Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,821
- 10,868
Kama wabunge waliowahi kuwa bungeni Wana njaa Kali mno, je Tanzania tuna upinzani wa kweli au wasakatonge,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaa....... aliyewaita nyumbu hakukosea!Huu ni mkakati wa CHADEMA tena subirieni kivumbi chao hao wakina mdee na bulaya patachimbika
Kwani kikiwatuma una barua ukiyoandikiwa na Chadema kuwa ukipiganie? Si ulikuwa wehu wao wenyeweVIONGOZI WA CHADEMA WANAPASWA KUSHTAKIWA ILI WALIPE FIDIA KWA WAHANGA WOTE WALIODHURIKA WAKIPIGANIA CHAMA.
Usije shangaa nao wamejiunga na Serikali ya mapinduzi Zanzibar. Tuanzishe chama chetu kipya cha upinzani wa kweli Tanzania.Leo naenda kuchoma kadi yangu ya CHADEMA na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Usiombe iingie kwenye mji wako. TL yeye kaenda kula Belgium. Wengine kawaacha bila kujua chakula kitatoka wapiDaaah!! Njaa mbaya.
Ha ha haaa hapo kwa Jussa pamenifurahisha zaidi yaani jamaa kapondwa na polisi kaenda kutibiwa Nairobi halafu anakuja kupewa/kupozwa na uwaziri wa afya... siasa bwana yani basi tu!Namuona dada yangu NUSRAT HANJE....
Maisha ni safari....
Kalala na KUNGUNI kwa miezi 3 baadae huyooo MBUNGE...
Naam KESHO HAIJULIKANI jama.....
Naaam HAIJULIKANI...usishangae SEIF SHARIFF HAMAD ni MAKAMU WA RAIS....na Jussa WAZIRI WA AFYA....
SITAKI TENA KUSHABIKIA UPINZANI,NIMENYOOSHA MIKONO JUU
Kwahiyo Lissu hajaondoka kwa kuogopa vitisho kumbe?Acha upumbavu wako wewe ndiyo hujielewi sisi CHADEMA hatupendi unafiki Wanachadema wakila pesa za CCM tunaongea ukweli, huu upumbavu wa kufanya siasa biashara ndiyo umemfanya Lissu kuondoka mapema kwenda huko maana anamjua mwenyekiti wa CHADEMA ni mpenda pesa mbele ya pesa anaweza kufanya lolote ili mradi alinde ruzuku yake
HahahahaEndelea tu kushabikia hadi unyooshe miguu juu
Nusrat ametoka jela usiku moja kwa moja ameingia bungeni!Chadema hawana tofauti na CCM kwa sasa, wote wachumia tumbo tu!
Wanatoa siri wenyeweKwahiyo Lisu hajaondoka kwa kuogopa vitisho kumbe?