CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,387
- 6,481
mimi scientist.
Good, a Research Scientist? Wapi hapo dada
mimi scientist.
Kwa dini zenu hizi za kishirikina na gwajima kamwe mungu hawezi kuwa upande wenu hata iweje.
Wala usimuingize Pengo, Pengo hajamshitaki mtu yeyote juu ya hilo, ni Kova na Abubakari wake wanajuana wenyewe huko.
Naona polisi wanataka kuchukua na majukumu ya TRA kufuatilia kama mapato na matumizi ya Gwajima yanameet vigezo vya kisheria.Sitarajii polisi kujibu barua hiyo maana watajifunga.
Natarajia Kamanda Kova kuonywa na IGP juu ya mikanganyiko hii isiyozingatia uweledi
ngambi, ulikuwa umeukalia nini?
Kama kuna Askofu muoga hapa Tz, basi wa kwanza ni Gwajima!!
Na pia hana uwezo kabisa wa kujenga hoja.
safari hii hakuna cha kipalata wala cha nani,asipopeleka vitu vinavyotakiwa watamfuata kwa style ya tanganyika jerk
Mbona hakujitokeza kumtetea Sheikh Ponda?
Au Gwajima ana uhusiano gani na CHADEMA?
Wakuu hivi ile kadi ya gwajima ile ya uanachama wa chadema ni namba ngambi vile.
Daa!!! Mungu gani huyo unayemshirikisha kwenye huu upuuzi huyo Mungu ndiyo alimtuma Gwajima amwambie Askofu Pengo anavaa pampers?
Siku penda matusi ya Gwajima wala sikuwahi kumshabikia ila kwa mashataka haya yasiyo na grounds za kisheria nafikiri alionewa. Hebu tuone sheria inasemaje kwa watu formal kufanya mambo informal.
kuna watu wanajidanganya eti picha ndo inaanza sidhan kama mko timamu vichwan kaz inaisha muda si mrefu wala msisumbue vichwa vyenu kufikiria hilo,gwajima ni mtu mdogo sana
Ngoja tuone wanasheria wale pesa za gwajima ninavyojua mimi polisi wakiwa kwenye upelelezi hawa wajibiki kwa mtu yoyote kumweleza anataka docs kwa sababu gani inatosha akisema ni kwa ajili ya upelelezi. Lakini najiuliza kama anazo docs hizo kwa nini anaanza kuleta usanii
We fuatilia tu hii kesi kwa umakini, utamjua vizuriKatika wanasheria nguli wa Tanzania Peter Kibatala ni nani?
Patamu hapo.
swissme