Hatimaye ZIKA Tanzania ndani ya CCTV

Swala jengine ambalo ndio muhimu kwa sana, Dr. Mwele amefanya kazi nzuri na Serikali lazima itambue hilo mchango wake kutupa scientific findings ambazo kwa ufupi inaelezea 15% ya samples, zimeonyesha kuwepo kwa hili gonjwa hususan kando ya ziwa, tusilaani kitendo chake, bali tuwe nae karibu sana, ijapokua amefanya misteps ktk kutangazia umma, kwangu mimi sidhani kama dismissible offence, angewekwa chini na kufahamishwa, lakini nililolionna mimi wakubwa wake wa kazi yaani wizarani, walikua kama wanamuignore kwa vile, ndio maana hata yale matamshi yake kwenye conference yanajieleza wazi, yalikua na hasira kwa sababu ya bureacracy na politicisation ya kila kitu kwetu ndio mwendo kasi. pitia video utayaona hayo. hatma yake ni political ramifications kama hizo tulizoziona.

lakini ambalo ninalitaka kuliongelea hapa, serikali na wizara husika zikae chini, nini cha kufanya kwanza kabisa on immediate effect kuwasaidia waathirika, na pili wataweza vipi kuwasaidia wale waathirika yaani watoto, najua hili ni long short kwa serikali zetu lakini linawezekana. Hapa naongelea maswala mazima ya ulezi wa mtoto, in terms ya lishe, wachambue vyakula gani vya kuwalisha, ili kuwezesha kuondoa learning difficult hapo baade, na kuweza some how waweze kuji establish at a certain extent kama normal children, hii kwa manufaa ya nchi na wananchi wake.

na pili ndio hio vita, ya kutambua dalili, njia na tiba, na watu vile vile watapata elimu ya kujua kama wanataka kupata mtoto, wajue kwanza wapime na vipimo viwepo, yote hizi measures zitasaidia serikali, yaani ni kama malaria vile, kila mtu anajielewa akiona dalili mbio hospital, imagine kama hatuko aware nayo, tungekua tunaathirika sana lakini measures zilizochukuliwa na serikali na watu wake, tumeshajitambua. sasa tunashirikiana na Bill Gate kuisaka chanjo..
 
Vipimo vyake vya uongo?
Nimechoka kujibishana na nyie Findings za Dr Mwele zilikuwa ni preminaly na kamwe haiwezekani kutumiwa kufanya hitimisho...hizi ni findings za mwanzo kabisa kimsingi ilikuwa bado kufanya hitimisho na hata hivyo ni wizara kwa kushirikiana na WHO ndio wenye uwezo wa kufanya hitimisho baada ya kupitia kwa kina uchunguzi na si kwa preminaly Findings kama za Dr Mwele.... Dr Mwele alitangaza kuwepo kwa ugonjwa wa Zika wakati hata ukisoma report yake hakuna hata picha au watu ambao anaweza kuwaleta na kuwaonesha kuwa hawa wana Zika..
Dr Mwele ni ataligharimu taifa.
 
Nimechoka kujibishana na malofa na wapumbavu kama nyie Findings za Dr Mwele zilikuwa ni preminaly na kamwe haiwezekani kutumiwa kufanya hitimisho...hizi ni findings za mwanzo kabisa kimsingi ilikuwa bado kufanya hitimisho na hata hivyo ni wizara kwa kushirikiana na WHO ndio wenye uwezo wa kufanya hitimisho baada ya kupitia kwa kina uchunguzi na si kwa preminaly Findings kama za Dr Mwele.... Dr Mwele alitangaza kuwepo kwa ugonjwa wa Zika wakati hata ukisoma report yake hakuna hata picha au watu ambao anaweza kuwaleta na kuwaonesha kuwa hawa wana Zika..
Dr Mwele ni muhaini kabisa na ataligharimu taifa.
Na bado,mtanyooka tu,hata bandarini mlibisha
 
True beyond all doubts, Dr Kigwangala has decided to be silent because he knows the truth.
Dr Kigwangalla kaongea na kaelezea vizuri kabisa kuwa report yake huyu Dr haioneshi kuwepo kwa Zika na haiwezi kutumika kufanya hitimisho.
 
Rais anapofanya maamuzi watu mnakurupuka na kumsimanga kwa kila aina ya kejeli na matusi. Watanzania hatuna tabia kufikiria mbeleni inakuwaje. Ipo siku mtamuelewa Mh. Rais anachokifanya kwamba si kwa maslahi yake binafsi bali ni kwa maslahi ya taifa nawatanzania wote.
Ukweli ni ukweli tu huwezi ficha ukweli kwasababu za uchumi.
Yaani pesa mbele utu nyuma
 
Swala jengine ambalo ndio muhimu kwa sana, Dr. Mwele amefanya kazi nzuri na Serikali lazima itambue hilo mchango wake kutupa scientific findings ambazo kwa ufupi inaelezea 15% ya samples, zimeonyesha kuwepo kwa hili gonjwa hususan kando ya ziwa, tusilaani kitendo chake, bali tuwe nae karibu sana, ijapokua amefanya misteps ktk kutangazia umma, kwangu mimi sidhani kama dismissible offence, angewekwa chini na kufahamishwa, lakini nililolionna mimi wakubwa wake wa kazi yaani wizarani, walikua kama wanamuignore kwa vile, ndio maana hata yale matamshi yake kwenye conference yanajieleza wazi, yalikua na hasira kwa sababu ya bureacracy na politicisation ya kila kitu kwetu ndio mwendo kasi. pitia video utayaona hayo. hatma yake ni political ramifications kama hizo tulizoziona.

lakini ambalo ninalitaka kuliongelea hapa, serikali na wizara husika zikae chini, nini cha kufanya kwanza kabisa on immediate effect kuwasaidia waathirika, na pili wataweza vipi kuwasaidia wale waathirika yaani watoto, najua hili ni long short kwa serikali zetu lakini linawezekana. Hapa naongelea maswala mazima ya ulezi wa mtoto, in terms ya lishe, wachambue vyakula gani vya kuwalisha, ili kuwezesha kuondoa learning difficult hapo baade, na kuweza some how waweze kuji establish at a certain extent kama normal children, hii kwa manufaa ya nchi na wananchi wake.

na pili ndio hio vita, ya kutambua dalili, njia na tiba, na watu vile vile watapata elimu ya kujua kama wanataka kupata mtoto, wajue kwanza wapime na vipimo viwepo, yote hizi measures zitasaidia serikali, yaani ni kama malaria vile, kila mtu anajielewa akiona dalili mbio hospital, imagine kama hatuko aware nayo, tungekua tunaathirika sana lakini measures zilizochukuliwa na serikali na watu wake, tumeshajitambua. sasa tunashirikiana na Bill Gate kuisaka chanjo..
Tatizo hapa ni kubana bajeti kama chanjo tu zilikuwa hazipo ndio dawa za kutokomeza huo ugonjwa zitapatikana hawa niyayao sio nzuri wanataka sisi wananchi tuzae watoto wa ajabu ajubu tu siasa kila mahali
 
Nimechoka kujibishana na malofa na wapumbavu kama nyie Findings za Dr Mwele zilikuwa ni preminaly na kamwe haiwezekani kutumiwa kufanya hitimisho...hizi ni findings za mwanzo kabisa kimsingi ilikuwa bado kufanya hitimisho na hata hivyo ni wizara kwa kushirikiana na WHO ndio wenye uwezo wa kufanya hitimisho baada ya kupitia kwa kina uchunguzi na si kwa preminaly Findings kama za Dr Mwele.... Dr Mwele alitangaza kuwepo kwa ugonjwa wa Zika wakati hata ukisoma report yake hakuna hata picha au watu ambao anaweza kuwaleta na kuwaonesha kuwa hawa wana Zika..
Dr Mwele ni muhaini kabisa na ataligharimu taifa.
Kasome maana ya endemic na epidemic ndo uchangie maswali ya kisiasa hatukaki njoo na research ya kumpinga sio maneno
 
Zika ipo.Ila serikhali inaficha ukweli.yule dada hakustahili kutumbuliwa.Magu ni mrupukaji.
 
kuna kitu kinaniumiza sana mtu anakuambia kusema ukweli ni kosa haiwezekani dr kasema ukweli na utafiti sio wa siku moja kama twawezaa wanavyofanya haya ni maisha ya watanzania mlipuko wowote wa magonjwa lazima wanachi wajue sio kukaa na kuanza kuficha wagonjwa ndani tuweni na busara tuweke siasa kando kwa hiyo kesho angefukuzwa kwa kutotoa matokeo ya reasech mngepiga vigelele hafai namunga mkono dr malelecela kwa ukweli wake na kuwambia watanzania ukweli,,ambao hawataki kuhusikiliza zika hipo na tunaitaji msaada wa kuitibu hili sio tetemeko la bukoba
 
kuna kitu kinaniumiza sana mtu anakuambia kusema ukweli ni kosa haiwezekani dr kasema ukweli na utafiti sio wa siku moja kama twawezaa wanavyofanya haya ni maisha ya watanzania mlipuko wowote wa magonjwa lazima wanachi wajue sio kukaa na kuanza kuficha wagonjwa ndani tuweni na busara tuweke siasa kando kwa hiyo kesho angefukuzwa kwa kutotoa matokeo ya reasech mngepiga vigelele hafai namunga mkono dr malelecela kwa ukweli wake na kuwambia watanzania ukweli,,ambao hawataki kuhusikiliza zika hipo na tunaitaji msaada wa kuitibu hili sio tetemeko la bukoba
Ni kweli wagonjwa wapo kibao japo wizara wameamua kujitoa fahamu hawataki kujali afya ya watanzania wamekomalia kuwafurahisha wageni huku wenyeji wakiteketea
 
kama hata njaa inapokukuta unatakiwa ukae kimya ukitabasam..si shangai...una ugonjwa ukae kimya..
"MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU"
mnafiki mkubwa..
 
upload_2016-12-18_8-29-11.png
 
Wewe ndie mhaini ulitaka watu waathirike wasichukue taadhari.
Hata Dr mwele hakusema kuwa kuna zika Tz ila alichosema baadhi ya watu walipimwa au watoto walikutwa na dalili za virusi vya zika hivyo uchunguzi zaidi unahitajika
 
Back
Top Bottom