Hatma ya ACT Tanzania 25 Machi, 2015

Hatma ya ACT Tanzania 25 Machi, 2015

ukweli msukuma mwenzangu limbu kazurumiwa malipo yake na zito kwa kazi aliyopewa mwanzo ya kuinadi act kwenye media pesa nyingi amelipwa mwigamba hata mimi nisingekubali kutumika kubeba gunia la misumari bure wamlipe chake awaachie chama chao

Ndio maana wengine baada ya Mwigamba kula hela yote peke yake wakaamua kuchukua sheria mkononi. Nadhani huyu ndio Katibu mkuu wa kwanza Tanzania wa chama kilichopata usajili kukwidwa hadharani na kuchapwa makofi kwa kutafuna fedha ya dili.
View attachment 237243
 
Your prediction Dr is 100% percent accurate. Let's wait and see this movie ya wasaliti kusalitiana wenyewe kwa wenyewe.

Since mahakama na sehemu ya serikali ya ccm Limbu has a narrow chance to win na Zitto na kundi lake waliopo kazini kuhakikisha wanaisambaratisha CHADEMA kuendelea kupeta..... Let's keep watching..... Where is my popcorn bag!!
 
CHAMA kipya cha Alliance for Change and
Transparency (ACT-Tanzania) sasa kimetinga
mahakamani.
Lucas Kadavi Limbu, mmoja wa waasisi na
mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, amefungua
shauri Na. 17 la mwaka 2015 dhidi ya Samson
Mwigamba ambaye ni katibu mkuu wa muda na
Peter Mwambuja na Masange M. Masange.
Katika shauri hilo la madai, lililofunguliwa
Mahakama Kuu, kanda ya Dar es Salaam, Limbu
anataka mahakama itoe amri ya kumzuia
Mwigamba na “mawakala wake,” kujihusisha na
chama hicho; kukiongelea katika vyombo vya
habari na kutoa maelekezo yoyote yale kwa
wanachama na viongozi wake.
Wadai wengine katika shauri hilo, ni naibu katibu
mkuu (Bara); Grason Nyakarungu, katibu mwenezi
na mwenyekiti wa vijana taifa; na Ramadhani
Suleiman, makamu mwenyekiti (Zanzibar).
Kesi hii imetajwa kwa mara ya kwanza leo na
imepangwa kusikilizwa tarehe 25 Machi mwaka
huu, ambako mahakama itasikiliza maombi ya
kuzuia mkutano mkuu wa chama.
Kabla ya kujiunga na ACT-Tanzania, Mwigamba
alikuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia
na Maendeleo (Chadema), mkoa wa Arusha.
Alifukuzwa uanachama mwaka mmoja uliopita.
 
Trust me, human's stupid decisions were made by Chadema, for they thought this would be ZZK end of his political carrier!

Hahahaa, this is s funny comment, unawawazia chadema wawaze kama huu utakua mwisho wa Zitto au la bila kuwaza kama chadema itakua stonger au weaker kwa kuondoka kwake

really funny... "fwani indeed"
 
Back
Top Bottom