Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,222
Hayo majukumu tumegoma kugawana na ndio maana hadi leo hujaona wananchi wameandamana kudai hiyo katiba!Sisi tunadai katiba ya nchi, nyinyi kadaini ya chama chetu, ni suala la kugawana majukumu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app