hauoni km unajiaibisha kwa ulichokiandika mtumwa pale juu nimekuwekea definitions 3 zilizonyooka na umezisoma ukaelewa sasa unasemaje sijakupa definition mtumwa?

Pole sana mtumwa
 
5 years utoke kutoka JKT, private mpaka captain???
inawezekana...pengine alikuwa na elimu...ama wale baba kantuma...wengi hupaa...au kama alikuwa na elimu harafu jeshi likamtuma nje kusoma elimu za kijeshi akirudi ni kawaida sana.

tunao hangaika na kufa na ucoplo jeshini ni sisi tusio na elimu wala ndugu wa kutuvusha.

unaambiwa MKUU WA MAJESHI mstaafu kabla hajastaafu miezi michache alikuwa anagawa vyeo kama karanga kwa watu wake wa karibu...!

hata mzee Mabeyo nae vile vile watu aliokuwa anasali nao kwenye jumuiaya yake waliobahatika kujiunga na jeshi wengi aliwapa vyeo sana...!​
 
Mtumwa umepaniki andika ukiwa umetulia unakosea kuweka maneno vizuri kwenye mpangilio unaofaa mtumwa

Pole sana mtumwa
Nimekuuliza definition ya ntumwa ni nini? Mpaka sasa hujajibu.
 
Kiranga what's your education level? Hauoni km unajiaibisha kwa ulichokiandika mtumwa pale juu nimekuwekea definitions 3 zilizonyooka na umezisoma ukaelewa sasa unasemaje sijakupa definition mtumwa?

Pole sana mtumwa
Wewe ndiye unajiaibisha kwa maneno ya jumla ya "pale juu" bila kutoa post number wala link.

Kwa ukweli hapa wewe ndiye umejionesha kwamba hujasoma, JF wamejitahidi kuiwekea kila post namba yake, lakini wewe hujui hata kusoma namba ya post na kuitoa kama reference.

You are an innumerate.
 
Kwahiyo ukiwa soldier na nyota 3 ndio umefanikiwa?
Kazi zote za kijeshi ni utumwa , wakuu wa kambi na wakuu wa majeshi ndio walio na unafuu kidogo.
 
jamii ya sasa unaheshimika kwa sababu wewe nani na una nini sio kwa sababu wewe ni mtu tu.

hata ukisikia mtu anakuuliza"una mishe gani mjini"maana yake anataka akupimie kiwango cha kukuheshimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom