Namkubali wakili Kibatala, namkubali Pastor Gwajima, ila sina shaka Na mamlaka ya Police kudai nyaraka Wakati wa mahojiano hata Kama nyaraka hizo Na nje Na mada ulioitiwa, kwa sababu.
Wakati wa mahojiano kwa tuhuma za matusi hadharani, police inapaswa wajiridhishe Na Uraia wako, umiliki wako, Kama Ni wa halali ama la!!!! Its not about searching, its about VERIFICATION. sheria inayowapa mamlaka ya kuhoji, inawapa mamlaka ya kuomba Documents zozote zinazomuhusu Muhusika,,,kuhusu mambo lolote ambalo Police wana mashaka nalo kuhusu muhusika, So kibatala nahisi amekurupuka, Na akilichukuwa vibaya Jambo hili atamiathiri Mteja wake.