Hawa watu wakiamua hata usimamishe Wakili mzuri kiasi gani watakufunga tu nasema Watakufirisi tu...!!
Kikubwa hapa huyo Gwajima awaombe radhi ikibidi awadanganye hata kuwapigia kampeni kanisani kwake, vinginevyo ataokomea nakwambia mkuu jamaa wamedhamiria kumtokomeza na hakika atatokomea ni suala la muda tu, Huu ndio ukweli mchungu..!!
Unakumbuka Amri Kombe alipigwa risasi huku kanyoosha mikono juu kama ishara ya Kusarenda pamoja na kwamba hakushika hata fimbo??
Naam aliitwa Jambazi na akauliwa kama Jambazi..!!! Kisha.waliomuua wamasema ooooh tulukosea tukadhani ni Jambazi...!!!
BACK TANGANYIKA