Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Kuivuruga ACT ipi, ya Limbu au ya Mwigamba?Bahati nzuri mmejitambua vizuri mapema kabisa swali la kujiuliza kwanini mnatumika kukivuruga ACT?
Kuivuruga ACT ipi, ya Limbu au ya Mwigamba?Bahati nzuri mmejitambua vizuri mapema kabisa swali la kujiuliza kwanini mnatumika kukivuruga ACT?
Naomba kuuliza Zitto yupo ACT ipi ya Mwigamba au ya Limbu.
katiba yao inasemaje kuhusu mwanachama anaekipeleka chama mahakamani?Limbu ni miongoni mwa watu waliotumwa kuvuruga ACT kwa ufadhili wa chadema
duh kweli sikuhizi ngumi mkomoni!! act ni wahuni!!Mkuu BAK huna habari kwamba ngumi zilishaanza mapema kabla? Habari za uhakika ni kuwa upo mshiko mmoja ulitumwa kwa Katibu mkuu kwa njia ya Mpesa kutoka kwa jamaa "wa mipango" mheshimiwa sana akaona isiwe taabu mie si ndio KM bwana! Basi akalamba zote. Walipo kutana na wenzake mmoja hakukubali ndio yakatokea haya;
View attachment 237284
Trust me, human's stupid decisions were made by Chadema, for they thought this would be ZZK end of his political carrier!
wamewahi kuamka kabla huja amka walilala na njaa! act chama cha wahuni!:rockon:asubuhi yote hii
mnavyoshabikia mabaya yaikute act inaonyesha wazi chama hiki ni tishio kwenu.
BAVICHA mnaiogopa sana ACT, sijui kwa nini.
Hili neno maana yake nini? Naona naliona sana hapa JF ni neno KICHAGA ama?
Since mahakama na sehemu ya serikali ya ccm Limbu has a narrow chance to win na Zitto na kundi lake waliopo kazini kuhakikisha wanaisambaratisha CHADEMA kuendelea kupeta..... Let's keep watching..... Where is my popcorn bag!!
ni kwa sababu ni chama mapandikizi ya ccm ukipambana na act uanapambana na ccm si unaona mwenyewe unavyopambana kwa kushinda mitandaoni sijuiunafanya kazi saa ngapi mwenzangu.