salimkabora
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,441
- 653
Kwanini unasema ni lazima? Inaonekana mambo ya sheria yamekupa kisogo.
Nchi hii imejaa vilaza ndio mana ni kuburuzwa mtindo mmoja; achana na vilaza wanaoongea kusikia mlio wa sauti zao
Kwanini unasema ni lazima? Inaonekana mambo ya sheria yamekupa kisogo.
Hiyo barua isiwatishe sana watu msiojua sheria kwa kifupi jeshi la polisi limepewa mamlaka makubwa ya kuchunguza jambo lolote ambalo wanahisi ni la kijinai kupitia sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai kuna vifungi kadhaa vinavyoainisha nguvu zao za kisheria jambo ambalo alipaswa kuwataka polisi ni kwamba mteja wake anakabiliwa na kosa lipi? hapo ndio pa kuanzia na huku akihakikisha kila hatua ya mahojiano anakuwa na mteja wake.
sheikh ponda hakuwa na pesa ya kulipia gharama za uwakili. yule alikuwa mropokaji tu na sadaka hakushanyi. bora gwajima amekusanya sadaka, itamsaidia kulipa gharama za uwakili.
labda.Hivi kuna mropokaji kuzidi mhuni Ngwajima?
Kwa mfano wasipoandika wakati alikubali kuwakilisha docs hizo Na ukumbuke docs hizo za usajili ni mali za serikali wanaweza kuziomba na kuzikagua wakati wowote. Mimi ningekuwa gwajima kama ninazo hizo docs ningepeleka tu kuliko kuleta ligi. Serikali inamkono mrefu. Anyway let us may be they want to set a precedence!!
Watu wanaangalia weakness yako wanaanza kuifuatilia na kuacha hoja ya msingi, Kesi kama hizi zina manufaa kwa wananchi wa kawaida kama sie pamoja na kwamba kuna ambao wanaingiza interest zao za kisiasa lakini ukweli hii tabia ya vyombo vya serikali kuwabananisha watu pindi watakapoonekana wanafanya vitendo ambavyo havipendezi kwa jamii au dola (kuna watu wameletewa TRA kukaguliwa na mambo kama hayo na wengine wamefirisika kabisa, kwahiyo kama asingesema yale maneno maana yake angeachwa apete tu hata kama amepora eneo la mtu)Huyu Kibatala mzoefu,Mallya alikuwa anapelekwa pelekwa tu na polisi.Wakiambiwa leta hiki wanapeleka.Kesi ilikuwa kumtukana Pengo hayo mengine yanatoka wapi?Sasa kwa kibatala polisi watatia adabu.Vifungu kwa vifungu tu.
Ignorance and stupidity at its best level.una macho lakini hauoni?
Nadhani huu ndio utakuwa mwisho wa kutishana endapo Kibatara hoja zake zitaonekana zina mashiko maana kumekuwa na kautamaduni flani ambapo mtu akiwa mjuaji tu kesho yake anashushiwa watu wa TRA mara watu wa Uhamiaji ili mradi wamtingishe alegeze msimamo na hapo system ndipo inapoonyesha ina mapungufu kwa kuonyesha kwamba kama huna chokochoko hata kama ukikwepa kodi ni ruhusa (nguvu za kuwabananisha watu wenye chokochoko kwa kuwaletea TRA wafanye ukaguzi wa mahesabu zingetumika kwa watu mbalimbali bila kujali wana chokochoko ama la taifa lingekuwa limefika mbaliWala usimuingize Pengo, Pengo hajamshitaki mtu yeyote juu ya hilo, ni Kova na Abubakari wake wanajuana wenyewe huko.
Naona polisi wanataka kuchukua na majukumu ya TRA kufuatilia kama mapato na matumizi ya Gwajima yanameet vigezo vya kisheria.Sitarajii polisi kujibu barua hiyo maana watajifunga.
Natarajia Kamanda Kova kuonywa na IGP juu ya mikanganyiko hii isiyozingatia uweledi
Watu sijui majibu mnayatoa wapi na kukandamizia picha kabisaSwali lako limekosewa...
Ungeuliza hivi...
Wakuu hivi ile kadi ya gwajima ile ya uanachama wa CCM ni namba ngapi vile..??
![]()
kimsingi polisi hawana mamlaka ya kuomba vielelezo hivyo labda kama mahakama na labda wangekwenda na search warrant tena kutoka mahakamani!
Lakini bado najiuliza kwanini kibatala hakujitokeza kumtetea sheikh ponda?
Kimsingi polisi hawana mamlaka ya kuomba vielelezo hivyo labda kama mahakama na labda wangekwenda na search warrant tena kutoka mahakamani!
Lakini bado najiuliza kwanini Kibatala hakujitokeza kumtetea Sheikh Ponda?
Kwani ni mkimbizi?anatokea nchi gani?Wampoteze tu uyo tumechoka na wa mkimbizi mmoja anaejichotea mi Mali tu nchi nyingine alf analeta kiburi
Kimsingi polisi hawana mamlaka ya kuomba vielelezo hivyo labda kama mahakama na labda wangekwenda na search warrant tena kutoka mahakamani!
Lakini bado najiuliza kwanini Kibatala hakujitokeza kumtetea Sheikh Ponda?
Polisi wa Tanzania wanampa points za bure kabisa Wakili Malya na Kibatala ktk CV yake
Gwajima anakwenda kupata zuio la Mahakama within a minutes!Nimeandikiwa barua kuhojiwa kwa kesi ya kupiga mke wangu lkn nahojiwa muda wote kuhusu nyumba yangu na kibaya zaidi natakiwa nilete hati za nyumba yangu ya Kyela sijui waifanye nn!
Polisi wa TZ bure kabisa wanatutia tu aibu
angeenda na tundu lisu hapo, CHADEMA INGEPAISHWA SANA tena wakati huu wa uchaguzi. kuna watu wengi sana wana hasira sana na ccm kuona inamshambulia sana huyu mchungaji wao wakati mafisadi wameachwa wanaingia hadi bungeni. kibatala namwamini ni mzuri sana lakini kwaajili ya publicity ya chadema, tundu lisu pia atie timu ili walokole wooote waikatae ccm mwaka huu. movie huko makanisani ndio iko hivyo kwamba walokole mwaka hu wataipigia chadema au cuf au chama chochote cha upinzani lakini sio sisiemu. wafuasi wa pengo peke yake ndio wataipigia ccm.
Wakuu hivi ile kadi ya gwajima ile ya uanachama wa chadema ni namba ngambi vile.