Hatma ya ACT Tanzania 25 Machi, 2015

Hatma ya ACT Tanzania 25 Machi, 2015

Zitto amemwagiza mwigamba kuwa ahakikishe anamshughulikia Limbu kabla ya mkutano wao na kuhakikisha hakuna mgombea mwingine kwenye ngazi ya mwenyekiti.
Maagizo haya ya zitto yamelalamikiwa na watu wa karibu na mwigamba huku watu wa upande wa Zitto wakisema ni lazima mwenyekiti awe Zitto jambo ambalo hata mwigamba hakulipinga na kusema anashangaa kwanini mashinikizo yanatoka wapi kwani Limbu aliishafukuzwa mapema na sio tishio tena.
 
Dhambi ilele ile aliyowahi kuisema baba wa Taifa [dhambi ya usaliti],itaendelea kuwatafuna tu,namuhurumia ZZK kaanza na kesi uenyekiti wake na juzi tu kawatuhumu Majaji...yetu macho
 
Ni kweli mkuu kutoka mbunge wa mahakama hadi mwenyekiti wa mahakama act.....chadema ndio walimtuma aanzishe chama cha act, chadema ndio walimtuma abakie bungeni wakati wenzake wanatoka chadema hii hii ndio ilimtuma kuanzisha choko choko ndani ya chama


trust me, human's stupid decisions were made by chadema, for they thought this would be zzk end of his political carrier!
 
Hizo zote ni fitina za Chadema, taarifa zote tunazo

Mnawashwa sana, hofu yangu ni kwamba hakuna atakaewakuna! Kwa hiyo mtaendelea kuwashwa tu! Na ishara ya kuendelea kuwashwa ni uwepo wa hizi post.
 
Wameshayaona mamilioni ya mabwana zao wanaowatumikia MACCM ili kufanya kazi ya usaliti waliotumwa kuisambaratisha CHADEMA. Kila kundi wanataka mamilioni hayo wawe na miliki nayo. Tusishangae wakianza kuuana kugombea mapesa ya bure toka kwa MACCM.

Mkuu BAK huna habari kwamba ngumi zilishaanza mapema kabla? Habari za uhakika ni kuwa upo mshiko mmoja ulitumwa kwa Katibu mkuu kwa njia ya Mpesa kutoka kwa jamaa "wa mipango" mheshimiwa sana akaona isiwe taabu mie si ndio KM bwana! Basi akalamba zote. Walipo kutana na wenzake mmoja hakukubali ndio yakatokea haya;
View attachment 237284
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Limbu ni miongoni mwa watu waliotumwa kuvuruga ACT kwa ufadhili wa chadema
 
Limbu is right! Huwez itishs mkutano mkuu bila mwenyekiti wa chama, ACT hamuhitaji maandishi kumbaini MM! kajiunga na chama jana leo anataka uongozi ngazi ya juu kabisa. Anyway hatuongei sana maana wote mko chini ya usimamizi na malezi ya CCM, bas subirini tu October nguvu ya umma iwateketeze wote ninyi na mlezi wenu. Time tells!
 
Hahahaha asubuhi yote hii washaanza kushikana saburi, kweli usaliti ni dhambi mbaya sana, msaliti ni sawa na mchawi.
 
Who is Zito?
Zito is nothing when stands alone. He mean something when he is a teamplayer. This guy had never been a teamplayer and at the most has turned to a greatest opportunist. To me Zito case with CHADEMA is closed. How he progesses, depends on how he plays his cards from here. Zito is not anybody's sincere person enemy. We do not hate him, we hate his actions.

Trust me, human's stupid decisions were made by Chadema, for they thought this would be ZZK end of his political carrier!
 
Naendelea kufanya observation, baada ya wiki mbili or so najua mbivu na mbichi zitaeleweka tuuuu
 
Back
Top Bottom