Zika ipo japo CCM wameigeuza kuwa ilani ya chama ndiyo maana kila mtu anayemtetea Dr mwele wanamwona kama ni mwanachama wa upinzani.
Zika ipo japo CCM wameigeuza kuwa ilani ya chama ndiyo maana kila mtu anayemtetea Dr mwele wanamwona kama ni mwanachama wa upinzani.
yaani Dr. Mwele alichokua amekuja kutujulisha ni kuweka stamp tu kwenye barua na kupost, hii kitu ipo prior 2015, inajieleza wazi, tunatakiwa tutoke kwenye siasa tusaidiane kuelimishane the after effects na prevention measures(ambayo inafall under Malaria preventions to some extent)
Tuko na Mungu,haitatupatawewe Lofa unafikiri Zika ikiwepo nyie wazungusha mikono haitawapata?
Ni wajinga pekee wanaomuona Dr mwele mhaini kwani amelisaidia Taifa kukaa kwa tahadhali kujilinda na mbu nkResearch results can be nullified by research results too. Kusema uhaini mtu kutoa majibu ya research huu ni upumbavu hali ya juu.
Achana na hilo kichwa nazi, linaleta ukada kwenye maisha ya watu.Kutukana kwako ni ishara kuwa WAKAT UNAZALIWA ULIANZA KUTOA MIGUU BADALA YA KICHWA
Kuichafua vipi? Yaani Nchi kuishi na uchafu maradhi unataka watu walee wagonjwa? Acha hizo kazi ya upinzani ni kukosoa ubovu wa serikali si kuchafuana huko huo ni Ukweli na siku zote Ukweli unauma ndiyo maana umekomalia Nchi kuchafuliwa kwa matendo yake yenyewe.Chadema wamefanikiwa sana kuichafua Tanzania
Nshomile, mhaya wa ajabuMuhaini wewe uliyejificha nyuma ya keyboard hujui hata hiyo research ya zika inafanyikaje!
Inaondoaje ukweli wa uwapo wa UgonjwaNdio kosa la Dr Malecela hili,kutumbuliwa ilikuwa haiepukiki
Maslahi yapiRais anapofanya maamuzi watu mnakurupuka na kumsimanga kwa kila aina ya kejeli na matusi. Watanzania hatuna tabia kufikiria mbeleni inakuwaje. Ipo siku mtamuelewa Mh. Rais anachokifanya kwamba si kwa maslahi yake binafsi bali ni kwa maslahi ya taifa nawatanzania wote.
Angefungwa tu. Taarifa kama hizi hazitolewi kienyeji tena ktk vyombo vya habari vya kimataifa bila kuthibishwa na wizara pamoja na WHO pia na cabinet ya mawaziri. Madhara yake makubwa mno. Tutapoteza watalii vibaya sana na wenzetu wa jirani watatupiga bao. Mama ameamua kufanya sabotage ya uchumi wetu. Kimbelembele kimezidi ni misifa ya kutaka aonekane chini ya uongozi wake wamepata mafanikio makubwa.Ndio kosa la Dr Malecela hili,kutumbuliwa ilikuwa haiepukiki
ZIKA si mara ya kwanza kuripotiwa Tanzania, nashindwa kuelewa ugumu wa hii issue ktk kuelewana unatokea wapi!Angefungwa tu. Taarifa kama hizi hazitolewi kienyeji tena ktk vyombo vya habari vya kimataifa bila kuthibishwa na wizara pamoja na WHO pia na cabinet ya mawaziri. Madhara yake makubwa mno. Tutapoteza watalii vibaya sana na wenzetu wa jirani watatupiga bao. Mama ameamua kufanya sabotage ya uchumi wetu. Kimbelembele kimezidi ni misifa ya kutaka aonekane chini ya uongozi wake wamepata mafanikio makubwa.
Yes, tafiti ni sahihi. Ila swala la ethics limemshinda.Dr Mwele ni Mzalendo wa viwango vyote.
Mungu aendelee kukulinda Dr Mwele...
Matokeo ya utafiti hutolewa na aliefanya utafiti and not otherwise.
Mmeshazoea zile tafiti zenu za kijinga zinazotengenezwa na vile vitengo vyenu TWAWEZA na REDET..!!
Rais anapofanya maamuzi watu mnakurupuka na kumsimanga kwa kila aina ya kejeli na matusi. Watanzania hatuna tabia kufikiria mbeleni inakuwaje. Ipo siku mtamuelewa Mh. Rais anachokifanya kwamba si kwa maslahi yake binafsi bali ni kwa maslahi ya taifa nawatanzania wote.
Jamani naomba kuuliza sizonje ni naniHii utajua wewe ila sisi tumishaona SIZONJE anaipeleka TZ kusikojulikana