mzee wa kijiwe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 947
- 690
vitu vingine unatakiwa kuwa na elimu husika ya eneo husika. Polisi wanajua sheria kwamba mtuhumiwa anaweza kukataa kutoa ushahidi wake polisi na akautoa mahakamanikibatali anawafurahisha akina gwajima kesi hiyo ipo kwenye upelelezi.
ni lazima apeleke vielelezo vyake kama alivyo agizwa na polisi akishapeleka wataenda mahakamani.
Polisi wanauwezo kumshitaki kibatali kwa kuzuia polisi kufanya uchunguzi