Hatma ya ACT Tanzania 25 Machi, 2015

Hatma ya ACT Tanzania 25 Machi, 2015

Trust me, human's stupid decisions were made by Chadema, for they thought this would be ZZK end of his political carrier!

Irrelevant.

It was so obvious his next move would be ACT, the founder himself.
And he need to get used to be in the court...it's part of the challenges kukuza chama.

Next don't ask for fair game in politics always opponents find the right way to do the wrong thing....if you better enough as he claims to be he need to outsmart them....doesn't matter who did it.
 
Irrelevant.

It was so obvious his next move would be ACT, the founder himself.
And he need to get used to be in the court...it's part of the challenges kukuza chama.

Next don't ask for fair game in politics always opponents find the right way to do the wrong thing....if you better enough as he claims to be he need to outsmart them....doesn't matter who did it.

Word...
 
And if at all ACT in her constitution have an article of preventing the member to send matters to a court of law .......ACT IS USELESS..... HERI SHETANI AKUJUAYE KULIKO ASIYEKUJUA.......
Kama kifungu cha kwamba mwanachama akipeleka suala mahakamani amejifuta uanachama kipo kwenye katiba ya ACT...... ACT HAKIFAI....TENA HAKIFAI.....HERRI ZIMWI LIKUJUALO.....MAANA HALIKULI LIKAKWISHA
 
Trust me, human's stupid decisions were made by Chadema, for they thought this would be ZZK end of his political carrier!

Mkandara

Una heshima kubwa acha kujidhalilisha kwa kiwango hiki.Ukiambiwa uthibitishe uhusika wa Chadema unaweza?

Hii tabia ya kila mtu kuota ujinga kuhusu Chadema ni mbaya sana!
 
Last edited by a moderator:
Sarakasi zinaendelea kwenye hiki chama cha wavua migebuka. Mkutano umeitishwa na ACT ya Mwigamba, hapo ilitakiwa ACT ya Limbu waitishe mkutano wao nao. Zitto naye hajaweka wazi yuko ACT ipi kati ya hizo mbili. Tutafaidi sana mwaka wa uchaguzi huu
 
Hizo ni moja ya ngazi zakuelekea juu wala isisumbue akili za wenyenazo
 
Mkandara

Una heshima kubwa acha kujidhalilisha kwa kiwango hiki.Ukiambiwa uthibitishe uhusika wa Chadema unaweza?

Hii tabia ya kila mtu kuota ujinga kuhusu Chadema ni mbaya sana!
Humjui Mkandara wewe, pitia marejesho ya miaka 2009-2011 uone

Jamaa kinyonga
 
Last edited by a moderator:
CHAMA kipya cha Alliance for Change and
Transparency (ACT-Tanzania) sasa kimetinga
mahakamani.
Lucas Kadavi Limbu, mmoja wa waasisi na
mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, amefungua
shauri Na. 17 la mwaka 2015 dhidi ya Samson
Mwigamba ambaye ni katibu mkuu wa muda na
Peter Mwambuja na Masange M. Masange.
Katika shauri hilo la madai, lililofunguliwa
Mahakama Kuu, kanda ya Dar es Salaam, Limbu
anataka mahakama itoe amri ya kumzuia
Mwigamba na “mawakala wake,” kujihusisha na
chama hicho; kukiongelea katika vyombo vya
habari na kutoa maelekezo yoyote yale kwa
wanachama na viongozi wake.
Wadai wengine katika shauri hilo, ni naibu katibu
mkuu (Bara); Grason Nyakarungu, katibu mwenezi
na mwenyekiti wa vijana taifa; na Ramadhani
Suleiman, makamu mwenyekiti (Zanzibar).
Kesi hii imetajwa kwa mara ya kwanza leo na
imepangwa kusikilizwa tarehe 25 Machi mwaka
huu, ambako mahakama itasikiliza maombi ya
kuzuia mkutano mkuu wa chama.
Kabla ya kujiunga na ACT-Tanzania, Mwigamba
alikuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia
na Maendeleo (Chadema), mkoa wa Arusha.
Alifukuzwa uanachama mwaka mmoja uliopita.

Hii taarifa ya saa sita za usiku, unamaanisha kwamba,shauri hilo limepelekwa usiku huu,na kusomwa usiku usiku?
Na hiyo mahama ni ya hapa hapa bongo?
(Kama taarifa ni yakweli, basi uandishi haukufai)
 
Wameshayaona mamilioni ya mabwana zao wanaowatumikia MACCM ili kufanya kazi ya usaliti waliotumwa kuisambaratisha CHADEMA. Kila kundi wanataka mamilioni hayo wawe na miliki nayo. Tusishangae wakianza kuuana kugombea mapesa ya bure toka kwa MACCM.

Kweli hao washauri wa ccm kuhusu kuwadhibiti cdm hawatumii akili
 
And if at all ACT in her constitution have an article of preventing the member to send matters to a court of law .......ACT IS USELESS..... HERI SHETANI AKUJUAYE KULIKO ASIYEKUJUA.......
Kama kifungu cha kwamba mwanachama akipeleka suala mahakamani amejifuta uanachama kipo kwenye katiba ya ACT...... ACT HAKIFAI....TENA HAKIFAI.....HERRI ZIMWI LIKUJUALO.....MAANA HALIKULI LIKAKWISHA

Hao hawawezi kuweka kifungu kama hicho kwani ni saccos ya kutafuna noti za ccm
 
Cdm na bavicha mtateseka sana mwaka huu. Nyie mnawatumia akina limbu eti kama njia ya kumkomoa zitto. Mnajidanganya. Nyie zitto sialikuwa mzigo kwenu? Mbona mwamfatilia kwa kupitia akina limbu mamluki wa bavicha? Roho zenu zitawauma sana.
Karibuni ACT Wazalendo.
 
And if at all ACT in her constitution have an article of preventing the member to send matters to a court of law .......ACT IS USELESS..... HERI SHETANI AKUJUAYE KULIKO ASIYEKUJUA.......
Kama kifungu cha kwamba mwanachama akipeleka suala mahakamani amejifuta uanachama kipo kwenye katiba ya ACT...... ACT HAKIFAI....TENA HAKIFAI.....HERRI ZIMWI LIKUJUALO.....MAANA HALIKULI LIKAKWISHA

It is bad, having some peoole who don't know just a simple principle of ''Exhaustion of Local remedies''
 
Haaa haaa kwa maoni yangu limbu yuko sahihi, anazuia kiti chake kuchukuliwa na mhamiaji zitto. Sijui hiyo ndo demokrasia ama..
 
Back
Top Bottom