Bei Mbaya
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 2,262
- 856
Huyu Kibatala mzoefu,Mallya alikuwa anapelekwa pelekwa tu na polisi.Wakiambiwa leta hiki wanapeleka.Kesi ilikuwa kumtukana Pengo hayo mengine yanatoka wapi?Sasa kwa kibatala polisi watatia adabu.Vifungu kwa vifungu tu.
Mallya ni chambo iliyowavuta ufukweni, Kibatala anawachokonoa
Nyaucho anakuja kumaliza
stay tuned
Pia tafsiri nyingine ya Ku deal na Gwajima ni kama kudeal na CCT na TEC waliotoa tamko