mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,165
Si wana mjanja wao eti watafikaBasi hapa Utasikia kuna mkono wa chdm, ahhahhahaha. Siasa za bongo zina vituko balaa. Ishakuwa fashion kwenda mahakamani. Ngoja tuone
Si wana mjanja wao eti watafikaBasi hapa Utasikia kuna mkono wa chdm, ahhahhahaha. Siasa za bongo zina vituko balaa. Ishakuwa fashion kwenda mahakamani. Ngoja tuone
Ila wewe (ccm) unaviogopa vyama karibia vyote vya upinzani ila unaipenda ACT sijui kwanini ?????BAVICHA mnaiogopa sana ACT, sijui kwa nini.
BAVICHA mnaiogopa sana ACT, sijui kwa nini.
BAVICHA mnaiogopa sana ACT, sijui kwa nini.
CHAMA kipya cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) sasa kimetinga mahakamani.
Lucas Kadavi Limbu, mmoja wa waasisi na mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, amefungua shauri Na. 17 la mwaka 2015 dhidi ya Samson Mwigamba ambaye ni katibu mkuu wa muda na Peter Mwambuja na Masange M. Masange.
Katika shauri hilo la madai, lililofunguliwa Mahakama Kuu, kanda ya Dar es Salaam, Limbu anataka mahakama itoe amri ya kumzuia Mwigamba na mawakala wake, kujihusisha na chama hicho; kukiongelea katika vyombo vya habari na kutoa maelekezo yoyote yale kwa wanachama na viongozi wake.
Wadai wengine katika shauri hilo, ni naibu katibu mkuu (Bara); Grason Nyakarungu, katibu mwenezi na mwenyekiti wa vijana taifa; na Ramadhani Suleiman, makamu mwenyekiti (Zanzibar).
Kesi hii imetajwa kwa mara ya kwanza leo na imepangwa kusikilizwa tarehe 25 Machi mwaka huu, ambako mahakama itasikiliza maombi ya kuzuia mkutano mkuu wa chama.
Kabla ya kujiunga na ACT-Tanzania, Mwigamba alikuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoa wa Arsha. Alifukuzwa uanachama mwaka mmoja uliopita.
asante kwa picha mkuu .Rubani Mpya wa ndege ya ACT Tanzania kutoka kigoma, tarehe 25/03/2015 ni lazima aiangushe
![]()
Poa imetulia sanaasante kwa picha mkuu .
Ninakuwakikishia pale hakuna kesi ni mbwembwe tu kwa sbabu limbu anapata ungwaji mkono na viongozi wa cdm lakini wanamdanganya tu
Kila siku watashindwa tu
eee bhana hii buti ndio jamaa wameamua kuingia nayo vitani ?Si wana mjanja wao eti watafika
![]()
Wasaliti ni wasaliti, watazidi kusalitiana daima.
Mabadiliko ni mpango wa Mungu, yeyote atakayekwenda kinyume nayo lazima laana imfike.
CHADEMA NGUVU YA MABADILIKO.
Since mahakama na sehemu ya serikali ya ccm Limbu has a narrow chance to win na Zitto na kundi lake waliopo kazini kuhakikisha wanaisambaratisha CHADEMA kuendelea kupeta..... Let's keep watching..... Where is my popcorn bag!!
Naona cdm wamekua nyuma ya limbu wakishirikiana na mafisadu wa escrow
Kwa nguvu za mungu hawatashinda