Dalili za Zika,
Kuumwa na kichwa kwa sana,
Misuli na viungo vya mwili kuuma kwa sana,
na Dalili Muhimu, macho ya kiini cheupe kuwa chekundu,
na kuwa na Muwasho na vipele kwenye ngozi..
hii virus inakaa kwenye mwili kwa muda wa wiki mbili, kwa wale wajawazito dalili kuonekana kitakwimu, ni mmoja kati ya wanne zinaonyesha, kwa hio kwa wale wanaoishi kando ya ziwa ni muhimu kupima
Jinsi gani ya kuitreat, haina dawa wala chanjo, lakini ni virus inatoka yenyewe mwilini...
Kunywa maji kwa wingi,
pumzika sana
na piga paracetamol, hakuna specific drug ya kuondoa zika, lakini kama nilivyosema inachukua wiki mbili ku clear,
na kama unacare na mtu aliyepatwa na zika,
ukimuhudimia mgonjwa, kama matapishi, au kufuta mikojo, au maji maji yoyote, nawa na sabuni, na safisha ile sehemu,
ukitaka kujua zaidi na wengine kama kuna health professional wastep in watusaidie na lishe gani ya kumsaidia mtoto aliyepatwa na Zika...
kuelewa hili gonjwa zaidi pitia
hapa
ukitaka kujua inagharimu kiasi gani kupata after care ya mtoto aliyezaliwa na Zika pitia
hapa yaani ndio utazimia, Dollar Millioni 4 yaani mpaka anakua mkubwa, kama anaishi US.
kwa hio tunaishauri serikali ilipige vita hili gongwa na campain zianze most affected yaani mikoa kando ya Ziwa, therefore in business terms less cost, na kuwapa wananchi elimu, juu ya hili gonjwa, na kuweza kutumia a local repellant, kama mitishamba, vyandarua, na budget ya kuondoa madimbwi na kuua mbu, thats a penny cost wise, uki compare na after care cost..
na vile vile, zipatikane kits za kupimia huu ugonjwa kama Malaria, training health professionals wale wale ambao wako huko mikoa ya kando ya ziwa, ili kuwapa elimu ya ziada, juu ya hili, kwa sababu after care we already lost a battle before it began...
ukipita pale ferry, utaona watoto watatu wanaomba na mama yao, Mungu awape unafuu wa maisha na wepesi! ambao utaona dalili zote kwamba wamepatwa na hili janga...